Waarabu hawajawahi kuwashinda Wayahudi Tangu Siku ya kwanza Ibrahim alivyokanyaga Ardhi ya Kanaani

Waarabu hawajawahi kuwashinda Wayahudi Tangu Siku ya kwanza Ibrahim alivyokanyaga Ardhi ya Kanaani

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Kwa wasioelewa haya mambo wanaweza Kuona ni mapya lakini hakuna jipya hata Moja. Mengi ni marudio.

Tangu Ibrahim akanyage Hapo Kanaani Muarabu na jamii za Mashariki ya Kati hazijawahi kuwashinda Mayahudi.

Ikumbukwe Kuwa Mayahudi ndio yalikabidhiwa Mkoba na Ibrahim ambao Mkoba huo Ibrahim aliutoa kwa Babu yake aitwaye Nuhu, kisha Nuhu aliutoa kwa Babu yake Aitwaye Henoko, kisha Henoko aliutoa Mkoba huo kwa Babu yake aitwaye ADAMU, Kisha Adamu alipewa na aliyemuumba.

Mayahudi yana Siri nyingi sana za huu ulimwengu mbali na Mikoba yaliyopewa.
Kuyashinda ni kazi ngumu Sana.

Hapo waarabu watapiga Mark time sana na watachapika vilivyo.

Kuna watu wanawataja Wachina kama suluhu ya huu ulimwengu lakini China kinasaba ametoka kwa HAMU, Yaani China na Waafrika wanaundugu hivyo haitarajiwi hivi mapema kama china atashika Utawala wa huu ulimwengu

Kama Kuna mtu ambaye anafikiri kuwa Muarabu atamshinda Myahudi basi atakuwa anamatarajio yasiyowezekana.

Muarabu amezidiwa kwenye Maeneo nyeti na Myahudi hata kile wanachojivunia ambao ni huo uislam umeathiriwa vilivyo na uyahudi kuliko jambo lolote lile.

Waajemi yaani Iran walishawahi kuwachukua baadhi ya mayahudi utumwani, ngoja tuone

Ngoja tuone huko Lebanon nini huko Mashariki ya Kati.

Mlale unono
 
Kwema Wakuu!

Kwa wasioelewa haya mambo wanaweza Kuona ni mapya lakini hakuna jipya hata Moja. Mengi ni marudio.

Tangu Ibrahim akanyage Hapo Kanaani Muarabu na jamii za Mashariki ya Kati hazijawahi kuwashinda Mayahudi.

Ikumbukwe Kuwa Mayahudi ndio yalikabidhiwa Mkoba na Ibrahim ambao Mkoba huo Ibrahim aliutoa kwa Babu yake aitwaye Nuhu, kisha Nuhu aliutoa kwa Babu yake Aitwaye Henoko, kisha Henoko aliutoa Mkoba huo kwa Babu yake aitwaye ADAMU, Kisha Adamu alipewa na aliyemuumba.

Mayahudi yana Siri nyingi sana za huu ulimwengu mbali na Mikoba yaliyopewa.
Kuyashinda ni kazi ngumu Sana.

Hapo waarabu watapiga Mark time sana na watachapika vilivyo.

Kuna watu wanawataja Wachina kama suluhu ya huu ulimwengu lakini China kinasaba ametoka kwa HAMU, Yaani China na Waafrika wanaundugu hivyo haitarajiwi hivi mapema kama china atashika Utawala wa huu ulimwengu

Kama Kuna mtu ambaye anafikiri kuwa Muarabu atamshinda Myahudi basi atakuwa anamatarajio yasiyowezekana.
Muarabu amezidiwa kwenye Maeneo nyeti na Myahudi hata kile wanachojivunia ambao ni huo uislam umeathiriwa vilivyo na uyahudi kuliko jambo lolote lile.

Waajemi yaani Iran walishawahi kuwachukua baadhi ya mayahudi utumwani, ngoja tuone

Ngoja tuone huko Lebanon nini huko Mashariki ya Kati.

Mlale unono
Hakika Sio ulongo!
 
Kwema Wakuu!

Kwa wasioelewa haya mambo wanaweza Kuona ni mapya lakini hakuna jipya hata Moja. Mengi ni marudio.

Tangu Ibrahim akanyage Hapo Kanaani Muarabu na jamii za Mashariki ya Kati hazijawahi kuwashinda Mayahudi.

Ikumbukwe Kuwa Mayahudi ndio yalikabidhiwa Mkoba na Ibrahim ambao Mkoba huo Ibrahim aliutoa kwa Babu yake aitwaye Nuhu, kisha Nuhu aliutoa kwa Babu yake Aitwaye Henoko, kisha Henoko aliutoa Mkoba huo kwa Babu yake aitwaye ADAMU, Kisha Adamu alipewa na aliyemuumba.

Mayahudi yana Siri nyingi sana za huu ulimwengu mbali na Mikoba yaliyopewa.
Kuyashinda ni kazi ngumu Sana.

