Waasisi wa muziki wa Bongo Fleva

Waasisi wa muziki wa Bongo Fleva

ukwaju_wa_ kitambo

Senior Member
Joined
Sep 15, 2024
Posts
150
Reaction score
173
WAASISI WA MUZIKI WA RAP " HIP HOP TANZANIA"

Fresh X E - jina halisi ni Edward Mtui na
ndiye hasa mwanzilishi wa kurap kwa Kiswahili katika miaka ya 1980 na alikuwa
akiimba wimbo wake kwa kiitikio cha "Piga Makofi" ambao aliubadilisha wa Run-D.M.C. Clap Your Hands, lakini hajaurekodi.

Kwa kuenzi uwepo wa Fresh na mchango wake katika tasnia, Professor Jay akatengeneza wimbo wa Piga Makofi kwa kutumia kiitikio kilekile cha Fresh kisha kutaja hazina kubwa ya wasaniii walioanzisha hip hop ya Tanzania.

1. Young Millionaire
2. Conway Francis
3. Mawingu Band lakabu the Clouds - ilikuwa
bendi iliyotamba na wimbo wa "Oya Msela"
wimbo ambao unatoka katika albamu yao ya
mwaka wa 1994,

Kundi la Kwanza Unit - miongoni mwa makundi ya kwanza kabisa katika hip hop ya Tanzania.

Kiufupi, KU ndiyo kundi la kwanza kuundwa katika tasinia nzima ya muziki wa hip hop ya Tanzania. Kuundwa kwa kundi ni juhudi kubwa na za dhati kutoka kwa Zavara Mponjika na hayati Nigga One.

Kabla ya muungano, kulikuwa na mabifu kibao yasomana na ilibidi waungane li kuondoa mabifu na kukuza muziki kwenda kiwango kingine. Kuungana kwao, kulifanikisha mambo mengi kama wasanii Waasisi wa rap ya Tanzania.

Hard Blasters - kundi ambalo hutazamiwa kuleta mabadiliko katika muziki wa hip hop ya Tanzania.

Da Young Mob - kundi ambalo II Proud alipanda nalo katika kinyang'anyiro cha Yo
Rap Bonanza mwaka 1993/94.

Deplowmatz - Wakati illa ambae alikuwa ni sehemu ya maproducer katika studio ya " Mawingu studio " Enzi hizo kwa ushauri zaidi.

Muda mfupi baadae wakarekodi nyimbo zao mbili za kwanza "Turuke kwa Furaha" na
"Word is Born".

1.Wagumu Weusi Asilia lakabu W.W.A
2.Black Houndz
3.Bantu Pound
4. Niggaz with Power (NWP)
5. Full Soldiers
6. Rough Niggaz
7. Kibo Flava
8. The Mac Mooger
9. Mabaga Fresh
10. KNT Squad
11. Msanii Ras Pompidue

Msanii Saleh Jabir ni msanii wa kwanza wa hip hop ya Tanzania kurekodi na kusambaza kazi zake.

Japo mwenyewe hakuonesha kutaka ksambaza kazi zile bali alikuta tayari mzigo uko sokoni na baadaye kukamia ili apate chochote kitu.

Inaaminika ndiye hasa aliyeanzisha kurap kwa Kiswahili, hasa kwa kufuatia shindano la Yo Rap Bonanza la mwaka 1992 na kuibuka mshindi. Saleh Jabri hutazamika kama ndiye chachu aliyesabisha wasanii wengine wa muziki wa hip hop ya Tanzania kuuanza kuimba kwa Kiswahili.

Kabla ya Saleh J kushiriki kwenye tamasha la Yo Rap Bonanza, lugha kuu ilikuwa Kiingereza, lakini Saleh alitumia Kiswahili katika tungo zake.

Hasa alifanya kunakili nyimbo za Kimarekani, kama vile Ice Ice Baby ya Vanilla ice na kuimba kwa Kiswahili.

