Waandishi waandamana Kenya, Rais Ruto kuhutubia Taifa Leo saa 7:00 mchana. Tanzania tusiwaige Wakenya!

Waandishi waandamana Kenya, Rais Ruto kuhutubia Taifa Leo saa 7:00 mchana. Tanzania tusiwaige Wakenya!

Kiukweli Tanzania tusifikirie kabisa mambo ya Maandamano yanarudisha nyuma Maendeleo

Fikiria Rais Ruto kila baada ya siku mbili anahutubia Taifa

Wahuni siyo Watu 😂

Yaani nchi yetu ilivyo makini iige ujinga wa watu wa kenya wasiojitambua.

Nchi yoyote makini haiwezi ikawa katika hatua iliyofikia kenya.
 
Kiukweli Tanzania tusifikirie kabisa mambo ya Maandamano yanarudisha nyuma Maendeleo

Fikiria Rais Ruto kila baada ya siku mbili anahutubia Taifa

Wahuni siyo Watu 😂
Kumbuka kenya ni nchi tunayopakana nayo kwahiyo tuombe tu Mungu vijana wasije kukopy kwa majirani...
 
Nchi imekuwa ngumu, anaweza akaachia nafasi ili kupunguza msongo wa mawazo
 
Siyaungi mkono matendo hayo Ila najua wanafanya ivyo ili watu wapate hasira waweze kuamka
 
Back
Top Bottom