Waandamanaji Bangladesh waiba vitu kwa Waziri

Waandamanaji Bangladesh waiba vitu kwa Waziri

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
Waandamanaji mjini Bangladesh wavamia na kuiba vitu katika nyumba ya aliyekua waziri mkuu na kujiuzulu Sheikh Hasina aliyekimbia nchi kwenda kutafuta hifadhi india, Sheikh Hasina alijiuzulu nafasi yake ya uwaziri na kukimbilia kujificha India jumatatu Agosti 5 baada ya kupata taarifa kua waandamanaji wanaoipinga serikali wanaelekea nyumbani kwake, Aidha waandamanaji hao wanapinga serikali kwa kushinikiza kumalizika kwa ongozi wa kimabavu na ufisadi uliodumu kwa kipindi kirefu cha mgogoro wa kiuchumi.
 
Back
Top Bottom