Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Ngoja nikuongezee comment kwenye Uzi wako lakini Acha makasiriko Mkuu. Hata wewe hujui umeandika nini!Yanga imemrudisha Tuisila Kisinda, ni mchezaji mwenye mbio kama mbuni lakini akili ya mpira hana, Kisinda awe winga mzuri asiitwe timu ya Taifa, awe mzuri Berkane wamtoe kwa mkopo, acheni utani, mnawasifia wachezaji ili kuwapandisha thaman wanunuliwe kwa bei ghali, tuambieni Kisila kachukua nafasi ya nani, kwanini mlimsajili Kambole kumbe hayuko fit, waàndishi wa mchongo na wachambuzi uchwara, where are you, mnasubiri Dejan akose goli muinange Simba.
Zuchu: Mtasubiri sana
Mke wetu FCYanga imemrudisha Tuisila Kisinda, ni mchezaji mwenye mbio kama mbuni lakini akili ya mpira hana, Kisinda awe winga mzuri asiitwe timu ya Taifa, awe mzuri Berkane wamtoe kwa mkopo, acheni utani, mnawasifia wachezaji ili kuwapandisha thaman wanunuliwe kwa bei ghali, tuambieni Kisila kachukua nafasi ya nani, kwanini mlimsajili Kambole kumbe hayuko fit, waàndishi wa mchongo na wachambuzi uchwara, where are you, mnasubiri Dejan akose goli muinange Simba.
Zuchu: Mtasubiri sana
Mbona kama umepaniki! Shida iko wapi?Yanga imemrudisha Tuisila Kisinda, ni mchezaji mwenye mbio kama mbuni lakini akili ya mpira hana, Kisinda awe winga mzuri asiitwe timu ya Taifa, awe mzuri Berkane wamtoe kwa mkopo, acheni utani, mnawasifia wachezaji ili kuwapandisha thaman wanunuliwe kwa bei ghali, tuambieni Kisila kachukua nafasi ya nani, kwanini mlimsajili Kambole kumbe hayuko fit, waàndishi wa mchongo na wachambuzi uchwara, where are you, mnasubiri Dejan akose goli muinange Simba.
Zuchu: Mtasubiri sana
Wewe noumbavu kisinda hajatolewa kwa mkopo berkane wamevunja mkataba wake,kaja yanga as a free agentYanga imemrudisha Tuisila Kisinda, ni mchezaji mwenye mbio kama mbuni lakini akili ya mpira hana, Kisinda awe winga mzuri asiitwe timu ya Taifa, awe mzuri Berkane wamtoe kwa mkopo, acheni utani, mnawasifia wachezaji ili kuwapandisha thaman wanunuliwe kwa bei ghali, tuambieni Kisila kachukua nafasi ya nani, kwanini mlimsajili Kambole kumbe hayuko fit, waàndishi wa mchongo na wachambuzi uchwara, where are you, mnasubiri Dejan akose goli muinange Simba.
Zuchu: Mtasubiri sana
Nimeioenda hii, jibu zuri kwa muaznisha thread!
Sijawahi kuuona mwandiko wa Mwanaume ukiwa namna hiiYanga imemrudisha Tuisila Kisinda, ni mchezaji mwenye mbio kama mbuni lakini akili ya mpira hana, Kisinda awe winga mzuri asiitwe timu ya Taifa, awe mzuri Berkane wamtoe kwa mkopo, acheni utani, mnawasifia wachezaji ili kuwapandisha thaman wanunuliwe kwa bei ghali, tuambieni Kisila kachukua nafasi ya nani, kwanini mlimsajili Kambole kumbe hayuko fit, waàndishi wa mchongo na wachambuzi uchwara, where are you, mnasubiri Dejan akose goli muinange Simba.
Zuchu: Mtasubiri sana
Ndiyo hivyo tayari umeshathibitisha na wewe ni mpuuziHuu uzi kuweka comment ni upuuzi mtupu