Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ukweli sana hapa..
...ili kupisha utumbukizaji wa kura feki kwny maboksipia baadhi ya vituo mawakala wa upinzani walitolewa na polis na kupelekwa rumande za polis.
Wavhumia tumbo kayika ubora waoRais wa zamani Silvestre Ntibantunganya ambaye ndiye Mwenyekiti wa ujumbe wa waangalizi kutoka Afrika Mashariki, amesema kuwa uchaguzi mkuu Tanzania ulifanyika kwa kufuata taratibu.
Ujumbe wa waangalizi wa EAC ulikuwa na wajumbe 89 waliosambazwa maeneo mbalimbali , kufuatilia mchakato wa upigaji kura lakini pia utangazaji wa matokeao ya kura hizo.
Bwana Ntabitunganya amesema walikutana na wadau wa uchaguzi ikiwemo tume na vyama vya kisiasa na waangalizi wengine.
Ujumbe huo umesema umeshuhudia hali ya usalama kaika maeneo mbalimbali, watu wakifanya kampeni kwa uhuru kabla ya kuanza shughuli ya upigaji kura.
Katika siku ya kupiga kura vituo vilifunguliwa kwa muda muafaka, masuala ya ya kiufundi yalifanywa kwa weledi.
Waangalizi walishuhudia wapiga kura wakitekeleza wajibu wao bila kutishwa wala hofu.
''Baadhi ya vyama vya siasa au wagombea wamelalamikia kuhusu namna uchaguzi ulivyoandaliwa na namna matokeo yalivyotangazwa na tume ya taifa ya uchaguzi.Ujumbe wa waangalizi unatoa wito kwa vyama vya kisiasa, kufuata taratibu za kisheria kuonesha kutoridhishwa kwao na matokeo.Tunatoa wito kwa vyama vya siasa kuweka mbele maslahi ya Watanzania, ikiwemo usalama na amani na kuepuka vitendo vyovyote vya uvunjifu wa amani'', alisema.
Ujumbe umewapongeza Watanzania kwa busara walioionesha katika shughuli za wakati wa kampeni na uchaguzi kwa kuzingatia kwanza masuala ya amani na usalama.
''Ujumbe unawasisitiza wagombea, vyama vya siasa na wengine wote kuendelea kuimarisha usalama na amani ''. Alisema mwenyekiti wa ujumbe huo Bw. Ntibantunganya.
Chanzo: BBC swahili
Je hawakuona wagombea wakienguliwa na kuzuiwa kufanya kampeni? Je hawakuone jinsi wagombea wa vyama vingine walivyozuiwa kutumia media?Rais wa zamani Silvestre Ntibantunganya ambaye ndiye Mwenyekiti wa ujumbe wa waangalizi kutoka Afrika Mashariki, amesema kuwa uchaguzi mkuu Tanzania ulifanyika kwa kufuata taratibu.
Ujumbe wa waangalizi wa EAC ulikuwa na wajumbe 89 waliosambazwa maeneo mbalimbali , kufuatilia mchakato wa upigaji kura lakini pia utangazaji wa matokeao ya kura hizo.
Bwana Ntabitunganya amesema walikutana na wadau wa uchaguzi ikiwemo tume na vyama vya kisiasa na waangalizi wengine.
Ujumbe huo umesema umeshuhudia hali ya usalama kaika maeneo mbalimbali, watu wakifanya kampeni kwa uhuru kabla ya kuanza shughuli ya upigaji kura.
Katika siku ya kupiga kura vituo vilifunguliwa kwa muda muafaka, masuala ya ya kiufundi yalifanywa kwa weledi.
Waangalizi walishuhudia wapiga kura wakitekeleza wajibu wao bila kutishwa wala hofu.
''Baadhi ya vyama vya siasa au wagombea wamelalamikia kuhusu namna uchaguzi ulivyoandaliwa na namna matokeo yalivyotangazwa na tume ya taifa ya uchaguzi.Ujumbe wa waangalizi unatoa wito kwa vyama vya kisiasa, kufuata taratibu za kisheria kuonesha kutoridhishwa kwao na matokeo.Tunatoa wito kwa vyama vya siasa kuweka mbele maslahi ya Watanzania, ikiwemo usalama na amani na kuepuka vitendo vyovyote vya uvunjifu wa amani'', alisema.