1.Sos B
2.Niggaz 2 Public
3. Xplastaz
4. Underground Souls
5. Ugly Faces - Hawa walikuwa wasela waliotambushwa wa Sindila Assey wa Mawingu Band na walifanya balaa zito kaktika mazoezi yao.

Ndani yake anakuna Mac D, DJ Rich Maka na Eazy Daz. Kwa pamoja wakafanya ngoma moja na Bonny Luv iliyokwenda kwa jina la " Wapambe Nuksi " mnamo mwaka 1997.

1. Big Dogg Pose
2. GWM
3. L.W.P
4. Afro Reign
5. Pyscho Tak
5. Msanii 2Proud

No name - kundi ambalo P Funk alikuwa mwanachama wao na Mchizi Karabani.

1. King Crazy GK
2. Gangwe Mobb
3. Hashim Dogo
4. Bugsy Malone
5. Kool X
6. Cool Moe Cee
7. Big Money

Krewz Flava - miaka ya 1990 walihesabiwa kama akina Boyz II Men ya Tanzania. Lilikuwa kundi la mwanzo kabisa nchini Tanzania kuimba muziki wa R&B.

1. Da Unique Sisters
2. E Attack
3. Juma Nature
4. Hardcore Unit
5. Imeditation Kingdom
6. Fun with Sense
7. Solo thang
8. Mack Malik aka Mac 2 B

Wasanii hao walishiriki vilivyo katika kuunda
muziki wa hip hop nchini Tanzania.
1729620053393.jpg
 
Saleh Jabir ndio hasa mwanzilishi wa bongo flavor.

Alidhubutu akaweza ila mambo ya dini na kwa kuwa baba yake alikuwa mtu wa dini sana vilimfanya aachane na music ila he was sent messenger.
 
WAASISI WA MUZIKI WA RAP " HIP HOP TANZANIA"

Fresh X E - jina halisi ni Edward Mtui na
ndiye hasa mwanzilishi wa kurap kwa Kiswahili katika miaka ya 1980 na alikuwa
akiimba wimbo wake kwa kiitikio cha "Piga Makofi" ambao aliubadilisha wa Run-D.M.C. Clap Your Hands, lakini hajaurekodi.

Kwa kuenzi uwepo wa Fresh na mchango wake katika tasnia, Professor Jay akatengeneza wimbo wa Piga Makofi kwa kutumia kiitikio kilekile cha Fresh kisha kutaja hazina kubwa ya wasaniii walioanzisha hip hop ya Tanzania.

1. Young Millionaire
2. Conway Francis
3. Mawingu Band lakabu the Clouds - ilikuwa
bendi iliyotamba na wimbo wa "Oya Msela"
wimbo ambao unatoka katika albamu yao ya
mwaka wa 1994,

Kundi la Kwanza Unit - miongoni mwa makundi ya kwanza kabisa katika hip hop ya Tanzania.

Kiufupi, KU ndiyo kundi la kwanza kuundwa katika tasinia nzima ya muziki wa hip hop ya Tanzania. Kuundwa kwa kundi ni juhudi kubwa na za dhati kutoka kwa Zavara Mponjika na hayati Nigga One.

Kabla ya muungano, kulikuwa na mabifu kibao yasomana na ilibidi waungane li kuondoa mabifu na kukuza muziki kwenda kiwango kingine. Kuungana kwao, kulifanikisha mambo mengi kama wasanii Waasisi wa rap ya Tanzania.

Hard Blasters - kundi ambalo hutazamiwa kuleta mabadiliko katika muziki wa hip hop ya Tanzania.

Da Young Mob - kundi ambalo II Proud alipanda nalo katika kinyang'anyiro cha Yo
Rap Bonanza mwaka 1993/94.

Deplowmatz - Wakati illa ambae alikuwa ni sehemu ya maproducer katika studio ya " Mawingu studio " Enzi hizo kwa ushauri zaidi.

Muda mfupi baadae wakarekodi nyimbo zao mbili za kwanza "Turuke kwa Furaha" na
"Word is Born".

