Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Kuna li mtu ni libakaji ,ni linajisi...limeamua kuwa Sheikh. Limeamua kuwa Padre, Limeamua kuwa Mchungaji na Lingine limeamua kuwa Baba.
Limeamua haya yote huku lina akili ile ile ya kubaka, kulawiti na kunajisi.
Usihukumu Dini. Angalia Dini inasemaje suala la mtu mzima kutembea na mtoto ambaye ni mdogo anapaswa awe mtoto wake. Hapo ndo ungeweza laumu. Lakini kama Dini zinakataza then sidhani ni vyema kuwasema Wakristo , Waislamu, Wahindu, Waasili.
Je, Dini zao zinawapa aya za wao kulawiti? Kubaka? Kunajisi? Kusodomize? Mijitu hii ya ovyo inapata nafasi ambazo inazitumia kumfurahisha shetani.
Limeamua haya yote huku lina akili ile ile ya kubaka, kulawiti na kunajisi.
Usihukumu Dini. Angalia Dini inasemaje suala la mtu mzima kutembea na mtoto ambaye ni mdogo anapaswa awe mtoto wake. Hapo ndo ungeweza laumu. Lakini kama Dini zinakataza then sidhani ni vyema kuwasema Wakristo , Waislamu, Wahindu, Waasili.
Je, Dini zao zinawapa aya za wao kulawiti? Kubaka? Kunajisi? Kusodomize? Mijitu hii ya ovyo inapata nafasi ambazo inazitumia kumfurahisha shetani.