Waandishi na wachambuzi wa michezo ni wanafiki, wakiongozwa na Kitenge

Kitenge na jopo lake la vilaza ni wapumbavu sana
 
leo nimesikia mwandishi wa Efm anamuuliza msemaji wa GSB mbona yeye amekuwa mwungana hajawahi kugombana na waandishi wa habari, nikazima redio nikasema kumbe haji manara hakukosea kuwaita takataka yaani badaka ya kuuliza maswali wanajipendekeza.
Huyo kilaza amesahau wiki hii Hassan Bumbuli aliwaita waandishi washamba na wakang'aka sana. Yaani mtu ukishakubali kuwa mtopolo akili zinawehuka kabisa
 

[emoji706][emoji706]
 
Mkuu kunywa soda nitalipa
 
M
Mpwa tunakubaliana kwa mambo mengi sana lakini hili umeliongea kishabiki sana
 
Kitenge ni chakuraaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…