Waamuzi kutoka Zanzibar kwanini wachezeshe mechi za Tanzania Bara?

Waamuzi kutoka Zanzibar kwanini wachezeshe mechi za Tanzania Bara?

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
Kwa muda mrefu, hayati Hafidh Ali alikuwa anaonekana kama taswira ya waamuzi bora kuwahi kutokea Zanzibar, akiaminiwa na IFOZA wakati huo na baadaye ZFA na sasa shirikisho la Soka la Zanzibar (ZFF), na hadi Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na lile la dunia, FIFA. Hafidh Ali hakuishia kuchezesha mechi uwanjani tu, bali alipewa majukumu ya kuratibu mechi baada ya kustaafu na alikuwemo kwenye kamati za CAF akichangia uzoefu wake katika uendeshaji mchezo huo maarufu duniani. Alikuwa taswira ya uamuzi bora kwa sababu Zanzibar ilizalisha waamuzi wengine wengi baada yake ambao pia waliaminiwa na CAF na FIFA na hivyo kupewa mechi nje ya nchi.
1722956427928.png

Nimepata ukakasi mkubwa kuona namna ambavyo TFF inatumia nguvu kubwa kuwaimarisha waamuzi na viongozi wa Zanzibar ilihali tayari kuna ZFF, Ligu Kuu ya NBC ni ligi ambayo inajumuisha timu zilizopo Tanganyika maarufu kama Tanzania Bara, na sio hakuna ujumuisho wa timu kutoka Zanzibar. Sina uhakika kama kuna Waamuzi au Makamisaa kutoka Tanganyika wanaochezesha Ligi Kuu ya Zanzibar? Ila sidhani kama ZFF wana dhamira ya kukuza mpira wa Tanzania bali mpira wa Zanzibar pekee.

1722956349620.png


Katika mchezo wa Azam FC dhidi ya Coastal Union, mchezo wa tarehe 8 mwezi huu wa nane nimeshangaa sana kuona tena waamuzi kutoka Zanzibar, Ally Ramadhan pamoja na Nasri Siyah katika kusimamia sheria kumi na saba katika mchezo huu. Ni kwamba Tanganyika hatuna waamuzi? Ama hatuna watu sahihi wa kusimamia sheria hizi. Ikumbukwe kocha wa APR alichokisema kuhusu waamuzi wa Zanzibar kipindi cha nyuma.

TFF inaipiga tafua ZFF na soka la Zanzibar, kitu ambacho ni kizuri sana kwa afya ya Zanzibar ila je Tanganyika ama Tanganyika inafaidika nini? Waamuzi wangapi wazawa wa Tanganyika wanachezesha michezo ya Zanzibar? Nafahamu kuna viongozi wa TFF ni raia kutoka Zanzibar, Je kuna viongozi wa ZFF ambao ni raia kutoka Tanganyika? Kwanini TFF isitafute waamuzi kutoka Bara kuchezesha michezo yetu.​
 
zanzibar ni mtoto pendwa wa nje ya ndoa kwa tanganyika mkuu
Waamuzi na watalaamu wa soka wazawa wa Tanganyika wataendelezwa na nani!? Sidhani kama kuna mtanganyika ni kiongozi wa ZFF ila ndani ya TFF una wazanzibari wengi tu
 
Kwa muda mrefu, hayati Hafidh Ali alikuwa anaonekana kama taswira ya waamuzi bora kuwahi kutokea Zanzibar, akiaminiwa na IFOZA wakati huo na baadaye ZFA na sasa shirikisho la Soka la Zanzibar (ZFF), na hadi Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na lile la dunia, FIFA. Hafidh Ali hakuishia kuchezesha mechi uwanjani tu, bali alipewa majukumu ya kuratibu mechi baada ya kustaafu na alikuwemo kwenye kamati za CAF akichangia uzoefu wake katika uendeshaji mchezo huo maarufu duniani. Alikuwa taswira ya uamuzi bora kwa sababu Zanzibar ilizalisha waamuzi wengine wengi baada yake ambao pia waliaminiwa na CAF na FIFA na hivyo kupewa mechi nje ya nchi.

Nimepata ukakasi mkubwa kuona namna ambavyo TFF inatumia nguvu kubwa kuwaimarisha waamuzi na viongozi wa Zanzibar ilihali tayari kuna ZFF, Ligu Kuu ya NBC ni ligi ambayo inajumuisha timu zilizopo Tanganyika maarufu kama Tanzania Bara, na sio hakuna ujumuisho wa timu kutoka Zanzibar. Sina uhakika kama kuna Waamuzi au Makamisaa kutoka Tanganyika wanaochezesha Ligi Kuu ya Zanzibar? Ila sidhani kama ZFF wana dhamira ya kukuza mpira wa Tanzania bali mpira wa Zanzibar pekee.

