Wabangaizaji wezengu naomba mwaliko wa sikuku!!

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
8,406
Reaction score
9,619
Wana jf (hasa wabangaiza wezangu) amani ya Bwana imetawala ,kila mmoja kwa imani yake .

Mada hapo juu yahusika .

Mimi kama mbangaizaji wa kila siku ,tafadhali sana naomba mwaliko wa sikuu kwa wabangaiza wenzangu, matajiri kaa mbali na andiko hili.

Wabangaizaji wenzangu mpo , popote pale utanikaribisha nitafika iwe ndani ya nchi au nje ya nchi nitakuja.

Dunia ngum sana hii , that's Mungu haonekani maana angekua na mafail mengi kwenye meza yake, wabangaizaji tupendane na kuwa kitu kimoja .thanks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…