Wababa/kaka hivi ni kweli

Wababa/kaka hivi ni kweli

Huyo wa wapi anakutana na demu kwa mara kwanza asiandamane na valuu chupa tatu?

Hahaha aliona mpaka aanze kunywa valuu amalize anachelewa na mdada anaweza ghairi, ukizingatia alishamzungusha sana
 
Hahaha aliona mpaka aanze kunywa valuu amalize anachelewa na mdada anaweza ghairi, ukizingatia alishamzungusha sana

Kumbe hajui utaratibu. Kwa kawaida ni bora mtu ukose spana kwenye gari yako, lakini sio walau chupa mbili za valuu...
 
Daaaah
Ila wewe Gaga ni noumer
Eti unamchapa vibao viwili vya makalio, then una . . . . .

Ila huu mkwara wa huyu mdada naona alishamsoma huyu jamaa kitambo. Akajua ukimpiga "Hard Voice" anashuka na kuwa kiberiti.
Ila wee Maty usije ukajaribu hii, wengine hatutishiwagi kwa nyau . . . . hehhe heheheh
Ngoja nimsimulie jamaa yangu hii story sasa hivi
Nakuja . . . . .
 
Daaaah
Ila wewe Gaga ni noumer
Eti unamchapa vibao viwili vya makalio, then una . . . . .

Ila huu mkwara wa huyu mdada naona alishamsoma huyu jamaa kitambo. Akajua ukimpiga "Hard Voice" anashuka na kuwa kiberiti.
Ila wee Maty usije ukajaribu hii, wengine hatutishiwagi kwa nyau . . . . hehhe heheheh
Ngoja nimsimulie jamaa yangu hii story sasa hivi
Nakuja . . . . .
Ndio maana unatakiwa usijiachie sana usomeke kirahisi na waharibifu kama hawa
 
Ndio maana unatakiwa usijiachie sana usomeke kirahisi na waharibifu kama hawa

Yaani wewe huwa unaniacha hoi kweli na michango yako, unanifanya nitake kukujua ukoje japo kwa sura tu.
Maana, hii sio mara ya kwanza . . . .
 
Yaani wewe huwa unaniacha hoi kweli na michango yako, unanifanya nitake kukujua ukoje japo kwa sura tu.
Maana, hii sio mara ya kwanza . . . .
Nalipukaga wakati mwingine ila najua limits zangu, hivi hata mie huwa natamani kuwaona baadhi ya watu kwa sura ila ndio hivo tena
 
Nalipukaga wakati mwingine ila najua limits zangu, hivi hata mie huwa natamani kuwaona baadhi ya watu kwa sura ila ndio hivo tena

Basi unalipuka kwa akili sana.
Nakuombea uendelee kulipuka namna hii maana unatufundisha hata sisi wanaume mambo ambayo hatukutegemea kufundishwa na mwanamke
 
Basi unalipuka kwa akili sana.
Nakuombea uendelee kulipuka namna hii maana unatufundisha hata sisi wanaume mambo ambayo hatukutegemea kufundishwa na mwanamke
Usijali muda wowote mkuu
 
  • Thanks
Reactions: CPU
Daaaah
Ila wewe Gaga ni noumer
Eti unamchapa vibao viwili vya makalio, then una . . . . .

Ila huu mkwara wa huyu mdada naona alishamsoma huyu jamaa kitambo. Akajua ukimpiga "Hard Voice" anashuka na kuwa kiberiti.
Ila wee Maty usije ukajaribu hii, wengine hatutishiwagi kwa nyau . . . . hehhe heheheh
Ngoja nimsimulie jamaa yangu hii story sasa hivi
Nakuja . . . . .

