Waandamanaji wadaiwa kuchoma ndege iliyokuwa imeegeshwa Uhuru Park

Waandamanaji wadaiwa kuchoma ndege iliyokuwa imeegeshwa Uhuru Park

Mjukuu wa kigogo

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2023
Posts
445
Reaction score
1,094
Asee

FB_IMG_1719343041846.jpg
 
hii ni sawa na mke na mume wamegombana, mke anachoma gari ya familia, anapata faida gani sasa? kitakachotokea watachukua kodi hizo hizo za wakenya hao hao wanaochoma, watanunua ndege nyingine, hasara kwa nani? hao wakenya waliochoma ndege hawatakuja kuipanda hiyo ndege watakayonunua kureplace. fikiri kabla ya kufanya. kama wewe unaipenda nchi yako, ila unachukia wezi, zile mali unazoona wameiba sio za kuchoma, ni za kuhifadhi walau ufaidike na kidogo ulichowakuta nacho.
 
hii ni sawa na mke na mume wamegombana, mke anachoma gari ya familia, anapata faida gani sasa? kitakachotokea watachukua kodi hizo hizo za wakenya hao hao wanaochoma, watanunua ndege nyingine, hasara kwa nani? hao wakenya waliochoma ndege hawatakuja kuipanda hiyo ndege watakayonunua kureplace. fikiri kabla ya kufanya. kama wewe unaipenda nchi yako, ila unachukia wezi, zile mali unazoona wameiba sio za kuchoma, ni za kuhifadhi walau ufaidike na kidogo ulichowakuta nacho.
Kabisa Mkuu.
 
Back
Top Bottom