Ujumbe umewapongeza Watanzania kwa busara walioionesha katika shughuli za wakati wa kampeni na uchaguzi kwa kuzingatia kwanza masuala ya amani na usalama.
''Ujumbe unawasisitiza wagombea, vyama vya siasa na wengine wote kuendelea kuimarisha usalama na amani ''. Alisema mwenyekiti wa ujumbe huo Bw. Ntibantunganya.
Chanzo: BBC swahili
Sylvestre Ntibantunganya si Mnyarwanda, Mnyarwanda mwenzie na mgombea wa CCM, unategemea nini kama sio kumuunga mkono mwenzake?
Pia kuna wangalizi toka south Africa wanapingana na hao wa EAC kwa mujibu waNtibantunganya alikuwa Rais wa Burundi 1993 baada ya kifo cha Melkiory Ndadaye wa Burundi
Tehe tehe tehe tehe teheNiliwahi kusikia kuwa CCM ina matawi yenye wanachama kwenye nchi za ukanda wa East africa, nadhani hawa mbuzi ni makada wa kinyarwanda waliojificha nyuma ya mwamvuli wa uangalizi.
Ha ha ha....hivi bwege kapona kweli?Wewe ulisikia wapi?
Kwani nao walikuwepo kwenye uchaguzi?EU ndiyo watawamaliza kabisa chadema watakapotoa ripoti yao, sasa siujui mtakimbilia wapi tena ?
Mabeberu wasitutingishe
Hawajui kama kuna wagombea Wa chadema walienguliwa.EU ndiyo watawamaliza kabisa chadema watakapotoa ripoti yao, sasa siujui mtakimbilia wapi tena ?
Ni Mrundi mwenzakeWewe ni kilaza kama vilaza wengine
Lipo wazi kabisa...Rais wa zamani Silvestre Ntibantunganya ambaye ndiye Mwenyekiti wa ujumbe wa waangalizi kutoka Afrika Mashariki, amesema kuwa uchaguzi mkuu Tanzania ulifanyika kwa kufuata taratibu.
Ujumbe wa waangalizi wa EAC ulikuwa na wajumbe 89 waliosambazwa maeneo mbalimbali , kufuatilia mchakato wa upigaji kura lakini pia utangazaji wa matokeao ya kura hizo.
Bwana Ntabitunganya amesema walikutana na wadau wa uchaguzi ikiwemo tume na vyama vya kisiasa na waangalizi wengine.
Ujumbe huo umesema umeshuhudia hali ya usalama kaika maeneo mbalimbali, watu wakifanya kampeni kwa uhuru kabla ya kuanza shughuli ya upigaji kura.
Katika siku ya kupiga kura vituo vilifunguliwa kwa muda muafaka, masuala ya ya kiufundi yalifanywa kwa weledi.
Waangalizi walishuhudia wapiga kura wakitekeleza wajibu wao bila kutishwa wala hofu.
''Baadhi ya vyama vya siasa au wagombea wamelalamikia kuhusu namna uchaguzi ulivyoandaliwa na namna matokeo yalivyotangazwa na tume ya taifa ya uchaguzi.Ujumbe wa waangalizi unatoa wito kwa vyama vya kisiasa, kufuata taratibu za kisheria kuonesha kutoridhishwa kwao na matokeo.Tunatoa wito kwa vyama vya siasa kuweka mbele maslahi ya Watanzania, ikiwemo usalama na amani na kuepuka vitendo vyovyote vya uvunjifu wa amani'', alisema.
Ujumbe umewapongeza Watanzania kwa busara walioionesha katika shughuli za wakati wa kampeni na uchaguzi kwa kuzingatia kwanza masuala ya amani na usalama.
''Ujumbe unawasisitiza wagombea, vyama vya siasa na wengine wote kuendelea kuimarisha usalama na amani ''. Alisema mwenyekiti wa ujumbe huo Bw. Ntibantunganya.
Chanzo: BBC swahili