Waamuzi Mechi ya Simba Vs Yanga kwanini wasitoke nje ya nchi na uwanjani kuwepo na Tv moja maalum ya (REPLAY mbadala wa VAR?)

Waamuzi Mechi ya Simba Vs Yanga kwanini wasitoke nje ya nchi na uwanjani kuwepo na Tv moja maalum ya (REPLAY mbadala wa VAR?)

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Hakuna asiyejua ushabiki wa kimpira kwa simba na yanga kwa raia wengi wa Tanzania!

Pamoja na kuwepo sheria za mpira lakini mapenzi huwa hayafichiki kwa refa!
Kwanini mechi za Derby ya simba na yanga waamuzi wasitoke inje? Na TV itumike kama mbadala wa VAR?

Haya tuseme Refa wa inje hayupo,
sasa kwanini REFA wa Derby ni walewale kila siku kwani hatuna wengine!?

Hata mahakamani watuhumiwa wakikosa imani na hakimu hubadilishiwa!

Watu wakikosa imani na mwamuzi ukiwalazimisha hata kama yakija kutokea makosa ya kibinadamu katika uamuzi wake wataona kawafanyia kusudi inaweza kupelekea uhalifu kwa refawenyewe, watoto au mali zake kule
 
Ya kwamba humu hizo pesa sisi hatuzitaki..?
 
Huna akili.
Soma uzi wako halafu rudia comment yangu utaamini we ni kilaza
Nimejiona kilaza asee kwasababu niliruka uzi nikakimbilia kwenye komenti kufika tu nakutana na hii komenti yako ikabidi nirudi kwenye uzi kwanza
 
Hakuna asiyejua ushabiki wa kimpira kwa simba na yanga kwa raia wengi wa Tanzania!

Pamoja na kuwepo sheria za mpira lakini mapenzi huwa hayafichiki kwa refa!
Kwanini mechi za Derby ya simba na yanga waamuzi wasitoke inje? Na TV itumike kama mbadala wa VAR?

Haya tuseme Refa wa inje hayupo,
sasa kwanini REFA wa Derby ni walewale kila siku kwani hatuna wengine!?

Hata mahakamani watuhumiwa wakikosa imani na hakimu hubadilishiwa!

Watu wakikosa imani na mwamuzi ukiwalazimisha hata kama yakija kutokea makosa ya kibinadamu katika uamuzi wake wataona kawafanyia kusudi inaweza kupelekea uhalifu kwa refawenyewe, watoto au mali zake kule
KANUNI ZA KUONGOZA LIGI KUU BARA UNAZIJUA?
 
March 8 ni mwendelezo wa NBC PL,ni mchezo wa league kama michezo mingine.
 
hata kule uturuki kumekuwa na tatizo la waamuzi kulalamikiwa na waliamuaa mechi kati ya galatasaray s.k football club vs fenerbeçe s.k football club waamuzi watoke nje ya nchi ingawa bado hawajatekeleza.
 
hata kule uturuki kumekuwa na tatizo la waamuzi kulalamikiwa na waliamuaa mechi kati ya galatasaray s.k football club vs fenerbeçe s.k football club waamuzi watoke nje ya nchi ingawa bado hawajatekeleza.
Ni katika kuleta haki na imani tu
 
Hua sijawahi kuona point ya msingi ni kwann refa atoke nje ya nchi, wengi wenu n upuuzi tuu umewajaa kichwani.

Replay haijawahi kuwa mbadala ya VAR, angalia sheria za VAR afu uone kama zina-fit kwenye replay ndo utajiona umeandika mashudu.
 
Kanuni ndo zinataka kila Derby achezeshe refa yule yule mmoja?
Kwani kwenye derby iliyopita ya Yanga na simba, alichezesha mwamuzi gani! Na hii ya tarehe 8 anachezesha mwamuzi gani?

Halafu kwa mtazamo wangu ungewashauri TFF na ile kamati ya waamuzi kujikita kwenye kuzalisha waamuzi bora, makini, waadilifu na wenye sifa stahiki ili kuchezesha mpira wa miguu kwa kufuata sheria 17 za soka! Maana wengi wao kwa sasa hakuna kitu. Badala ya kukodi waamuzi kutoka nje.
 
Kwani kwenye derby iliyopita ya Yanga na simba, alichezesha mwamuzi gani! Na hii ya tarehe 8 anachezesha mwamuzi gani?

Halafu kwa mtazamo wangu ungewashauri TFF na ile kamati ya waamuzi kujikita kwenye kuzalisha waamuzi bora, makini, waadilifu na wenye sifa stahiki ili kuchezesha mpira wa miguu kwa kufuata sheria 17 za soka! Maana wengi wao kwa sasa hakuna kitu. Badala ya kukodi waamuzi kutoka nje.
Ukiachilia ishu ya kunyimwa uwanja, ARAJIGA Hatakiwi kuchezesha Derby
 
Back
Top Bottom