Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
CCM kunawaka moto, wala sio siri tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha maana zaidi ya kuonyesha chuki zako kwa watu ambao unawaogopa hata umeshindwa kuwataja.Lile genge maarufu lililoibukia tokea tarehe 09/03 baada ya fudenge kupiga kapu teke bado lingali lina nguvu.
Ni jana tu wametoka kufanya kikao cha siri, hawa ni watu hatari sana kwa taifa letu hawa wanataka kutuletea ukabila na ukanda na kutaka utukuzwe maana kuna mbegu ilikua ishapandwa na bwana mmoja hivi ambaye kwasasa yupo gizani huko anapata mateso makali.
Kiukweli hili genge ndo wanamiliki na kufadhili na kujaza watu ambao humu kazi yao ni kumkosoa na kumshushia heshima rais wetu kipenzi cha mioyo yetu mheshimiwa mama Samia Suluhu.
Cha kusikitisha wanawalipa hadi watu huko instagram na fb ili waendelee kumkosoa na kumuhujumu mama kwa kila hali.
Mfano mdogo tu, wamefanikiwa kuwashawishi baadhi ya watu maarufu kutokea kanda fulani hivi kwa kuwabrainwash na kuwajaza ujinga kwamba wanatakiwa wapambane wao wahakikishe wanaendeleza ajenda zao chafu hadi humu JF wapo sampo zao kama yule baby wa Kimarekani.
Nataka niwahakikishie ndugu zangu kwamba hilo genge wanajichosha tu na wamecherewa kweri kweri yaani maana tz sio rwanda au burundi ambapo uhutu na utusi umegawa watu hii ni nchi ya watu kutoka makabila 120 yanayoishi kwa pamoja kwa upendo.
Hatutoruhusu nchi igawanywe kwa misingi ya ukabila na ukanda kwa kwa kisingizio cha kulinda legacy za kipumbavu na za kipuuzi ambazo ni legacy zilizokufa na kuoza na legacy ambazo zinanuka shombo la ukabila na tena ambazo output yake ni white elephant.
Nawapa salamu hilo genge tu kwamba nchi yetu tutailinda kwa gharama zozote iwe uhai au kifo ni jukumu la kila mtu kulinda uhai wa taifa ni niwaambie nyie genge kwamba iwe ni masika au kiangazi tutaumana nanyinyi hadi kieleweke tutapambana nanyi hadi anguko lenu lifike rasmi miaka minne ijayo huku tukilinda sheria kanuni na taratibu za nchi huku tukiuhami utaifa, na uzalendo katika kufutilia mbali hicho kigenge chenu cha kikabila na cha kihuni.
Mnajisifia kutengeneza nyumba ya mwenzio? 2025 CCM mteremko. Chakula hapewi mtoto wa jirani, kura kwenda CCM mikono wachafuke Chadema. Mama Samia,CCM kwa ujumla oyeeeeeeeeeeTunawatwanga tu, mama Samia Suluhu Hassan tupo nae na tuna mpa back up ,vijana wanafurahia pesa imeanza kuingia mtaani ,watu wanajenga sana kwa sasa wanaongeza mzunguko wa pesa.
Umeme 27000 watu watafunga sana ila hapa waziri nampa ushauri tu asimamie vizuri ili kusiwe na urasimu na kubanabana.
Wewe unadhani atakuwa wapi sasa jitu liuwaji vile?Wewe mwenyewe umejaa upumbavu tu, mara unasema yuko gizani kwa hiyo wewe ni MUNGU unayeweza kumhukumu mtu aende kenye giza ama kwenye mwanga, unajitwika uzalendo uchara acha kuwapangia watu cha kufanya ndo maana hata Rais Samia kasema watu wawe na uhuru wa kutoa mawazo yao. Unajifanya kumuunga mkono mama wakati huo ukiwataka watu wawaze kama wewe. Hivi wewe ni nani? Mwache Magufuli apumzike na mwache mama Samia afanye kazi .