Hahahaha nimeona asee siwezi thubutu hii makitu lol, maana hata gaga kaongeza ujuzi mwingine hapo eti unamchapa vibao ila gaga kila nikikumbuka ile post nimecheka w/end nzima
 
  • Thanks
Reactions: CPU
Hahahaha nimeona asee siwezi thubutu hii makitu lol, maana hata gaga kaongeza ujuzi mwingine hapo eti unamchapa vibao ila gaga kila nikikumbuka ile post nimecheka w/end nzima

Kila nikianza kumfikiria Gaga alivyo sipati picha. Sijui yukoje.
Yeye anadai anaropoka, lakin kumbe anatufundisha sisi wengine . . . . Heeee!
Sijui kama nitakuja kujuta kuingia JF, especially MMU.

Yaani Maty ukirogwa uje kumjaribu CPU kwa hiyo aliyoshindwa huyo sharobaro, HAKYA NANI TENA naanza kwa mbinu ya Gaga
Chapa vibao viwili vitatu kwanza . . . . lolz
 
Hahahaha babu bwana lol, amesimulia cause anajijua yuko fit ila yule mdada alimzubaisha na mkwara wake lol. Mbona kawaida sometimes huwa tunakaa kabisa tunapiga stori, kuna wakati tunaendaga vijijini huko kuwatumikia wananchi, jioni tunakaa tunaanza kupiga stori na mdada huwa ni mimi peke yangu so wakaka washazoea huwa hawaoni haya kupiga stori zozote mbele yangu.

Sasa si bora huyo alipigwa mkwara. Driver ye ndio alituacha hoi kabisa ye alikutana na mdada wakakubaliana vizuri, siku ya siku haoooo wakavunje amri. Kufika tu mdada akasaula akaenda kuoga akarudi akajilaza kitandani chaliiiiiiiiiiiiiiiiiiii anamsubiri mjamaa akaoge aje. He yule baba kuona vile akajiuliza huyu vipi mbona kajianika akahisi mziki wake utakua mnene akajifanya ananunua maji hapo nje huyoooo akaishia zake.

Mhhh,

Hizi story huwa unazitoa wapi?....Haya bwana, ngoja babu aendelee kusubiri kisa kingine!!
 
Kila nikianza kumfikiria Gaga alivyo sipati picha. Sijui yukoje.
Yeye anadai anaropoka, lakin kumbe anatufundisha sisi wengine . . . . Heeee!
Sijui kama nitakuja kujuta kuingia JF, especially MMU.

Yaani Maty ukirogwa uje kumjaribu CPU kwa hiyo aliyoshindwa huyo sharobaro, HAKYA NANI TENA naanza kwa mbinu ya Gaga
Chapa vibao viwili vitatu kwanza . . . . lolz

Utakumbuka mkuu? Ndo maana hata coaching ina limits zake!!
 
Utakumbuka mkuu? Ndo maana hata coaching ina limits zake!!

Hapo sasa!!
Yaani Babu hapa itabidi nifanye juhudi nimpate Gaga ani-coach full course!
La sivyo, utasikia CPU anaambia " Wewe si unajifanya Processor, kuja hapa chomeka tuone"
Mara unashangaa CPU ina stack ghafla, then baada ya muda mfupi tena Computer nzima ina shutdown
 
Hapo sasa!!
Yaani Babu hapa itabidi nifanye juhudi nimpate Gaga ani-coach full course!
La sivyo, utasikia CPU anaambia " Wewe si unajifanya Processor, kuja hapa chomeka tuone"
Mara unashangaa CPU ina stack ghafla, then baada ya muda mfupi tena Computer nzima ina shutdown

Tena afadhali ikitokea hivyo lakini ukaokoa data...Nahofia unaweza kupoteza kila kitu kwani autosave nayo inaweza kuwa kimeo!
 
Kila nikianza kumfikiria Gaga alivyo sipati picha. Sijui yukoje.
Yeye anadai anaropoka, lakin kumbe anatufundisha sisi wengine . . . . Heeee!
Sijui kama nitakuja kujuta kuingia JF, especially MMU.

Yaani Maty ukirogwa uje kumjaribu CPU kwa hiyo aliyoshindwa huyo sharobaro, HAKYA NANI TENA naanza kwa mbinu ya Gaga
Chapa vibao viwili vitatu kwanza . . . . lolz
Gaga si huyo hapo kwa avatar? au unamuona fake?
 