View attachment 3063083

Katika mchezo wa Azam FC dhidi ya Coastal Union, mchezo wa tarehe 8 mwezi huu wa nane nimeshangaa sana kuona tena waamuzi kutoka Zanzibar, Ally Ramadhan pamoja na Nasri Siyah katika kusimamia sheria kumi na saba katika mchezo huu. Ni kwamba Tanganyika hatuna waamuzi? Ama hatuna watu sahihi wa kusimamia sheria hizi. Ikumbukwe kocha wa APR alichokisema kuhusu waamuzi wa Zanzibar kipindi cha nyuma.

TFF inaipiga tafua ZFF na soka la Zanzibar, kitu ambacho ni kizuri sana kwa afya ya Zanzibar ila je Tanganyika ama Tanganyika inafaidika nini? Waamuzi wangapi wazawa wa Tanganyika wanachezesha michezo ya Zanzibar? Nafahamu kuna viongozi wa TFF ni raia kutoka Zanzibar, Je kuna viongozi wa ZFF ambao ni raia kutoka Tanganyika? Kwanini TFF isitafute waamuzi kutoka Bara kuchezesha michezo yetu.​
Ni uchawa tu. Karia pamoja na mafanimio makubwa kwa soka.la bara katika kipindi chake hua anaharibu anapoingiza uchawa. Hapa anajua muda wake unaisha hivyo anataka kuwafurahisha Wanasiasa ili ajiandalie ugali mwingine hapo mbeleni. Ni uchawa tu hakuna jipya.
 
Ni uchawa tu. Karia pamoja na mafanimio makubwa kwa soka.la bara katika kipindi chake hua anaharibu anapoingiza uchawa. Hapa anajua muda wake unaisha hivyo anataka kuwafurahisha Wanasiasa ili ajiandalie ugali mwingine hapo mbeleni. Ni uchawa tu hakuna jipya.
Duuh sijui nani ambaye sio Chawa Mkuu
 
Kwa muda mrefu, hayati Hafidh Ali alikuwa anaonekana kama taswira ya waamuzi bora kuwahi kutokea Zanzibar, akiaminiwa na IFOZA wakati huo na baadaye ZFA na sasa shirikisho la Soka la Zanzibar (ZFF), na hadi Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na lile la dunia, FIFA. Hafidh Ali hakuishia kuchezesha mechi uwanjani tu, bali alipewa majukumu ya kuratibu mechi baada ya kustaafu na alikuwemo kwenye kamati za CAF akichangia uzoefu wake katika uendeshaji mchezo huo maarufu duniani. Alikuwa taswira ya uamuzi bora kwa sababu Zanzibar ilizalisha waamuzi wengine wengi baada yake ambao pia waliaminiwa na CAF na FIFA na hivyo kupewa mechi nje ya nchi.

Nimepata ukakasi mkubwa kuona namna ambavyo TFF inatumia nguvu kubwa kuwaimarisha waamuzi na viongozi wa Zanzibar ilihali tayari kuna ZFF, Ligu Kuu ya NBC ni ligi ambayo inajumuisha timu zilizopo Tanganyika maarufu kama Tanzania Bara, na sio hakuna ujumuisho wa timu kutoka Zanzibar. Sina uhakika kama kuna Waamuzi au Makamisaa kutoka Tanganyika wanaochezesha Ligi Kuu ya Zanzibar? Ila sidhani kama ZFF wana dhamira ya kukuza mpira wa Tanzania bali mpira wa Zanzibar pekee.

View attachment 3063083

Katika mchezo wa Azam FC dhidi ya Coastal Union, mchezo wa tarehe 8 mwezi huu wa nane nimeshangaa sana kuona tena waamuzi kutoka Zanzibar, Ally Ramadhan pamoja na Nasri Siyah katika kusimamia sheria kumi na saba katika mchezo huu. Ni kwamba Tanganyika hatuna waamuzi? Ama hatuna watu sahihi wa kusimamia sheria hizi. Ikumbukwe kocha wa APR alichokisema kuhusu waamuzi wa Zanzibar kipindi cha nyuma.

TFF inaipiga tafua ZFF na soka la Zanzibar, kitu ambacho ni kizuri sana kwa afya ya Zanzibar ila je Tanganyika ama Tanganyika inafaidika nini? Waamuzi wangapi wazawa wa Tanganyika wanachezesha michezo ya Zanzibar? Nafahamu kuna viongozi wa TFF ni raia kutoka Zanzibar, Je kuna viongozi wa ZFF ambao ni raia kutoka Tanganyika? Kwanini TFF isitafute waamuzi kutoka Bara kuchezesha michezo yetu.​
Mimi nafurahi sana ninapoona jamii inajifunza kwamba baadhi ya watu wanaopewa dhamana huahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima data hii itasadia kuleta mageuzi ya kifikra kwa maana hatuwezi tukawa na taifa la watu wanao jizima data kwa masilahi binafsi (suspending their individual reasoning because of group objective)
 
