Wababa..kina kaka...wajomba...waume....wapenzi na marafiki!!!!

Wababa..kina kaka...wajomba...waume....wapenzi na marafiki!!!!

dah nilikuwa nimenuna asubuhi hiii (msiniulize kwa nini ndo ivo) lakini nimesoma hii post ya Lizzy, am blessed and I am now smiling....good Lizzy

Dah nimefurahi kweli kukufanya utabasamu!!!!!
 
Kina dada tumezidi kulalamika kuhusu kaka/baba/waume/wapenzi wetu....kwanzia majumbani mpaka hapa jamvini!!Ohh mnatusema vibaya...hamtujali...hamtuheshimu and so so.....

Ila tukiacha mabaya tunayoyaona kirahisi kuna mazuri mengi sana mnayotufanyia!!
Tunawashukuru kwa:
...kutupenda sana hata tunapokua hatueleweki!!
...Kutununulia vocha hata kama hatuwapigii!!
...Kutupigia wakati sisi tunabeep tu!!
...Kutusifia hata tusiposhukuru!!
...Kutujali hata tunapozidisha malalamiko!!
...Kutushukuru hata tusipostahili!!
...Kutuamini hata tunapokosa uaminifu!!
...Kutulinda hata tunapogombania usawa!
...Kutubariki na uwepo wenu hata tunapojifanya hatuwahitaji!
...Kutuvumilia hata tunapokua wakorofi!
...Kutuelimisha hata tunapokua wabishi na vichwa ngumu!
...Kutufurahisha hata tunapowaponda!!
...Kutudekeza kama watoto!!
...Kutubembeleza!!
n.k

All in all asanteni sana kwa kua na sisi hapa jamvini pia majumbani!!!Kama ambavyo ingekua ngumu kwa nyie kuishi bila sisi pamoja na kero zetu ndivyo ambavyo hata sisi hatutaki kuishi bila nyie!!!Mbarikiwe ili mzidi kua na sisi!!!

Kwa niaba ya wadada na wamama wenzangu TUNAWAPENDA SANA ila mpunguze muda mnaokaa bar mtugawie na sisi!!!!

We love you....:A S-heart-2:ALWAYS!!!!:busu

Kwa hisani ya KLORO......
Hapo kwenye red, ndio mimi nawachoka tu..... kwingine kote sitakuchoka kamwe......
 
dah nilikuwa nimenuna asubuhi hiii (msiniulize kwa nini ndo ivo) lakini nimesoma hii post ya Lizzy, am blessed and I am now smiling....good Lizzy

Mie sikuulizi kwanini umenuna ila ni tabia mbaya sana mwanaume kununa tena asubuhi subuhi acha hizo bana
 
Mie sikuulizi kwanini umenuna ila ni tabia mbaya sana mwanaume kununa tena asubuhi subuhi acha hizo bana

Hahahahha!!!Mwache jamani.....mbona sisi tunanunaga wiki!!!
 
Thanks lizzy kwa kutuwakilisha mama, hapo pa muda wa bar watupunguzie kidogo na sisi nimepapenda sana hatuaambii muache ila mpungudhe kidogo tu. Kaizer kwani huwa unanunaga dear?
 
Thanks lizzy kwa kutuwakilisha mama, hapo pa muda wa bar watupunguzie kidogo na sisi nimepapenda sana hatuaambii muache ila mpungudhe kidogo tu. Kaizer kwani huwa unanunaga dear?

Heheheh tusije tukawaambia waache wakahamia kabisa!!
Happy birthday dear!!!
 
Kina dada tumezidi kulalamika kuhusu kaka/baba/waume/wapenzi wetu....kwanzia majumbani mpaka hapa jamvini!!Ohh mnatusema vibaya...hamtujali...hamtuheshimu and so so.....

Ila tukiacha mabaya tunayoyaona kirahisi kuna mazuri mengi sana mnayotufanyia!!
Tunawashukuru kwa:
...kutupenda sana hata tunapokua hatueleweki!!
...Kutununulia vocha hata kama hatuwapigii!!
...Kutupigia wakati sisi tunabeep tu!!
...Kutusifia hata tusiposhukuru!!
...Kutujali hata tunapozidisha malalamiko!!
...Kutushukuru hata tusipostahili!!
...Kutuamini hata tunapokosa uaminifu!!
...Kutulinda hata tunapogombania usawa!
...Kutubariki na uwepo wenu hata tunapojifanya hatuwahitaji!
...Kutuvumilia hata tunapokua wakorofi!
...Kutuelimisha hata tunapokua wabishi na vichwa ngumu!
...Kutufurahisha hata tunapowaponda!!
...Kutudekeza kama watoto!!
...Kutubembeleza!!
n.k

All in all asanteni sana kwa kua na sisi hapa jamvini pia majumbani!!!Kama ambavyo ingekua ngumu kwa nyie kuishi bila sisi pamoja na kero zetu ndivyo ambavyo hata sisi hatutaki kuishi bila nyie!!!Mbarikiwe ili mzidi kua na sisi!!!

Kwa niaba ya wadada na wamama wenzangu TUNAWAPENDA SANA ila mpunguze muda mnaokaa bar mtugawie na sisi!!!!

We love you....:A S-heart-2:ALWAYS!!!!:busu

Kwa hisani ya KLORO......

Tukizungumza kibiblia umefit mno, kiuchumi, kisaikolojia, kihistoria n.k.
Kama unaprctice haya basi unabusara and lucky is your man.
Asante.
 
Heheheh tusije tukawaambia waache wakahamia kabisa!!
Happy birthday dear!!!

Hahahaaaaaaa umeona eeeeeee wakiambiwa acha ndio umemtuma lol. Hebu kula hii

The Following User Says Thank You to Lizzy For This Useful Post:

Maty (Today)​
 
Asante kwa kutambua na kuwakumbusha akina mama wengine kuliona jambo jema kama hili.
 


Tukizungumza kibiblia umefit mno, kiuchumi, kisaikolojia, kihistoria n.k.
Kama unaprctice haya basi unabusara and lucky is your man.
Asante.

Asantee!
 
Back
Top Bottom