Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Morocco imeingia semi final kwa jasho na damu, wakicheza kwa nidhamu ya hali ya juu, namna wanavyocheza unapata hamasa kuwapigania na kuwaombea kwa mungu wapeperushe bendera ya africa.
Wakat umefika sasa kwa sababu imeonekana akina Senegal, Cameroon na Ghana hawako serious, tuwapeleke sasa akina Egypt, Algeria na waraabu wengine wakatuwakilishe, ingawa Tunisia waliondolewa lkn sio kama Cameroon au Ghana, pumbavu kabisa
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Wakat umefika sasa kwa sababu imeonekana akina Senegal, Cameroon na Ghana hawako serious, tuwapeleke sasa akina Egypt, Algeria na waraabu wengine wakatuwakilishe, ingawa Tunisia waliondolewa lkn sio kama Cameroon au Ghana, pumbavu kabisa
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app