Kwa muda mrefu, hayati Hafidh Ali alikuwa anaonekana kama taswira ya waamuzi bora kuwahi kutokea Zanzibar, akiaminiwa na IFOZA wakati huo na baadaye ZFA na sasa shirikisho la Soka la Zanzibar (ZFF), na hadi Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na lile la dunia, FIFA. Hafidh Ali hakuishia kuchezesha mechi uwanjani tu, bali alipewa majukumu ya kuratibu mechi baada ya kustaafu na alikuwemo kwenye kamati za CAF akichangia uzoefu wake katika uendeshaji mchezo huo maarufu duniani. Alikuwa taswira ya uamuzi bora kwa sababu Zanzibar ilizalisha waamuzi wengine wengi baada yake ambao pia waliaminiwa na CAF na FIFA na hivyo kupewa mechi nje ya nchi.

Nimepata ukakasi mkubwa kuona namna ambavyo TFF inatumia nguvu kubwa kuwaimarisha waamuzi na viongozi wa Zanzibar ilihali tayari kuna ZFF, Ligu Kuu ya NBC ni ligi ambayo inajumuisha timu zilizopo Tanganyika maarufu kama Tanzania Bara, na sio hakuna ujumuisho wa timu kutoka Zanzibar. Sina uhakika kama kuna Waamuzi au Makamisaa kutoka Tanganyika wanaochezesha Ligi Kuu ya Zanzibar? Ila sidhani kama ZFF wana dhamira ya kukuza mpira wa Tanzania bali mpira wa Zanzibar pekee.

View attachment 3063083

Katika mchezo wa Azam FC dhidi ya Coastal Union, mchezo wa tarehe 8 mwezi huu wa nane nimeshangaa sana kuona tena waamuzi kutoka Zanzibar, Ally Ramadhan pamoja na Nasri Siyah katika kusimamia sheria kumi na saba katika mchezo huu. Ni kwamba Tanganyika hatuna waamuzi? Ama hatuna watu sahihi wa kusimamia sheria hizi. Ikumbukwe kocha wa APR alichokisema kuhusu waamuzi wa Zanzibar kipindi cha nyuma.

TFF inaipiga tafua ZFF na soka la Zanzibar, kitu ambacho ni kizuri sana kwa afya ya Zanzibar ila je Tanganyika ama Tanganyika inafaidika nini? Waamuzi wangapi wazawa wa Tanganyika wanachezesha michezo ya Zanzibar? Nafahamu kuna viongozi wa TFF ni raia kutoka Zanzibar, Je kuna viongozi wa ZFF ambao ni raia kutoka Tanganyika? Kwanini TFF isitafute waamuzi kutoka Bara kuchezesha michezo yetu.​
Mijitu Kama wewe ni ya hovyo sana

Kutwa kulalama tu
 
Tatizo la nchi yetu kila kitu kinafanywa kisiasa kutokana na Muungano usioeleweka ambao unawapa fursa Zanzibar kuwa kitu chao ni chao wao na cha Tanganyika ni cha wote.
Sichukii Muungano ila nachukia muundo wake.
 
Kwa muda mrefu, hayati Hafidh Ali alikuwa anaonekana kama taswira ya waamuzi bora kuwahi kutokea Zanzibar, akiaminiwa na IFOZA wakati huo na baadaye ZFA na sasa shirikisho la Soka la Zanzibar (ZFF), na hadi Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na lile la dunia, FIFA. Hafidh Ali hakuishia kuchezesha mechi uwanjani tu, bali alipewa majukumu ya kuratibu mechi baada ya kustaafu na alikuwemo kwenye kamati za CAF akichangia uzoefu wake katika uendeshaji mchezo huo maarufu duniani. Alikuwa taswira ya uamuzi bora kwa sababu Zanzibar ilizalisha waamuzi wengine wengi baada yake ambao pia waliaminiwa na CAF na FIFA na hivyo kupewa mechi nje ya nchi.

Nimepata ukakasi mkubwa kuona namna ambavyo TFF inatumia nguvu kubwa kuwaimarisha waamuzi na viongozi wa Zanzibar ilihali tayari kuna ZFF, Ligu Kuu ya NBC ni ligi ambayo inajumuisha timu zilizopo Tanganyika maarufu kama Tanzania Bara, na sio hakuna ujumuisho wa timu kutoka Zanzibar. Sina uhakika kama kuna Waamuzi au Makamisaa kutoka Tanganyika wanaochezesha Ligi Kuu ya Zanzibar? Ila sidhani kama ZFF wana dhamira ya kukuza mpira wa Tanzania bali mpira wa Zanzibar pekee.

