mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Mkuu umetumia kigezo gani ku concluded kombe haliwezi kuja nchini? Hebu nipe sababu hata mbili tuWatu walikuwa wanapiga kelele humu kuhusu MAMELOD, yani kisa Wydad alisumbuliwa na Simba Sc basi eti akawa ni mbovu[emoji23]. Watu wanashindwa kuelewa CAFCL ni heavy weoght competitions.
Mamelod nae ni mbovu sasa, tukubaliane hapa.
Hata huku CAFCC ni vyema watu wakafurahi wakati ambao nafasi bado wanayo, kwasababu ni HAKIKA kuwa kombe haliwezi kuja Tz.
Watu walikuwa wanapiga kelele humu kuhusu MAMELOD, yani kisa Wydad alisumbuliwa na Simba Sc basi eti akawa ni mbovu[emoji23]. Watu wanashindwa kuelewa CAFCL ni heavy weoght competitions.
Mamelod nae ni mbovu sasa, tukubaliane hapa.
Hata huku CAFCC ni vyema watu wakafurahi wakati ambao nafasi bado wanayo, kwasababu ni HAKIKA kuwa kombe haliwezi kuja Tz.
Haamini kama Yanga wamefika final tena Kwa kustahili sio kubahatishaShabiki moja lenye maumivu makali..lilisikika likitoa msoni yake. Kama ambavyo unazani haliwezi kuja tz inawezekana pia haliwezi kwenda huko unakotaka liende
Makolokolo huyo, kwa JF wapo baadhi tu wenye akili mfano ni Scars na The Greatest of all time, ila wengine wana umbumbumbu mwingi sana.Mkuu umetumia kigezo gani ku concluded kombe haliwezi kuja nchini? Hebu nipe sababu hata mbili tu
Toka kuwa Shabiki la umbumbumbuni hadi kuwa Nabii uchwara la Mabingwa wapya wa NBC PL "Yanga FC" [emoji38]Shabiki moja lenye maumivu makali..lilisikika likitoa msoni yake. Kama ambavyo unazani haliwezi kuja tz inawezekana pia haliwezi kwenda huko unakotaka liende
😁Mwarabu feki, ameleta taarifa ya Waarabu halisi
Morocco ni Wahispania waislam
Misri ni wagiriki waislam...
Hakuna waarabu Africa
hebu nenda google kawaulize watakupa majib sahihi then uje uedit hiyo comment yako
Religion is actually an opium in Africa that has led Africans to be Stupids by disgusting their own nature among themselves, still the religion beginners proceed to be surprised of such mental slavery and call African people "chimpanzee" by being in that prison since the world creation by the Sir God [emoji1]Morocco ni Wahispania waislam
Misri ni wagiriki waislam...
Hakuna waarabu Africa