Hapo waarabu watapiga Mark time sana na watachapika vilivyo.

Kuna watu wanawataja Wachina kama suluhu ya huu ulimwengu lakini China kinasaba ametoka kwa HAMU, Yaani China na Waafrika wanaundugu hivyo haitarajiwi hivi mapema kama china atashika Utawala wa huu ulimwengu

Kama Kuna mtu ambaye anafikiri kuwa Muarabu atamshinda Myahudi basi atakuwa anamatarajio yasiyowezekana.
Muarabu amezidiwa kwenye Maeneo nyeti na Myahudi hata kile wanachojivunia ambao ni huo uislam umeathiriwa vilivyo na uyahudi kuliko jambo lolote lile.

Waajemi yaani Iran walishawahi kuwachukua baadhi ya mayahudi utumwani, ngoja tuone

Ngoja tuone huko Lebanon nini huko Mashariki ya Kati.

Mlale unono
Ni kweli walipigwa wakanyang’anywa ardhi yao
 
Kwema Wakuu!

Kwa wasioelewa haya mambo wanaweza Kuona ni mapya lakini hakuna jipya hata Moja. Mengi ni marudio.

Tangu Ibrahim akanyage Hapo Kanaani Muarabu na jamii za Mashariki ya Kati hazijawahi kuwashinda Mayahudi.

Ikumbukwe Kuwa Mayahudi ndio yalikabidhiwa Mkoba na Ibrahim ambao Mkoba huo Ibrahim aliutoa kwa Babu yake aitwaye Nuhu, kisha Nuhu aliutoa kwa Babu yake Aitwaye Henoko, kisha Henoko aliutoa Mkoba huo kwa Babu yake aitwaye ADAMU, Kisha Adamu alipewa na aliyemuumba.

Mayahudi yana Siri nyingi sana za huu ulimwengu mbali na Mikoba yaliyopewa.
Kuyashinda ni kazi ngumu Sana.

Hapo waarabu watapiga Mark time sana na watachapika vilivyo.

Kuna watu wanawataja Wachina kama suluhu ya huu ulimwengu lakini China kinasaba ametoka kwa HAMU, Yaani China na Waafrika wanaundugu hivyo haitarajiwi hivi mapema kama china atashika Utawala wa huu ulimwengu

Kama Kuna mtu ambaye anafikiri kuwa Muarabu atamshinda Myahudi basi atakuwa anamatarajio yasiyowezekana.
Muarabu amezidiwa kwenye Maeneo nyeti na Myahudi hata kile wanachojivunia ambao ni huo uislam umeathiriwa vilivyo na uyahudi kuliko jambo lolote lile.

Waajemi yaani Iran walishawahi kuwachukua baadhi ya mayahudi utumwani, ngoja tuone

Ngoja tuone huko Lebanon nini huko Mashariki ya Kati.

Mlale unono
MWARABU na apigwe tu vizuri wawe na adabu.
 
Ni kweli walipigwa wakanyang’anywa ardhi yao

Muarabu kapigwa nje ndani mara kibao alafu mbaya zaidi kaundiwa na Dini ya uislam ambayo ndani yake Kuna wahusika ambao ni mayahudi ili waendelee kuwatumikia.

Vitabu vya Kiyahudi hawawezi ruhusu Muarabu au jamii nyingine kwenye vitabu chao vitakatifu
 
Muarabu kapigwa nje ndani mara kibao alafu mbaya zaidi kaundiwa na Dini ya uislam ambayo ndani yake Kuna wahusika ambao ni mayahudi ili waendelee kuwatumikia.

Vitabu vya Kiyahudi hawawezi ruhusu Muarabu au jamii nyingine kwenye vitabu chao vitakatifu
Hiyo Lebanon ambayo inayoshambuliwa na hao wayahudi(unawaita mayahudi) ni taifa takatifu na imeandikwa mar nyingi sana kwenye Biblia na Torah ya wayahudi.

Lebanon imetajwa sana kwenye Biblia na ile miti yao,Mielezi ya Lebanon ndiyo miti iliyotajwa zaidi kuliko hata hiyo mitende ya huko mashariki ya kati.

Kwa kuipa heshima mti mtakatifu wa Mielezi ,Leo Lebanon wameweka kwenye bendera ya taifa lao kama alama ya utambulisho na utakatifu.

Lebanon Ina wakristo wengi wa asili,ukristo wao ni kama wa Ethiopia 🇪🇹,namaanisha mzungu hakupeleka ukristo Lebanon na Ethiopia. Ni wakristo wa tangu enzi na enzi na ni watu wakarimu sana.

Mungu wabariki waarabu wakristo wa Lebanon.

Hii ni bendera ya Lebanon na Hapo kati ni mti wa muelezi (identity)
lebanese-flag.jpg
 
Back
Top Bottom