Waamuzi wa Tanzania mjiuzulu

Waamuzi wa Tanzania mjiuzulu

Makolo acheni kulialia, mechi tulicheza na Geita... Nyinyi kama kinawauma sisi kuwa unbeaten 45... mnaona tulipendelewa, mara bahasha katoeni ushahidi TFF huyo refa alivyopewa hiyo hela... mmesema ni 10m?
 
Makolo acheni kulialia, mechi tulicheza na Geita... Nyinyi kama kinawauma sisi kuwa unbeaten 45... mnaona tulipendelewa, mara bahasha katoeni ushahidi TFF huyo refa alivyopewa hiyo hela... mmesema ni 10m?
Mimi sijasema wamenunuliwa soma tena. Hakuna siku nimeongelea marefa nikatuhumu rushwa. Ninachokijua binafsi Marefa wa Tanzania ni wavivu wa kutafuta "angle of view" na kufanya anticipation.
 
Back
Top Bottom