Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Wewe unasema maids, wenzako wanakwambia modern slavery ( utumwa mambo leo). Sikiliza vuzuri kideo.Hivi hujui hata hapa Tz kuna watoto wa kazi ktk mitandao wanatafutiwa kazi na madalali na picha zao ukitaka unatumiwa? Sioni cha ajabu sana hapo labda lugha mbaya iliyotumika eg maids for sale