The Shah of Tanganyika
JF-Expert Member
- Jul 2, 2023
- 602
- 1,572
Du africa kazi tunayoWakati huku Tanganyika tukiwakaribisha waarabu kwa mikataba yenye utata, hapo jirani waarabu hawahawa wapo kwenye kampeni kali ya kuwaangamiza binadamu wote weusi kwa mwonekano wa ngozi zao.
Nionavyo mimi, ni muda tu hawa watu watatugeuka na kuanza kuendesha kampeni ya kutuangamiza ili wabakie wao na wale wenye asili yao (sitaki kuwataja).
Soma habari kamili hapa.
Waafrika weusi waendelea kuangamizwa huko Darfur
Utasikia ni Amerika na Wamagharibi ndo wanawaua! This is Africa bwanaWakati huku Tanganyika tukiwakaribisha waarabu kwa mikataba yenye utata, hapo jirani waarabu hawahawa wapo kwenye kampeni kali ya kuwaangamiza binadamu wote weusi kwa mwonekano wa ngozi zao.
Nionavyo mimi, ni muda tu hawa watu watatugeuka na kuanza kuendesha kampeni ya kutuangamiza ili wabakie wao na wale wenye asili yao (sitaki kuwataja). Kampeni kama hii inawezekana kufanywa na vikundi visivyo rasmi vitakavyokuwa vinaungwa mkono na serikali zitakazokuwa zinawekwa madarakani na waarabu kwa njia haramu na za kifisadi ikiwepo wizi wa kura.
Soma habari kamili hapa.
Chanzo CNN
Waafrika weusi waendelea kuangamizwa huko Darfur
Wakati huku Tanganyika tukiwakaribisha waarabu kwa mikataba yenye utata, hapo jirani waarabu hawahawa wapo kwenye kampeni kali ya kuwaangamiza binadamu wote weusi kwa mwonekano wa ngozi zao.
Nionavyo mimi, ni muda tu hawa watu watatugeuka na kuanza kuendesha kampeni ya kutuangamiza ili wabakie wao na wale wenye asili yao (sitaki kuwataja). Kampeni kama hii inawezekana kufanywa na vikundi visivyo rasmi vitakavyokuwa vinaungwa mkono na serikali zitakazokuwa zinawekwa madarakani na waarabu kwa njia haramu na za kifisadi ikiwepo wizi wa kura.
Soma habari kamili hapa.
Chanzo CNN
Waafrika weusi waendelea kuangamizwa huko Darfur
Ushahidi si huo wewe soma tuLengo lako kama kawaida ya ChAdeMa ni kuibua hisia za chuki
we kichwa chako kimejaa makamasiWakati huku Tanganyika tukiwakaribisha waarabu kwa mikataba yenye utata, hapo jirani waarabu hawahawa wapo kwenye kampeni kali ya kuwaangamiza binadamu wote weusi kwa mwonekano wa ngozi zao.
Nionavyo mimi, ni muda tu hawa watu watatugeuka na kuanza kuendesha kampeni ya kutuangamiza ili wabakie wao na wale wenye asili yao (sitaki kuwataja). Kampeni kama hii inawezekana kufanywa na vikundi visivyo rasmi vitakavyokuwa vinaungwa mkono na serikali zitakazokuwa zinawekwa madarakani na waarabu kwa njia haramu na za kifisadi ikiwepo wizi wa kura.
Soma habari kamili hapa.
Chanzo CNN
Waafrika weusi waendelea kuangamizwa huko Darfur
Waarabu wanatupenda, hiyo ni dhana mfu ya kusema wanaua waafrika, nimeona wanakuja kuwekeza kwenye Banari, wananunua wachezaji, wanawekeza mbuga za wanyama etc.Wakati huku Tanganyika tukiwakaribisha waarabu kwa mikataba yenye utata, hapo jirani waarabu hawahawa wapo kwenye kampeni kali ya kuwaangamiza binadamu wote weusi kwa mwonekano wa ngozi zao.
Nionavyo mimi, ni muda tu hawa watu watatugeuka na kuanza kuendesha kampeni ya kutuangamiza ili wabakie wao na wale wenye asili yao (sitaki kuwataja). Kampeni kama hii inawezekana kufanywa na vikundi visivyo rasmi vitakavyokuwa vinaungwa mkono na serikali zitakazokuwa zinawekwa madarakani na waarabu kwa njia haramu na za kifisadi ikiwepo wizi wa kura.
Soma habari kamili hapa.
Chanzo CNN
Waafrika weusi waendelea kuangamizwa huko Darfur
😢😭🥹Wakati huku Tanganyika tukiwakaribisha waarabu kwa mikataba yenye utata, hapo jirani waarabu hawahawa wapo kwenye kampeni kali ya kuwaangamiza binadamu wote weusi kwa mwonekano wa ngozi zao.
Nionavyo mimi, ni muda tu hawa watu watatugeuka na kuanza kuendesha kampeni ya kutuangamiza ili wabakie wao na wale wenye asili yao (sitaki kuwataja). Kampeni kama hii inawezekana kufanywa na vikundi visivyo rasmi vitakavyokuwa vinaungwa mkono na serikali zitakazokuwa zinawekwa madarakani na waarabu kwa njia haramu na za kifisadi ikiwepo wizi wa kura.
Soma habari kamili hapa.
Chanzo CNN
Waafrika weusi waendelea kuangamizwa huko Darfur