Lile genge maarufu lililoibukia tokea tarehe 09/03 baada ya fudenge kupiga kapu teke bado lingali lina nguvu.
Ni jana tu wametoka kufanya kikao cha siri, hawa ni watu hatari sana kwa taifa letu hawa wanataka kutuletea ukabila na ukanda na kutaka utukuzwe maana kuna mbegu ilikua ishapandwa na bwana mmoja hivi ambaye kwasasa yupo gizani huko anapata mateso makali.
Kiukweli hili genge ndo wanamiliki na kufadhili na kujaza watu ambao humu kazi yao ni kumkosoa na kumshushia heshima rais wetu kipenzi cha mioyo yetu mheshimiwa mama Samia Suluhu.
Cha kusikitisha wanawalipa hadi watu huko instagram na fb ili waendelee kumkosoa na kumuhujumu mama kwa kila hali.
Mfano mdogo tu, wamefanikiwa kuwashawishi baadhi ya watu maarufu kutokea kanda fulani hivi kwa kuwabrainwash na kuwajaza ujinga kwamba wanatakiwa wapambane wao wahakikishe wanaendeleza ajenda zao chafu hadi humu JF wapo sampo zao kama yule baby wa Kimarekani.
Nataka niwahakikishie ndugu zangu kwamba hilo genge wanajichosha tu na wamecherewa kweri kweri yaani maana tz sio rwanda au burundi ambapo uhutu na utusi umegawa watu hii ni nchi ya watu kutoka makabila 120 yanayoishi kwa pamoja kwa upendo.
Hatutoruhusu nchi igawanywe kwa misingi ya ukabila na ukanda kwa kwa kisingizio cha kulinda legacy za kipumbavu na za kipuuzi ambazo ni legacy zilizokufa na kuoza na legacy ambazo zinanuka shombo la ukabila na tena ambazo output yake ni white elephant.
Nawapa salamu hilo genge tu kwamba nchi yetu tutailinda kwa gharama zozote iwe uhai au kifo ni jukumu la kila mtu kulinda uhai wa taifa ni niwaambie nyie genge kwamba iwe ni masika au kiangazi tutaumana nanyinyi hadi kieleweke tutapambana nanyi hadi anguko lenu lifike rasmi miaka minne ijayo huku tukilinda sheria kanuni na taratibu za nchi huku tukiuhami utaifa, na uzalendo katika kufutilia mbali hicho kigenge chenu cha kikabila na cha kihuni.
Nina mambo kadhaa hapa:-
1) Sikujua kama na wewe ni mmoja wa mapumbavu ya jf.
2) Sikujua kama unaweza kuwa juha lisilojua hata tofauti ya Almasi na Kokoto.
3)Wewe na wanaoukushabikia wote ni mapumbavu.
4) Kumkosoa H.E, ni kumchafua? Hivi kuna mtu mwenye akili timamu na nia njema ambaye anaweza kuwa na kichwa hai akasema "kukosowa kiongozi ni kuhujumiwa? Hivi wewe una akili kweli wewe? Kwamba viongozi wasikosolewe, wakikosolewa maana yake wanahujumiwa? Pumbavu kweli kweli.
5) Kama wewe siyo lipumbavu, andika hapa hizo legacy unazoziita ni za kipumbavu, zilizooza ambazo unaziona hazitakiwi katika nchi. Ukishindwakuandika, uombe radhi, na usipofanya hivyo, wewe na hao watakaokushadadia katika chuki na tabia za kishetani.
6) Nchi na amani yake inalindwa kwa chuki binafsi na ujinga wa kutokutambua hata tuzo za taifa? Amani ya nchi inalindwa kwa kutokutambua hata mambo mema ambayo tumeyazoea miaka yote ya kuishi kwa kuheshimiana, na kukosoana bila kukosana, kupingana bila kupigana, kutafaharishiana bila kufedheheshana, na kupongeza mema, huku tukiyapinga maovu? Leo unataka viongozi wakitawala wasikosolewe eti wakikosoa wanahujumu!. Wewe ni lipumbavu sana. eti wanalipa watu, kama umeona wanalipa si uende takukuru utoe taarifa?
7) Ondoeni magenge yenu ya kipumbavu hapa na maagenda yenu yaliyobuma, yasiyo na macho. Sisi tunashirikiana na rais wetu Samia Suluhu Hassan. Tunampenda, tunamwombea nguvu na afya zaidi, maarifa zaidi na hekima zaidi.
8) Wewe na wapumbavu wenzio ndio mnaotaka kuligawa taifa kwa kuleta mambo tusiyoyazoea. Ondoeni upumbavu wenu hapa, Watanzania tunaenzi umoja wetu, na tuko na mama kwa kila hali tukiendelea na kazi. Kazi za maendeleo z inaendelea. Kama wewe hutaki kupata umeme imara wa bwawaletu kubwa la kimataifa, usiunganishe kwako, tumia vibatari. Pumbavu.
- Kama hutaki shule zisizokuwa na ada, nenda kachangie maendeleo au kalisha mitotot yako nyumbani.
-Kama hutaki kupita kwenye flyovers, unataka misongamano katika miji, na barabara za mashimo, kakae na nguchiro wenzako porini, sisi tunasonga mbele.
- Kama hutaki falsafa ya independent Africa, kwa kuwa bichwa lako halina uvumbuzi wowote, tengenza kaburi ukaishi huko, maana hata kuwenda kuishi ulaya huna sifa wala ubavu.
- Kama unataka Serikali kuwe na watumishi hewa na wasiosifa, wanaoajiriwa kwa vibendera, huku utoro, uzembe na rushwa na njoo kesho, hakuna uwajibikaji na badala yake umangi meza maofisini urejee, kwa kuwa hujui maana wala thamani yake, Watanzania tumeona kwa macho. Wewe kunywa sumu ufe. Sisi tunaendelea na mama. Na mtawajibishwa tu, hatutaruhusu ubabaishaji ujirudie tena.
- Kama unataka raslimali zetu ziendelee kuibiwa na wageni kwa michongo ya genge lako la watu wasio na utu wanaofurahia vifo na kutokujali utaifa na hvho kuuza nchi kwa wageni, kumbuka Mungu hayuko upande wenu.
Mnataka kusharmirisha mikataba hewa na biashara za madawa ya kulevya huku mkiiweka nchi chini ya utumwa, siyo leo. Tumeshasonga mbele na tunasonga mbele na mama.
KAMA KASI YAKE INAWASHINDA, FUNGENI MAKOPO YENU AMA MHAME NCHI. SISI NA MAMA YETU H.E. SSH, TUNASONGA MBELE NA ACHENI KUMTAFUTIA MAMA KAZI AMBAZO HAZINA MAANA. Msitake kutuanzishia vita vya kikabila kwa upumbvu wenu na magenge yenu ya kijinga hapa.
THINK BIG