ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Kwanza nikiri wazi naamini football sio mchezo mzuri Kwa wanawake kushiriki katika kucheza au uamzi labda kwenye uongozi na nafasi nyingine katika football
Si busara wala tamaduni zetu Africa wanawake kuchangamana na wanaume hivo bila stara
Football ni mchezo wa kugusana
Ni rahisi mwanamke kuguswa sehemu za Siri kama matiti, makalio au uke bila dhamira au Kwa kushawishiwa
Mavazi wanayovaa
Mwanamke kuvaa bukta za wanaume ni kuwaweka uchi hadharani, basi nashauri kama Kuna changamoto ya waumuzi WA kiume, hawa mabinti watafutiwe mavazi ya stara
Waamuzi wa kike wanakosa kujiamini
Hii ni asili ni ngumu Kwa mwanamke kufanya maamzi ya hekima mbele ya wanaume, wengi hupata woga na ku panic
Hapa hutawaona watu wa haki za binadamu na wanawake kuja kuwatetea wanawake waamuzi wa kike, wapo kimya dhidi ya udhalilishaji huu
Si busara wala tamaduni zetu Africa wanawake kuchangamana na wanaume hivo bila stara
Football ni mchezo wa kugusana
Ni rahisi mwanamke kuguswa sehemu za Siri kama matiti, makalio au uke bila dhamira au Kwa kushawishiwa
Mavazi wanayovaa
Mwanamke kuvaa bukta za wanaume ni kuwaweka uchi hadharani, basi nashauri kama Kuna changamoto ya waumuzi WA kiume, hawa mabinti watafutiwe mavazi ya stara
Waamuzi wa kike wanakosa kujiamini
Hii ni asili ni ngumu Kwa mwanamke kufanya maamzi ya hekima mbele ya wanaume, wengi hupata woga na ku panic
Hapa hutawaona watu wa haki za binadamu na wanawake kuja kuwatetea wanawake waamuzi wa kike, wapo kimya dhidi ya udhalilishaji huu