Wakikutana na wazungu utawaonea huruma, hupinduliwa kama chapati za maji.
2014 magiants wa afrika, Algeria alifanya vizuri
Algeria na Germany, sema bahati haikua yao
Leo tukiwa sehemu tumejadili hii mada. Naikuta tena hapa.
Tukazungumzia Egypt inavyokuwa mdobwedo hata akikutana na nduguze Saud Arabia.
Wanatiaga aibu sana world cup hawa waarabuRekodi za Nigeria, Cameroon na senegal zinaeleweka kombe la dunia huwa wanatufutia aibu
Je, hawa waarabu wanarekod yeyote nzuri? Wakienda kombe la dunia? Wameshawahi kuvuka hata makundi?
Kwanini wamefanikiwa soka la africa lkn wakivuka mpaka wa bara wanakuwa kama timu za ndondo?
Wanatiaga aibu sana world cup hawa waarabu
alaf kwa nn ata wasingepambanishwa wenyew kwa wenyew ila wapunguze tim za kiarabu uko mf Misri vs Tunisia au Algeria vs Morocco alf game zao ukiondoa Misri wote wanamalizia nyumban kwao.
Tunajadili ubovu wa waarabu world cupWatanzania katika ubora wetu, tunajadili in details ya wenzetu, je sisi tutafika huko lini?,Africon ya mwisho 1980 loooooo, Peter Tino,Juma Pondamali, T.Ally, M.Salim, etc etc no Jella Mtagwa (legend)hawa wa sasa chips na mayai, hii team ya 1980 walikua wanakula shima ya Unga wa ngano!
Jadili mada hii,hapo utaleta mada ndani ya mada,au ndio ile unaulizwa causes wewe unaandika effects,utakula zero shekheeWatanzania katika ubora wetu, tunajadili in details ya wenzetu, je sisi tutafika huko lini?,Africon ya mwisho 1980 loooooo, Peter Tino,Juma Pondamali, T.Ally, M.Salim, etc etc no Jella Mtagwa (legend)hawa wa sasa chips na mayai, hii team ya 1980 walikua wanakula shima ya Unga wa ngano!
Wakati huo nchi za Afrika hazikuwa na wachezaji wengi Ulaya ndio maana tuliwavimbia, issue sio matoborwaWatanzania katika ubora wetu, tunajadili in details ya wenzetu, je sisi tutafika huko lini?,Africon ya mwisho 1980 loooooo, Peter Tino,Juma Pondamali, T.Ally, M.Salim, etc etc no Jella Mtagwa (legend)hawa wa sasa chips na mayai, hii team ya 1980 walikua wanakula shima ya Unga wa ngano!
Makao makuu ya cuf yapo misri? Umedanganya mkuu yapo buguruniWaarabu wamenufaika na makao makuu ya cuf kuwepo egypt hujuma nyingi zinaanzia kule kwa soka la africa
Yaaa ndio kawaida yetu watanzania, uhodari wa kuchambua ya jirani ya kwetu tunaogopa vivuli vyetuJadili mada hii,hapo utaleta mada ndani ya mada,au ndio ile unaulizwa causes wewe unaandika effects,utakula zero shekhee