Tatizo sio kubeba nafasi zetu. Wamama wanajua ku manipulate akili za watoto sana akipata ata kaupenyo kidogo jua umepigwaMimi niwaombe wababa wabebe nafasi zao kwenye kutusimamia sisi wanafamilia, tena wawe wakali kidogo hapa kama mama wa taifa alivyokua mkali kwa chalamila alipoona anaharibu familia ya mwanza
Mkisema mtuachie wamama tufanye tutakavyo tutaharibu tuu...... hata Mungu anajua ndio maana aliwapa nyie mamlaka ya kuwa kichwa ili mtoe malekezo ya wapi tunaelekea kwetu
Mwanaume lazima uwe na akili kuzid hawa viumbe katika vitabu vitakatifu wanasema tuishi nao kwa akili wanapokuwa mabinti hadi wakizeeka sasa ukimpa akili akushikie atakuonyesha kweli ye ni nani.Mjadala huu nimeukuta kwa wazee wa Kagera. Siku hizi hawatoi mashamba makubwa yenye migomba mizuri badala yake kijana anapewa eneo la kujenga nyumba na choo halafu mzee anabaki na eneo kubwa. Akizeeka anatangaza kuuza sehemu ya shamba lake basi kijana anaanza kujisogeza karibu na mzee ndo anaanza kutoa masharti.....kilo moja ya nyama kila wiki, sukari kila wiki n.k halafu anamhesabia miguu kadhaa ya shamba. Kwa mfumo huu wazee wanakula vuzuri tofauti na zamani kijana anapewa shamba kubwa anavuna utajiri halafu yeye na mke wake wanawatelekeza wazazi.
Ameamua kutuliza manyanga tu chini ndio amekuwa best wangu mbaya,sometimes anakuja hapa saloon kwang naamua tu kumnyoa buree tuSad[emoji26][emoji26]
Hata asipolalamika baba Mungu atamlalamikia
Huyo mzee aliwalea vipi hao watoto?Mm ninae best yangu 68 yrs ni male anae watoto 6 wa mwisho ndio nalingana nae mm
But anaweza kaa hata 10months hakuna mtoto wake anaempigia simu wala kumuuliza chochote na yy tupo nae hapa kijijini wala hawazi
Anaishia tu kulalamika kuwa watoto hawamjali wala nn wakimtumia pesa mingi sana ni 15k na hata wakija home anaambulia kupewa chupa ya konyag kubwa tu
Watoto wa kuiume jua mnayowafanyia baba zenu sasa hiv,ndio mtakayofanyiwa na nyie mtakapozeeka
What goes around comes around
Hata kama aliwalea vibaya, huwezi lipa ubaya kwa mzazi wakoHuyo mzee aliwalea vipi hao watoto?
Hata kama aliwalea vibaya,huwezi lipa ubaya kwa mzazi wako
Hata wazazi wa kike nao wanayo mapungufu ila ya baba ndio wanaona kuwa hayawezi kusameheka sababu ni baba
We jibu swali uliloulizwa. Hayo mambo ya kufikirika achana nayo.Hata kama aliwalea vibaya,huwezi lipa ubaya kwa mzazi wako
Hata wazazi wa kike nao wanayo mapungufu ila ya baba ndio wanaona kuwa hayawezi kusameheka sababu ni baba
Ni kwasababu ya mentality, tamaduni zetu na gender roles zilivyogawanywa.Inabidi kubadilishe jinsi tunavyolea watoto,yale majukumu ambayo yalikuwa ya mama tu inabidi baba achangie pia katika makuzi ya mtoto kama kubadili diaper,kulisha,kuogesha,kuhudumia akiwa mgonjwa n.kUkweli unaouma!!!!
Kwanini hii ni zaidi kwa wababa kiafrika na sio Asia au Europe?
This is so true..Wakati sio milele, watoto nao watakuwa WAZAZI.
