Waarab wa Sudan wamechinja sana weusi, tena kwa maelfu ila mweusi wa hapa JF kutwa unawaza Palestine


Ustadhi, weusi wenzako wanauawa mauaji ya kimbari na miungu yenu ya waarabu, mnapenda kuyaabudu ila yenyewe yanawachukia sana....kwanza huwaona kama mbwa..hivyo leo ukivaa likanzu na kuongea ongea kiarabu huko ulijue hilo...
Kwanza nilisoma sehemu namna yule 'mungu' wako muddy alichukia weusi.

 
Ustadhi, weusi wenzako wanauawa mauaji ya kimbari na miungu yenu ya waarabu, mnapenda kuyaabudu ila yenyewe yanawachukia sana....kwanza huwaona kama mbwa..hivyo leo ukivaa likanzu na kuongea ongea kiarabu huko ulijue hilo...
]

We lzm unalishwa habat muluq
Rojo kwa sana
Rinda reefu ka twiga
 
Humo kwenye madrassa hamfundishwi dunia ilivyo, zaidi ya kuvaa mikanzu na kuotesha ndevu??
Hmafundishwi walipo hao 'miungu' wenu waarabu...

We papuchi ya kihutu mbona ukipewa jibu takatifu unalilia Mods wanifungie?
We si mwanamke ulizalishwa watoto 7 na kila mtoto Ana babake.
Sasa km hio papuchi yako imeweza kubeba mitalimbo mingi ya kila saizi unashindwaje kuvumilia maneno ya magaidi? [emoji1787]
Twende jino kwa jino.
Usiite mods hapa waje kukuokoa.
Tulia mtalimbo wa kigaidi uingie.
 
Kama Waarabu wangekuwa na nguvu katika hii Dunia hali ingekuwa mbaya sana kwa jamii nyingine.

Kwanza wasio Waislamu wangeuliwa wote.

Pili wasio Waarabu wangeuliwa wote.

Tatu wao kwa wao wangeanza kuuana.
Na kuishia kuwa Dunia ya Fujo.

Kamwe Mwarabu hatopata Nguvu ya kuitawala Dunia.
Wala Mwislamu.
Mungu amefanya hivyo kwa nia Njema kabisa.
 
Na akiuliwa mwarabu pia anahusishwa na dini. Umelisahau hilo pia. Kwani wanaouliwa Gaza ni Waislam au waarabu? Pumbavu kabisa nyie Muhammadan mliopofushwa macho na kuamini muarabu ndio mwanadamu ila waafrika ni manyani.
 
Na akiuliwa mwarabu pia anahusishwa na dini. Umelisahau hilo pia. Kwani wanaouliwa Gaza ni Waislam au waarabu? Pumbavu kabisa nyie Muhammadan mliopofushwa macho na kuamini muarabu ndio mwanadamu ila waafrika ni manyani.
Ona ulivyokuwa mjinga ishu ni kuuliwa watu weusi ila mchanganya na dini ,kule palestine kuna wagalatia wenzenu ila mnatetea wanaisrael wa mchongoπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…....Nyie dini imefanya kuwa wapumbavu mnajua kila muarabu ni muislamu basi wale wale watawala wa dubai na saudia sio waislamu kabisa
 
Sasa hapo si watu weusi mbona wakatoliko wameua sana , orthodox wanaua kule Ukraine sioni ukileta uziπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Ndivyo ilivyo hata wewe mwenyewe kila siku unashangilia mzungu wa US wakati ndugu zako hapo Congo kila siku wanauawa tu. Na wazungu wako huko Afrika magharibi wanaleta shida hadi wamefurushwa kwa serikali za kimapinduzi.
Huu ni ushabiki kama ushabiki mwingine tu kama wa mpira. Kila mtu anavutia upande wake.
 
Watoto wa mnyaazi "mungu" wengi hasa wale wanajikuta wameshika Sana dini ni maskini wa akili usisahau hilo
 
Waarabu na wahindi na wabaguzi sana kwa watu weusi kuliko wazungu. Siku moja ningali kijana nilikuwa Heathrow kusubiri BA49 kuja Tanzania wakati huo. Nilikuwa na bunda kubwa la sigara za Marlboro Lights nilizokuwa nimenunua Hong Kong Duty Free. Nikakutana na binti mmoja wa kimarekani aliyekuwa anakwenda Kenya akani-approach na kuanzisha mazungumzo nami. Baadaye akaniomba sigara moja kwa vile hakuvuta safari yake yote tokea Seattle. Mwarabu mmoja akarukia kati kumpatia sigara zake bila kuombwa ingawa binti yule alizikataa akachukua zangu. Kwa mwarabu yule aliamini kuwa binti yule wa kizungu hakutakiwa kuvuta sigara kwa kupewa na mtu mweusi. Ingawa jambo hilo lilishia pale, ilitokea tu kwenye ndege nilikaa kiti kimoja na binti yule hadi Nairobi, na katika mazungumzo yetu alishangaa lkwa nini mtu yule alimpa sigara bila kuombwa.
 
Sasa hapo si watu weusi mbona wakatoliko wameua sana , orthodox wanaua kule Ukraine sioni ukileta uziπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Mauaji ya kimbari yanafanywa na waarabu miungu wako ndani ya Afrika kwa Waafrika weusi, wanazunguka mlango kwa mlango, wanachinja wanaume na wavulana na kufanya ukatili kwa wasichana na wanawake.
Na kwa mlivyo majuha wa kidini, mnatetea kisa yanafanywa na waarabu miungu wa dini yenu, ambayo hata muasisi wake alichukia sana weusi.
 

Hebu nionyeshe taarifa za wazungu wanaozunguka mlango kwa mlango na kufanya mauaji ya kimbari hapa Afrika. Siwezi nikawatetea hata siku moja, sio kama nyie mazombi wa kidini mnatetea kinachofanywa na waarabu kwa weusi wenzenu kisa hao waarabu ni miungu wa dini yenu.
 
Kwa hiyo wewe wataka wanaozunguka mlango kwa mlango sio kuua au kufadhili machafuka?
Mauaji ni mauaji haijalishi yawe mlango kwa mlango au kwa drone strike.
 
Kimbari ni wakatoliko ila mbona huleta ,wewe unadili na uislamu kila siku yule Mx shimba ministry yupo wap?πŸ˜‚πŸ˜‚


Yaani hauna point unadanganya...Vile vita Urusi (orthodox) anaua wakristo wenzio pale ukraine ila hakuna uzi unataja kwa mlengo wa dini ya orthodox ambao ni wakristo , wachambuzi wote wanataja urusi bila kuingiza dini ila ukitokea nchi ya kiislamu dini inaingizwaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa hiyo wewe wataka wanaozunguka mlango kwa mlango sio kuua au kufadhili machafuka?
Mauaji ni mauaji haijalishi yawe mlango kwa mlango au kwa drone strike.

Nionyeshe hata hao wa drone strike wanaolipua vijiji vya maskini Waafrika.
Nyie waarabu wanachinja na kuua kuua Waafrika huku mkiwatetea kisa miungu wenu kwenye uislamu.
 

Kule Urusi ni vita baina ya mataifa, ila pale Sudan ni miungu wako waarabu wanazunguka mlango kwa mlango wakichinja maskini weusi, unawatetea kisa uzombi wa kidini.
 
Kule Urusi ni vita baina ya mataifa, ila pale Sudan ni miungu wako waarabu wanazunguka mlango kwa mlango wakichinja maskini weusi, unawatetea kisa uzombi wa kidini.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wakristo wale orthodox wanaua wenzao ili wachukue utawala washambaze dini yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…