Waasisi wa CCM

Hayati Karume walikuwa wameshamuua hawa watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jumbe alifanya mengi kwa Zanzibar na kama unakumbuka ndiye alikuwa wa kwanza kununua ndege ya rais wakati ule. Ukiwa kiongozi wa juu lazima uone haki inatendeka, huyu Hamad tamaa zake ndio zilizomponza. Hadi hivi leo nafikiri anajutia yale aliyoyafanya.
 
..naelewa nafasi ya Mwalimu Nyerere, na Mwalimu Alhaj Aboud Jumbe Mwinyi.

..kwanini unadhani Kawawa, Msekwa, na Thabit Kombo, walikuwa muhimu pia?
Jumbe alijua yeye ndo atamrithi Nyerere,alipokuja kugundua ilukuwa wakati wa kiroboto tapes na ikawa ameishachelewa.
 
..hizo ni siasa chafu baina ya wana-ccm.

..nyerere alilia machozi wakati akielezea jinsi kawawa alivyobebeshwa lawama ambazo alistahili yeye nyerere, au chama na serikali kwa ujumla.
Watu wa CCM kulia ni kawaida yao
 
Sethi Banjamin maskini.
 
Umempiga chenga Kama ya Redondo
 
Sio ccm ya Magufuli, labda ccm mpya baada ya Jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…