Ganda Mweri
JF-Expert Member
- Mar 8, 2018
- 303
- 887
Unaweza ukanipa elimu hapa, wahispania na wagiriki kivipiMorocco ni Wahispania waislam
Misri ni wagiriki waislam...
Hakuna waarabu Africa
Utopolo anabeba Shirikisho alafu Wydad anabeba Klabu Bingwa, wanakutana kwenye Super Cup alafu Utopolo analibeba.Na yanga lazim atachukua shirikisho kuhusu hili halipngik an
Una ushahidi? Yaani unawaita Wagiriki na wahispania wakati hawafanani na wazungu kasoro rangi tuMorocco ni Wahispania waislam
Misri ni wagiriki waislam...
Hakuna waarabu Africa
Unaweza ukanipa elimu hapa, wahispania na wagiriki kivipi
Ulitaka wafanane nini dini na lugha??Una ushahidi? Yaani unawaita Wagiriki na wahispania wakati hawafanani na wazungu kasoro rangi tu
Kama arsenal vile [emoji39]Timu zinazovaa red huwa ni hatari....
Shabiki moja lenye maumivu makali..lilisikika likitoa msoni yake. Kama ambavyo unazani haliwezi kuja tz inawezekana pia haliwezi kwenda huko unakotaka liende
Zilezile ambazo zimeifanya Mamelod isiende fainali licha ya kwamba mliipigia chapuo.Mkuu umetumia kigezo gani ku concluded kombe haliwezi kuja nchini? Hebu nipe sababu hata mbili tu
Asili, ukimcheki mzungu na muarabu wa kutoka Afrika, wako tofauti.Ulitaka wafanane nini dini na lugha??
Mzungu yupi?mhisipaniola na Mmoroco Wana tofauti au unamaanisha wale wazungu continental??Asili, ukimcheki mzungu na muarabu wa kutoka Afrika, wako tofauti.
Watunisia na Algeria ndo Kama wazungu kabisaMzungu yupi?mhisipaniola na Mmoroco Wana tofauti au unamaanisha wale wazungu continental??
Kwanza unawajua wazungu??
Wazungu ni wajerumani,wafaransa..scandinavia na Russia...hao ndo wazungu...
Wataliano,wagiriki, wahispania,wareno na wote ukanda wa meditaranean wale hawana tofauti yeyote na wamisri, wamorocco,watunisia,wa algeria..waturuki nk.....wale ni same people...fanya research weka Tu picha ya Xavi na Salah niambie Wana tofautiana nini?
Duh kama taifa bado tuna safar ndefuMorocco ni Wahispania waislam
Misri ni wagiriki waislam...
Hakuna waarabu Africa
Yanga
Haya futa machozi sasa!Watu walikuwa wanapiga kelele humu kuhusu MAMELOD, yani kisa Wydad alisumbuliwa na Simba Sc basi eti akawa ni mbovu[emoji23]. Watu wanashindwa kuelewa CAFCL ni heavy weoght competitions.
Mamelod nae ni mbovu sasa, tukubaliane hapa.
Hata huku CAFCC ni vyema watu wakafurahi wakati ambao nafasi bado wanayo, kwasababu ni HAKIKA kuwa kombe haliwezi kuja Tz.