Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 445
- 1,094
Asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SikupingiMwanaume mmoja wa Kenya ni wanaume 1609 wa Kinoo au Kinondoni na Mbagala
SahihiMwanaume mmoja wa Kenya ni wanaume 1609 wa Kinoo au Kinondoni na Mbagala
Mjukuu wa Kigogo wewe ni Gen Z au X😂😂😂Sikupingi
Mahesabu ya wapi hayo, ratio ni 1:2500, yaani mkenya mmoja sisi wa kinondoni ni 2500Mwanaume mmoja wa Kenya ni wanaume 1609 wa Kinoo au Kinondoni na Mbagala
Hii si ndege ya kupaa bali ni ile iligeuzwa restaurant pale Uhuru park!
Wanachakujifunza hapa maana hakuna marefu yasiyo na nchaDah! Wacha tukae na wabunge wetu wa standard 7 ila wanataka waitwe Dr
HakikaWanachakujifunza hapa maana hakuna marefu yasiyo na ncha
hii ni sawa na mke na mume wamegombana, mke anachoma gari ya familia, anapata faida gani sasa? kitakachotokea watachukua kodi hizo hizo za wakenya hao hao wanaochoma, watanunua ndege nyingine, hasara kwa nani? hao wakenya waliochoma ndege hawatakuja kuipanda hiyo ndege watakayonunua kureplace. fikiri kabla ya kufanya. kama wewe unaipenda nchi yako, ila unachukia wezi, zile mali unazoona wameiba sio za kuchoma, ni za kuhifadhi walau ufaidike na kidogo ulichowakuta nacho.
Kabisa Mkuu.hii ni sawa na mke na mume wamegombana, mke anachoma gari ya familia, anapata faida gani sasa? kitakachotokea watachukua kodi hizo hizo za wakenya hao hao wanaochoma, watanunua ndege nyingine, hasara kwa nani? hao wakenya waliochoma ndege hawatakuja kuipanda hiyo ndege watakayonunua kureplace. fikiri kabla ya kufanya. kama wewe unaipenda nchi yako, ila unachukia wezi, zile mali unazoona wameiba sio za kuchoma, ni za kuhifadhi walau ufaidike na kidogo ulichowakuta nacho.
Tuache utani!Mwanaume mmoja wa Kenya ni wanaume 1609 wa Kinoo au Kinondoni na Mbagala