Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Waandishi wa Habari Wawili wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) na mmoja wa EATV wamekamatwa na Jeshi la Polisi walipokuwa wakiripoti katika #Maandamano ya Amani yaliyoitishwa na CHADEMA.
Waandishi wa MCL waliokamatwa ni Michael Matemanga aliyekamatiwa Msimbazi na Lawrence Mnubi aliyekamatiwa Buguruni, Mariam Shabani (EATV) amekamatwa akiwa eneo la Ilala Boma
Imeelezwa Michael ameachiwa huru huku Lawrence na Mariam wakiendelea kushikiliwa
Soma pia: Waziri Nape astushwa Waandishi wa Mwananchi kushambuliwa na Watu Wasiojulikana, alaani na kuagiza Polisi Wawasake!
Waandishi wa MCL waliokamatwa ni Michael Matemanga aliyekamatiwa Msimbazi na Lawrence Mnubi aliyekamatiwa Buguruni, Mariam Shabani (EATV) amekamatwa akiwa eneo la Ilala Boma
Imeelezwa Michael ameachiwa huru huku Lawrence na Mariam wakiendelea kushikiliwa
Soma pia: Waziri Nape astushwa Waandishi wa Mwananchi kushambuliwa na Watu Wasiojulikana, alaani na kuagiza Polisi Wawasake!