Wababe wa kivita Urusi inapanga kujenga kambi ya Jeshi lake Afrika

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827

Rais wa Urusi Vladimir Putin ameidhinisha kuendelezwa kwa makubaliano na Sudan ya kuanzishwa kwa kambi ya jeshi katika pwani ya Bahari Nyekundi.

Urusi inapanga kujenga kituo cha usafirishaji na ukarabati kwa jeshi lake la majini ambacho kitakuwa na wafanyakazi wasiozidi 300.
Rasimu ya makubaliano ya kambi hiyo itakuwa viungani mwa kaskazini mwa Bandari ya Sudan.

Wachambuzi wanasema, Urusi imeongeza shughuli zake Afrika katika miaka ya hivi karibuni hatua inayochukuliwa kama njia moja ya kupunguza ushawishi wa China na Marekani barani humo.​

 
Wanaona wachina na wamarekani wamekuja sana Afrika, sasa wanataka kujileta pia. Hii Afrika yaani ikioneshwa pesa tu, mshajisahau. Watakuja pigana huku Afrika wale jamaa, wapaharibu, warudi kwao.
 
Wanaona wachina na wamarekani wamekuja sana Afrika, sasa wanataka kujileta pia. Hii Afrika yaani ikioneshwa pesa tu, mshajisahau. Watakuja pigana huku Afrika wale jamaa, wapaharibu, warudi kwao.
Ndio kitu nawaza,wagombanie kwao waje wapiganie africa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…