Waandishi wa Habari waaibishwa kutoripoti uwanja wa ndege wa Katavi kuota nyasi na mmliki wa ambulance zilizokamatwa bandarini

Hii nchi inachekesha sana ujue[emoji3]


Nahisi izo kontena ni za bosi mmoja huko serikalini
 
Muda huo huo CNN wakamjibu Tena kwa kumtag kwenye Twitter (Sio kazi yetu kuitangaza vizuri Marekani Duniani hiyo ni kazi ya Rais na serikali yake kazi yetu ni kuripoti na kuandika UKWELI TU)
Demokrasia iliyokomaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…