1.Wagumu Weusi Asilia lakabu W.W.A
2.Black Houndz
3.Bantu Pound
4. Niggaz with Power (NWP)
5. Full Soldiers
6. Rough Niggaz
7. Kibo Flava
8. The Mac Mooger
9. Mabaga Fresh
10. KNT Squad
11. Msanii Ras Pompidue

Msanii Saleh Jabir ni msanii wa kwanza wa hip hop ya Tanzania kurekodi na kusambaza kazi zake.

Japo mwenyewe hakuonesha kutaka ksambaza kazi zile bali alikuta tayari mzigo uko sokoni na baadaye kukamia ili apate chochote kitu.

Inaaminika ndiye hasa aliyeanzisha kurap kwa Kiswahili, hasa kwa kufuatia shindano la Yo Rap Bonanza la mwaka 1992 na kuibuka mshindi. Saleh Jabri hutazamika kama ndiye chachu aliyesabisha wasanii wengine wa muziki wa hip hop ya Tanzania kuuanza kuimba kwa Kiswahili.

Kabla ya Saleh J kushiriki kwenye tamasha la Yo Rap Bonanza, lugha kuu ilikuwa Kiingereza, lakini Saleh alitumia Kiswahili katika tungo zake.

Hasa alifanya kunakili nyimbo za Kimarekani, kama vile Ice Ice Baby ya Vanilla ice na kuimba kwa Kiswahili.

1.Sos B
2.Niggaz 2 Public
3. Xplastaz
4. Underground Souls
5. Ugly Faces - Hawa walikuwa wasela waliotambushwa wa Sindila Assey wa Mawingu Band na walifanya balaa zito kaktika mazoezi yao.

Ndani yake anakuna Mac D, DJ Rich Maka na Eazy Daz. Kwa pamoja wakafanya ngoma moja na Bonny Luv iliyokwenda kwa jina la " Wapambe Nuksi " mnamo mwaka 1997.

1. Big Dogg Pose
2. GWM
3. L.W.P
4. Afro Reign
5. Pyscho Tak
5. Msanii 2Proud

No name - kundi ambalo P Funk alikuwa mwanachama wao na Mchizi Karabani.

1. King Crazy GK
2. Gangwe Mobb
3. Hashim Dogo
4. Bugsy Malone
5. Kool X
6. Cool Moe Cee
7. Big Money

Krewz Flava - miaka ya 1990 walihesabiwa kama akina Boyz II Men ya Tanzania. Lilikuwa kundi la mwanzo kabisa nchini Tanzania kuimba muziki wa R&B.

1. Da Unique Sisters
2. E Attack
3. Juma Nature
4. Hardcore Unit
5. Imeditation Kingdom
6. Fun with Sense
7. Solo thang
8. Mack Malik aka Mac 2 B

Wasanii hao walishiriki vilivyo katika kuunda
muziki wa hip hop nchini Tanzania.View attachment 3134543
Kabisa
Hata mimi nilivaa Tshirt ya Kwanza Unit ilikuwa na picha ya KIPANYA wa Masoud KIpanya kashika MIC
 
Saleh Jabir ndio hasa mwanzilishi wa bongo flavor.

Alidhubutu akaweza ila mambo ya dini na kwa kuwa baba yake alikuwa mtu wa dini sana vilimfanya aachane na music ila he was sent messenger.
Na wimbo wa ICE ICE BABY
 
mbona sijamuona Sugu?
au macho yangu bado yana usingizi..!!
 
Na wimbo wa ICE ICE BABY

Saleh J, prominent Tanzanian hip hop pioneer, was born in Dar es Salaam as Saleh Jaber.

Heavily influenced by the early 1980s rap artists such as LL Cool J and Big Daddy Kane, Jaber began to go by the name of Saleh J. He gained popularity after competing in the popular Tanzanian rap battle TV show, Yo Rap Bonanza.[1] After winning this competition, Saleh J came out with an album which he says was "done in one day and just hours at continental hotel" and was just "distributed to all Indian shop owners."[2] In 1992, Saleh J came out with what is considered his most commercially successful hit -- "Ice Ice Baby - King of Swahili Rap" by putting Swahili lyrics to the tune and rhythm of Vanilla Ice's 1990s hit "Ice Ice Baby".

