Waandishi waanza kuianika Yanga,heko

Waandishi waanza kuianika Yanga,heko

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20210915_105648.jpg
 
Kwenye makala Edo Kumwembe kaandika kwamba Yanga walipoenda Morocco wachezaji watatu walikutwa na Corona ,ila kule kambini wakawaanbukiza wenzao 12 ,ikabidi wote warudi bongo maana wengine wameitwa timu za taifa halafu 12 wana Corona ,halafu sasa Yanga walivyoficha hiyo ishu utadhani ya aibu sana
 
Unaianikaje Yanga SC baada ya mechi 1 ya kimashindano?

Ni sawa na kusema Waandishi wameanza kuianika Manchester UTD baada ya kufungwa na Yound Boys au Barcelona baada ya kufungwa na Bayeern Munchen.
 
Kwenye makala Edo Kumwembe kaandika kwamba Yanga walipoenda Morocco wachezaji watatu walikutwa na Corona ,ila kule kambini wakawaanbukiza wenzao 12 ,ikabidi wote warudi bongo maana wengine wameitwa timu za taifa halafu 12 wana Corona ,halafu sasa Yanga walivyoficha hiyo ishu utadhani ya aibu sana
Na walio enda National Team walienda na Corona, that means waliowaambukiza wenzao wote wa NT.
 
Na walio enda National Team walienda na Corona, that means waliowaambukiza wenzao wote wa NT.
Sasa hapo sijui ,ila Edo Kumwembe alikuwa kwenye kambi ya Yanga Morocco
 
hizo chupli chupli za manara ndo mmea gani huo?
 
Kwenye makala Edo Kumwembe kaandika kwamba Yanga walipoenda Morocco wachezaji watatu walikutwa na Corona ,ila kule kambini wakawaanbukiza wenzao 12 ,ikabidi wote warudi bongo maana wengine wameitwa timu za taifa halafu 12 wana Corona ,halafu sasa Yanga walivyoficha hiyo ishu utadhani ya aibu sana
Kwa mujibu wa sheria.

Anayetakiwa kutangaza visa vya corona ni waziri wa afya.Siyo Yanga SC.
 
Yanga kamatimu, hawajawahi kukataa kukosolewa Ila Simba wakikosolewa wanasema waandishi ni vilaza na wanapewa rushwa na GSM.
Simba Sports Club haijawahi kataa kukosolewa asee labda imekuwa mbele kupinga attacks

Kuna tofauti kubwa kati ya attacks na ushauri just imagine toka lini mshindi akaitaji ushauri wa mtu I mean simba ni bingwa hakuna ushauri utatoa kwake

Kukumbushia ni kuwa timu ambayo inahitaji sana ushauri na faraja pia ni Uto make si wachezaji au mashabiki mda wowote unaweza skia mtu kajitia kitanzi alafu lawama akapewa TFF
 
Back
Top Bottom