Wamama wengi hutumia muda mwingi na rasilimali zao kufanya uchochezi kwa watoto dhidi ya baba yao.Kumekua na malalamiko mengi kwenye jamii za kitanzania na kiafrika kwa ujumla mara watoto wanapokua na kuanza kujitegemea na umri wa wazazi kusogea, wototo huwa wanakua karibu na mama zao zaidi ya baba zao.
Wababa wengi huumizwa na jambo hili na kujiona kutengwa na watoto wao baada ya watoto hao kupata mafanikio huku wakiamini kabiasa kwamba wake zao (wamama wa hao watoto) wanawafurahia hilo jambo na wana ushirika mkubwa na watoto wao katika kuwatenga
Wamama huwa tunakosea wapi hadi hawa wababa wafikie kulalamika kiasi hiki? Au umri ukienda mapenzi yanaisha na title ya mume inabadilika?
Nini kinawapelekea watoto kuwa na hii distance kubwa kwa baba zao? Je, wanajua kama na wao siku wakizeeka wakatengwa au kuhisi kutengwa itawaumiza?
Ikumbukwe hakuna mtoto wa mzazi mmoja, katika mazingira yoyote yale mtoto atabaki kuwa wa baba na mama unless huyo baba au mama amkatae mtoto
Kwenye imani zetu pia tumeamrishwa kuwaheshimu baba na mama. Hiyo ni amri bila maswali, kazi ni moja tuu kutekeleza. Yaani huwezi sema sababu mama yuko hivi au baba yuko vile sitamheshimu! Matakwa ya amri ni kutekeleza tuu
Familia ni upendo na familia ndio faraja na kimbilio la wakati raha na taabu. Tudumishe upendo
Cc Bushmamy mirisho pm Asprin Sky Eclat 50thebe wahenga wenzangu wote
Hapa kuna mambo mengi sana ya kuangaliaKumekua na malalamiko mengi kwenye jamii za kitanzania na kiafrika kwa ujumla mara watoto wanapokua na kuanza kujitegemea na umri wa wazazi kusogea, wototo huwa wanakua karibu na mama zao zaidi ya baba zao.
Cc Bushmamy mirisho pm Asprin Sky Eclat 50thebe wahenga wenzangu wote
Siku hizi ni 50-50, baba na mama wote wanatoka alfajiri wanarudi magharibi. Jukumu la kukaa na watoto tumewaachia housemaids hivyo hakuna tena sababu ya baba kuchukiwa na watoto, unless awe kauzu.Katika harakati nzima ya kulea mama ndio anabeba jukumu kubwa kuliko baba kwa tamaduni za kiafrika hasa kitanzania. Baba yeye analeta mkate yaani anashughulika kuhudumia familia financially lakini yaliyobakia mama anayatendea haki.So kama jukumu kubwa la malezi anabeba mama mtoto atakuwa karibu na mama kuliko baba.Hata mtoto akiwa na shida yoyote anaenda kwa mama kwasababu hakuna ukaribu,urafiki wala mazoea na baba tena unakuta mtoto anamuogopa hata baba kwasababu anatumika kama chombo cha kuadhibia.Kwa kusema hivo kunakuwa hakuna connection yoyote ya baba zaidi ya genetics na finances which is horrible.Kulea ni zaidi ya huduma ya kifedha na kutoa nidham.
Ila pamoja na yote, madingi wenu miyeyusho tena sana.Hata kama aliwalea vibaya,huwezi lipa ubaya kwa mzazi wako
Hata wazazi wa kike nao wanayo mapungufu ila ya baba ndio wanaona kuwa hayawezi kusameheka sababu ni baba
Unajizungumzia wewe au jamii nzima?Hata kama watu wanafanya kazi 50-50 bado wanatakiwa kusaidiana majukumu wakiwa nyumbani ya malezi so haibadilishi fact ya kwamba wababa waliowengi wanakitoka kazini wanaishia bar au wanakojua wao na mama ndo anabeba mzigo wa ulezi!Siku hizi ni 50-50, baba na mama wote wanatoka alfajiri wanarudi magharibi. Jukumu la kukaa na watoto tumewaachia housemaids hivyo hakuna tena sababu ya baba kuchukiwa na watoto, unless awe kauzu.