He left the country of Tanzania soon after to relocate in the United Arab Emirates[2] and by 2003 he had moved to the United Kingdom, where he currently resides.

As Saleh J gained popularity and fame within the young Tanzanian population, he began to compete against other popular Swahili hip hop artists such as Eazy-B and Nigga One. These associations opened many doors for Saleh J, as both these rappers had relationships with a prominent competition in Tanzania, Yo Rap Bonanza, an annual rap battle contest organized and sponsored by local Indian vendors in the marketplace of Dar es Salaam. The YRB contest was not only especially helpful to Saleh J, but also to other Tanzanian hip hop artists, as it included artists from outside the Dar es Salaam region. This integration of other towns and people signified the spread of the hip hop movement throughout Tanzania, indicating a successful career for Saleh J.

Most rappers would rap in English; however, Saleh J was considered innovative as he created a new style by translating the English rhythms into a rough form of Swahili.[1]

As Saleh J was successful in the late 1980s to early 1990s, today he is considered to be "old school" by many Tanzanian hip hop followers, just as Run DMC is considered old school by young American hip hop fans. Today, many new hip hop artists are known to have been inspired by the early Tanzanian hip hop artists who dared to create a new genre of music, Saleh J being one of the most influential artists in Tanzania. Among the popular Tanzanian hip hop artists today are Professor Jay, Juma Nature, Fid Q, and internationally X Among others
 
Joseph Mbilinyi (SUGU) alitambulika kama Too Proud enzi hizo na ndiye aliyekuja kuimarisha bongo flavor kwa kuniingiza kwenye anga za kitaifa na kimaitaifa.

Ni mmoja wa waanzilishi wa muziki wa kizazi hiki
 
Profesa J ndio kiboko,King crazy Gk,Inspector Haroon balaa,Suma Lee hujawataja.
Lady Jide mkongwe huyu miaka ya 90 alikua hana nyimbo hata moja zaidi ya kuigiza copy za kina queen latifa na nyimbo yake kubwa ilikua "i got the pary"
Dudubaya tusimsahau huyu nae aligonga vyombo vizuri tu sijui kapoteana wapi.
Sugu sijawai kumkubali,Sir Nature yuko vizuri sana alipotea tu njia.
Hawa wasanii wa sasa watasubiri sana kwenye hiyo list hapo juu.
Chid Benz tumpe maua yake hata km kapotea.
Yako list uliotaja iko makini KU na Deplowmatiz walitisha sana.
Yule dogo alikua anachana mistari sana dp naskia kawa muislam safi siku hizi ustaadh.
KU yule mwamba no 1 aliondoka kitambo sana kwenda US.
KG toka Kwanza unit kalikufa long time kalikua kakorofi na kalevi sana.
 
Profesa J ndio kiboko,King crazy Gk,Inspector Haroon balaa,Suma Lee hujawataja.
Lady Jide mkongwe huyu miaka ya 90 alikua hana nyimbo hata moja zaidi ya kuigiza copy za kina queen latifa na nyimbo yake kubwa ilikua "i got the pary"
Dudubaya tusimsahau huyu nae aligonga vyombo vizuri tu sijui kapoteana wapi.
Sugu sijawai kumkubali,Sir Nature yuko vizuri sana alipotea tu njia.
Hawa wasanii wa sasa watasubiri sana kwenye hiyo list hapo juu.
Chid Benz tumpe maua yake hata km kapotea.
Yako list uliotaja iko makini KU na Deplowmatiz walitisha sana.
Yule dogo alikua anachana mistari sana dp naskia kawa muislam safi siku hizi ustaadh.
KU yule mwamba no 1 aliondoka kitambo sana kwenda US.
KG toka Kwanza unit kalikufa long time kalikua kakorofi na kalevi sana.
Kg kweli mlevi
 
Back
Top Bottom