Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Fafanua vizuri.Hii si ndege ya kupaa bali ni ile iligeuzwa restaurant pale Uhuru park!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua vizuri.Hii si ndege ya kupaa bali ni ile iligeuzwa restaurant pale Uhuru park!
Hio ndege ya uhuru park ni mbovu, iliwekwa hapo kama kivutio tu, hafanyi kazi mkuu.hii ni sawa na mke na mume wamegombana, mke anachoma gari ya familia, anapata faida gani sasa? kitakachotokea watachukua kodi hizo hizo za wakenya hao hao wanaochoma, watanunua ndege nyingine, hasara kwa nani? hao wakenya waliochoma ndege hawatakuja kuipanda hiyo ndege watakayonunua kureplace. fikiri kabla ya kufanya. kama wewe unaipenda nchi yako, ila unachukia wezi, zile mali unazoona wameiba sio za kuchoma, ni za kuhifadhi walau ufaidike na kidogo ulichowakuta nacho.
Si ndege inayotembea na kuruka ndo maana ipo Uhuru park na si uwanja wa ndege!Fafanua vizuri.