Hapo sasa!!
Yaani Babu hapa itabidi nifanye juhudi nimpate Gaga ani-coach full course!
La sivyo, utasikia CPU anaambia " Wewe si unajifanya Processor, kuja hapa chomeka tuone"
Mara unashangaa CPU ina stack ghafla, then baada ya muda mfupi tena Computer nzima ina shutdown
Nakwambia nitakukomesha mpaka computer iingie virus hiyo
 
Tena afadhali ikitokea hivyo lakini ukaokoa data...Nahofia unaweza kupoteza kila kitu kwani autosave nayo inaweza kuwa kimeo!

Kweli Babu
Si wote wavaa makoti meupe ni madaktari, wengine ni wauza nyama tu
 
kuna hii stori wapendwa, maana kwanza nimecheka kuliko maelezo

huyu mkaka ni kiwembe balaa, yaani sketi haimpiti kila siku kubadilisha tu wadada. Ila kuna siku akakutana na kiboko yake. Sasa juzi kati kakutana na mdada amekuja kwa ajili ya semina mahali, kama kawaida akamtongoza na hivi mdada ni mgeni hapa basi akawa anamtoa out jioni anamzungusha zungusha kuona mji, anampeleka club na mambo mengi tu ambayo yalikuwa yanamtobolea mfuko vilivyo. Lakini kila akiomba mchezo anaambiwa subiri subiri.

Baada ya kula kwa sana vihela vya jamaa siku hiyo mdada akamuita akamwambia leo nataka nikupe, mkaka wa watu kachekelea hatimae ndege kajinasa, basi baada ya kufika chumbani mdada akaanza risala "umening'ang'ania sana nikupe nikupe sasa leo nakupa na ole wako usiniridhishe utanitambua nakwambia, tena kwa sauti kavu kabisa akasaula akalala njoo sasa ule unazubaa nini? Na ole wako narudia ole wako ushindwe kumaliza chakula.

Duh! Mkaka wa watu ikabidi akanawa aanze kula unaambiwa zubri iligoma kunyooka kila akitaka kula wapi ka mlenda akajitahidi tahidi mwisho akamaliza sa si hakuweza vizuri basi mdada wacha aanze kumshutumu si nilikwambia lazima kazi uifanye vizuri sa ndio umefanya nini? Na leo huondoki mpaka niridhike haya fanya fasta akaenda kujianika tena kwa bed safari hii mkaka wa watu kujaribu ndio akashindwa kabisaaaaaa bora mara ya kwanza alijaribu.

Hivi wakaka ni kweli mdada akikuanzia na mikwara ya hivi ndio unakua kushinei ee
inawezekana huyo dada alitumia nguvu za giza hata hivyo,wale masharp ambao wewe unawaita viwembe hukutana na mambo mengi,wakati fulani hutongoza hata majini bila kujijua.
 
Hahhhh Mbu asa mbona watunyima uhondo?? tusikuulize kwa nini? Mi nanyoosha mkono naomba kuuliza...


Matty hahahaah wewe ulikopindia unakujua mwenyewe duh.....ila kusema kweli huyo dada alicheza na pyschology ya kaka- hakuna na nia naye.......... duh yaani ni kama vile uambiwe na afande wa kike, shughulika na ukishindwa utantambua........asa hiyo kunitambua hujui ana maanisha nini; kukutia ndani au kukuitia mabaunsa wakushughulikie, akili inagawanyika na ubongo unashindwa kupata meseji ipazavyo loh

yani sis huyu ndo powa dadake,ile yunifomu huitoi yote ile,inapandishwa tu kwa juu na mabuti yake vilevile,kishati tu cha juu ndo unafungua vifungo afu unapiga game la kutisha mbaya!!huku unasikiliia tu sauti yake ya mkwara wa ki-afande inavo-change toka kuwa kavu hadi kuwa nyororooooo!the best thing ni kwamba kupigwa mkwara kwa sauti ya hivi kunaongea munkari aidi!!
 
Back
Top Bottom