Waandamanaji wadaiwa kuchoma ndege iliyokuwa imeegeshwa Uhuru Park

Hio ndege ya uhuru park ni mbovu, iliwekwa hapo kama kivutio tu, hafanyi kazi mkuu.
 
Nasema hivi, hio cha mtoto, leo zakayo anaongea kwa zarau sababu analindwa, alichoongea leo ndio ameharibu zaidi kesho moto utawaka upya na hivi wameua watu ndio kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…