Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Kwema Wakuu!
Kwa wasioelewa haya mambo wanaweza Kuona ni mapya lakini hakuna jipya hata Moja. Mengi ni marudio.
Tangu Ibrahim akanyage Hapo Kanaani Muarabu na jamii za Mashariki ya Kati hazijawahi kuwashinda Mayahudi.
Ikumbukwe Kuwa Mayahudi ndio yalikabidhiwa Mkoba na Ibrahim ambao Mkoba huo Ibrahim aliutoa kwa Babu yake aitwaye Nuhu, kisha Nuhu aliutoa kwa Babu yake Aitwaye Henoko, kisha Henoko aliutoa Mkoba huo kwa Babu yake aitwaye ADAMU, Kisha Adamu alipewa na aliyemuumba.
Mayahudi yana Siri nyingi sana za huu ulimwengu mbali na Mikoba yaliyopewa.
Kuyashinda ni kazi ngumu Sana.
Hapo waarabu watapiga Mark time sana na watachapika vilivyo.
Kuna watu wanawataja Wachina kama suluhu ya huu ulimwengu lakini China kinasaba ametoka kwa HAMU, Yaani China na Waafrika wanaundugu hivyo haitarajiwi hivi mapema kama china atashika Utawala wa huu ulimwengu
Kama Kuna mtu ambaye anafikiri kuwa Muarabu atamshinda Myahudi basi atakuwa anamatarajio yasiyowezekana.
Muarabu amezidiwa kwenye Maeneo nyeti na Myahudi hata kile wanachojivunia ambao ni huo uislam umeathiriwa vilivyo na uyahudi kuliko jambo lolote lile.
Waajemi yaani Iran walishawahi kuwachukua baadhi ya mayahudi utumwani, ngoja tuone
Ngoja tuone huko Lebanon nini huko Mashariki ya Kati.
Mlale unono
Kwa wasioelewa haya mambo wanaweza Kuona ni mapya lakini hakuna jipya hata Moja. Mengi ni marudio.
Tangu Ibrahim akanyage Hapo Kanaani Muarabu na jamii za Mashariki ya Kati hazijawahi kuwashinda Mayahudi.
Ikumbukwe Kuwa Mayahudi ndio yalikabidhiwa Mkoba na Ibrahim ambao Mkoba huo Ibrahim aliutoa kwa Babu yake aitwaye Nuhu, kisha Nuhu aliutoa kwa Babu yake Aitwaye Henoko, kisha Henoko aliutoa Mkoba huo kwa Babu yake aitwaye ADAMU, Kisha Adamu alipewa na aliyemuumba.
Mayahudi yana Siri nyingi sana za huu ulimwengu mbali na Mikoba yaliyopewa.
Kuyashinda ni kazi ngumu Sana.
Hapo waarabu watapiga Mark time sana na watachapika vilivyo.
Kuna watu wanawataja Wachina kama suluhu ya huu ulimwengu lakini China kinasaba ametoka kwa HAMU, Yaani China na Waafrika wanaundugu hivyo haitarajiwi hivi mapema kama china atashika Utawala wa huu ulimwengu
Kama Kuna mtu ambaye anafikiri kuwa Muarabu atamshinda Myahudi basi atakuwa anamatarajio yasiyowezekana.
Muarabu amezidiwa kwenye Maeneo nyeti na Myahudi hata kile wanachojivunia ambao ni huo uislam umeathiriwa vilivyo na uyahudi kuliko jambo lolote lile.
Waajemi yaani Iran walishawahi kuwachukua baadhi ya mayahudi utumwani, ngoja tuone
Ngoja tuone huko Lebanon nini huko Mashariki ya Kati.
Mlale unono