Waarabu kwa nini wanaibomoa Somalia na Yemeni? Ni mafuta!

Waarabu kwa nini wanaibomoa Somalia na Yemeni? Ni mafuta!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Wanao fund al shabab ni Saudi Arabia, anaye bomb kuuwa na kutesa watu wasio na hatia Yemeni ambao > 98% ni Waislamu ni Saudi Arabia, Somalia na Yemeni wana one thing in common, mafuta, oil rich Arab Countries hawataki Somalia ichimbe mafuta yao kwa maana ni competitor wamemeamua ku destroy Somalia na Yemeni na hizi zote ni Islamic Countries hivyo kama ingekuwa ni swala la Dini Saudia asinge bomb Yemeni na kutesa Waislamu.

Hata huu Mkataba pia ni kutuzuia sisi na Uganda kunufaika na Mafuta ya kutoka Uganda ambapo yangesafirishiwa kupitia Bandari yetu ya Tanga, ni Vita ya kiuchumi, …
 
Wanao fund al shabab ni Saudi Arabia, anaye bomb kuuwa na kutesa watu wasio na hatia Yemeni ambao > 98% ni Waislamu ni Saudi Arabia, Somalia na Yemeni wana one thing in common, mafuta, oil rich Arab Countries hawataki Somalia ichimbe mafuta yao kwa maana ni competitor wamemeamua ku destroy Somalia na Yemeni na hizi zote ni Islamic Countries hivyo kama ingekuwa ni swala la Dini Saudia asinge bomb Yemeni na kutesa Waislamu.

Hata huu Mkataba pia ni kutuzuia sisi na Uganda kunufaika na Mafuta ya kutoka Uganda ambapo yangesafirishiwa kupitia Bandari yetu ya Tanga, ni Vita ya kiuchumi, …

Ukisha weza kuua kwa ajili ya dini basi mkono wa damu hautatoka nyumbani kwako
 
Wanao fund al shabab ni Saudi Arabia, anaye bomb kuuwa na kutesa watu wasio na hatia Yemeni ambao > 98% ni Waislamu ni Saudi Arabia, Somalia na Yemeni wana one thing in common, mafuta, oil rich Arab Countries hawataki Somalia ichimbe mafuta yao kwa maana ni competitor wamemeamua ku destroy Somalia na Yemeni na hizi zote ni Islamic Countries hivyo kama ingekuwa ni swala la Dini Saudia asinge bomb Yemeni na kutesa Waislamu.

Hata huu Mkataba pia ni kutuzuia sisi na Uganda kunufaika na Mafuta ya kutoka Uganda ambapo yangesafirishiwa kupitia Bandari yetu ya Tanga, ni Vita ya kiuchumi, …

Ukisha weza kuua kwa ajili ya dini basi mkono wa damu hautatoka nyumbani kwako
 
Back
Top Bottom