Rekodi za Nigeria, Ghana, Cameroon na Senegal zinaeleweka Kombe la Dunia huwa wanatufutia aibu.
Je, hawa Waarabu wanarekodi yoyote nzuri? Wakienda World Cup? Wameshawahi kuvuka hata makundi?
Kwa nini wamefanikiwa soka la Africa lakini wakivuka mpaka wa Bara wanakuwa kama timu za ndondo?
Je, hawa Waarabu wanarekodi yoyote nzuri? Wakienda World Cup? Wameshawahi kuvuka hata makundi?
Kwa nini wamefanikiwa soka la Africa lakini wakivuka mpaka wa Bara wanakuwa kama timu za ndondo?