Mfadhili wao huyu hapaView attachment 1814208
Hakuna cha maana zaidi ya kuonyesha chuki zako kwa watu ambao unawaogopa hata umeshindwa kuwataja.
uandishi wako wa kushindwa kujua herufi na ujengaji wako wa hoja,wewe ni mmoja ya watu wenye ufahamu mdogo na unaishi kwa kukujipendekeza,huku ukiamini mtu yeyote anayeshauri tofauti na mawazo yako hampendi mama.
Kaa ukijua hao unao washambulia ndo walihoji uteuzi wa Mkurugenzi wa TPDC ,na yule Katibu tawala wa form four,na ikamsaidia mama kufanya maamuzi sahihi.
Ndo ufahamu wako ulipoishia,siyo kila mtu anaweza kufanya uchambuzi, yawezekana ulikuwa na wazo zuri,tatizo analysis ni zero kabisa.Wewe ni mpuuzi tena acha kunifananisha na hao majangili wenzio
Wewe hapo unapiga rangi huo ukabila tena kwa crazy colours...Pole sana!Lile genge maarufu lililoibukia tokea tarehe 09/03 baada ya fudenge kupiga kapu teke bado lingali lina nguvu.
Ni jana tu wametoka kufanya kikao cha siri, hawa ni watu hatari sana kwa taifa letu hawa wanataka kutuletea ukabila na ukanda na kutaka utukuzwe maana kuna mbegu ilikua ishapandwa na bwana mmoja hivi ambaye kwasasa yupo gizani huko anapata mateso makali.
Kiukweli hili genge ndo wanamiliki na kufadhili na kujaza watu ambao humu kazi yao ni kumkosoa na kumshushia heshima rais wetu kipenzi cha mioyo yetu mheshimiwa mama Samia Suluhu.
Cha kusikitisha wanawalipa hadi watu huko instagram na fb ili waendelee kumkosoa na kumuhujumu mama kwa kila hali.
Mfano mdogo tu, wamefanikiwa kuwashawishi baadhi ya watu maarufu kutokea kanda fulani hivi kwa kuwabrainwash na kuwajaza ujinga kwamba wanatakiwa wapambane wao wahakikishe wanaendeleza ajenda zao chafu hadi humu JF wapo sampo zao kama yule baby wa Kimarekani.
Nataka niwahakikishie ndugu zangu kwamba hilo genge wanajichosha tu na wamecherewa kweri kweri yaani maana tz sio rwanda au burundi ambapo uhutu na utusi umegawa watu hii ni nchi ya watu kutoka makabila 120 yanayoishi kwa pamoja kwa upendo.
Hatutoruhusu nchi igawanywe kwa misingi ya ukabila na ukanda kwa kwa kisingizio cha kulinda legacy za kipumbavu na za kipuuzi ambazo ni legacy zilizokufa na kuoza na legacy ambazo zinanuka shombo la ukabila na tena ambazo output yake ni white elephant.
Nawapa salamu hilo genge tu kwamba nchi yetu tutailinda kwa gharama zozote iwe uhai au kifo ni jukumu la kila mtu kulinda uhai wa taifa ni niwaambie nyie genge kwamba iwe ni masika au kiangazi tutaumana nanyinyi hadi kieleweke tutapambana nanyi hadi anguko lenu lifike rasmi miaka minne ijayo huku tukilinda sheria kanuni na taratibu za nchi huku tukiuhami utaifa, na uzalendo katika kufutilia mbali hicho kigenge chenu cha kikabila na cha kihuni.
Akili zitarudi baada ya kuona hakuna pesa za kuokota kwa sasa wacha waote kwanzaKwa Sasa pesa imetapakaa mitaani ukitembea tu barabarani unaziokota.
mmoja ameliwa kichwa usiku saa kumi, Chaa-milla;Ndo hao
Nenda Kisongo kumsalimia mumeo jambazi Sabaya,usisahau kumpelekea vilainishi,maana anateseka kweli machalii wanabutua kijelajela.Mnajisifia kutengeneza nyumba ya mwenzio? 2025 CCM mteremko. Chakula hapewi mtoto wa jirani, kura kwenda CCM mikono wachafuke Chadema. Mama Samia,CCM kwa ujumla oyeeeeeeeeee
Anabanikwa kama mshikaki hukoWewe unadhani atakuwa wapi sasa jitu liuwaji vile?