View attachment 3063083

Katika mchezo wa Azam FC dhidi ya Coastal Union, mchezo wa tarehe 8 mwezi huu wa nane nimeshangaa sana kuona tena waamuzi kutoka Zanzibar, Ally Ramadhan pamoja na Nasri Siyah katika kusimamia sheria kumi na saba katika mchezo huu. Ni kwamba Tanganyika hatuna waamuzi? Ama hatuna watu sahihi wa kusimamia sheria hizi. Ikumbukwe kocha wa APR alichokisema kuhusu waamuzi wa Zanzibar kipindi cha nyuma.

TFF inaipiga tafua ZFF na soka la Zanzibar, kitu ambacho ni kizuri sana kwa afya ya Zanzibar ila je Tanganyika ama Tanganyika inafaidika nini? Waamuzi wangapi wazawa wa Tanganyika wanachezesha michezo ya Zanzibar? Nafahamu kuna viongozi wa TFF ni raia kutoka Zanzibar, Je kuna viongozi wa ZFF ambao ni raia kutoka Tanganyika? Kwanini TFF isitafute waamuzi kutoka Bara kuchezesha michezo yetu.​
Tunatakiwa kujivunia undugu, wetu nilitamani kubwa na ligi moja Zanzibar na Bara, upendo ushinda yote wakati mwingine kuwa tayari kukubali kupoteza kwa faida ya wengine.
 
Tunatakiwa kujivunia undugu, wetu nilitamani kubwa na ligi moja Zanzibar na Bara, upendo ushinda yote wakati mwingine kuwa tayari kukubali kupoteza kwa faida ya wengine.
Wazanzibar walianza kutuchukia, tulivyoona hivyo nasi tukawachukia
 
Mambo wanayofanyiwa Watanganyika yanasikitisha sana.
 
Kwa muda mrefu, hayati Hafidh Ali alikuwa anaonekana kama taswira ya waamuzi bora kuwahi kutokea Zanzibar, akiaminiwa na IFOZA wakati huo na baadaye ZFA na sasa shirikisho la Soka la Zanzibar (ZFF), na hadi Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na lile la dunia, FIFA. Hafidh Ali hakuishia kuchezesha mechi uwanjani tu, bali alipewa majukumu ya kuratibu mechi baada ya kustaafu na alikuwemo kwenye kamati za CAF akichangia uzoefu wake katika uendeshaji mchezo huo maarufu duniani. Alikuwa taswira ya uamuzi bora kwa sababu Zanzibar ilizalisha waamuzi wengine wengi baada yake ambao pia waliaminiwa na CAF na FIFA na hivyo kupewa mechi nje ya nchi.

Nimepata ukakasi mkubwa kuona namna ambavyo TFF inatumia nguvu kubwa kuwaimarisha waamuzi na viongozi wa Zanzibar ilihali tayari kuna ZFF, Ligu Kuu ya NBC ni ligi ambayo inajumuisha timu zilizopo Tanganyika maarufu kama Tanzania Bara, na sio hakuna ujumuisho wa timu kutoka Zanzibar. Sina uhakika kama kuna Waamuzi au Makamisaa kutoka Tanganyika wanaochezesha Ligi Kuu ya Zanzibar? Ila sidhani kama ZFF wana dhamira ya kukuza mpira wa Tanzania bali mpira wa Zanzibar pekee.

View attachment 3063083

Katika mchezo wa Azam FC dhidi ya Coastal Union, mchezo wa tarehe 8 mwezi huu wa nane nimeshangaa sana kuona tena waamuzi kutoka Zanzibar, Ally Ramadhan pamoja na Nasri Siyah katika kusimamia sheria kumi na saba katika mchezo huu. Ni kwamba Tanganyika hatuna waamuzi? Ama hatuna watu sahihi wa kusimamia sheria hizi. Ikumbukwe kocha wa APR alichokisema kuhusu waamuzi wa Zanzibar kipindi cha nyuma.

TFF inaipiga tafua ZFF na soka la Zanzibar, kitu ambacho ni kizuri sana kwa afya ya Zanzibar ila je Tanganyika ama Tanganyika inafaidika nini? Waamuzi wangapi wazawa wa Tanganyika wanachezesha michezo ya Zanzibar? Nafahamu kuna viongozi wa TFF ni raia kutoka Zanzibar, Je kuna viongozi wa ZFF ambao ni raia kutoka Tanganyika? Kwanini TFF isitafute waamuzi kutoka Bara kuchezesha michezo yetu.​
Dah Allah amrehemu hafidh Ali Tahir(ZAGALO) ni jamaa yangu kabisa huyu ni mtoto wa shangazi yangu kabisa ila kipindi alichofariki nilikua nasoma advance nakuja kuona gazeti la mwanachi shuleni ndo naona taarifa ya kifo chake dah najua mengi kuhusu huyu mwamba maarufu ZAGALO
 
Back
Top Bottom