Wabantu wengi si wabantu halisi, ni mbilikimo

Wabantu wengi si wabantu halisi, ni mbilikimo

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Wabantu walisambaa kutoka maeneo ya Cameroon na kuelekea kusini yote ya Africa kama miaka 3,000 iliyopita, yaani miaka 1000 kabla ya kuzaliwa Yesu. Lakini kabla ya wabantu kuja huku kusini, wakazi wa asili wa huku walikuwa nani?

Huku kulikaliwa na mbilikimo, wabushmen(San) kama wakhosa wa South Africa na Wasandawe na wahadzabe wa Tanzania. Pia kwa Africa mashariki kama Tanzania, wakush wa kusini kama wa Iraqw tayari walikuwepo.

Ilichukua miaka mingi sana kwa wabantu kusambaa huko kote. Njiani mote, hasa kwenye misitu waliingiliana na mbilikimo na kuchangamana kisha jamii nzima ikaunga safari.

Kuchangamana huku ndiko kumefanya wabantu waliokuja huku kusini kuwa na upimbi-upimbi ukilinganisha na 'wabantu' walioenda Africa ya Magharibi. Wabantu wafupi ni mbilikimo waliokuwa assimilated kwenye ubantu.
 
Wabantu walisambaa kutoka maeneo ya Cameroon na kuelekea kusini yote ya Africa kama miaka 3,000 iliyopita, yaani miaka 1000 kabla ya kuzaliwa Yesu. Lakini kabla ya wabantu kuja huku kusini, wakazi wa asili wa huku walikuwa nani...
Usiseme bahimas. Hao wapo Rwanda, Burundi, Kongo, na baadhi a mikoa Tz kama Mara na wengi wao ni wafugaji
 
HUYUNAE NI MFUPI NAHISI ATAKUWA MBANTU
FB_IMG_16713957833830885.jpg
 
Wabantu walisambaa kutoka maeneo ya Cameroon na kuelekea kusini yote ya Africa kama miaka 3,000 iliyopita, yaani miaka 1000 kabla ya kuzaliwa Yesu. Lakini kabla ya wabantu kuja huku kusini, wakazi wa asili wa huku walikuwa nani?

Huku kulikaliwa na mbilikimo, wabushmen(San) kama wakhosa wa South Africa na Wasandawe na wahadzabe wa Tanzania. Pia kwa Africa mashariki kama Tanzania, wakush wa kusini kama wa Iraqw tayari walikuwepo.

Ilichukua miaka mingi sana kwa wabantu kusambaa huko kote. Njiani mote, hasa kwenye misitu waliingiliana na mbilikimo na kuchangamana kisha jamii nzima ikaunga safari.

Kuchangamana huku ndiko kumefanya wabantu waliokuja huku kusini kuwa na upimbi-upimbi ukilinganisha na 'wabantu' walioenda Africa ya Magharibi. Wabantu wafupi ni mbilikimo waliokuwa assimilated kwenye ubantu.
Mkuu wewe ni muongo
Mbilikimo hadi leo wapo pia wabantu wengi walikua wanawabagua mbilikimo na ku tochangamana.Mbilikimo kulingana na ubaguzi walianza kujitenga na kujificha misituni huku wabantu wakiishi kwene vijiji.
Ni sasa tu ndo wanaanza kuchanganyika.
Kuna wabantu wenye damu ya mbilikimo lakini si wabantu kua n mbilikimo.

ushahidi

View: https://youtu.be/1qHH8qLBl4Q?si=iTAl89JmcgQb-j3P
 
Kwani Mbilikimo si ni watu wenye kimo cha yule Muigizaji wa miaka ya nyuma akiitwa "Kistuli"?
 
Mkuu wewe ni muongo
Mbilikimo hadi leo wapo pia wabantu wengi walikua wanawabagua mbilikimo na ku tochangamana.Mbilikimo kulingana na ubaguzi walianza kujitenga na kujificha misituni huku wabantu wakiishi kwene vijiji.
Ni sasa tu ndo wanaanza kuchanganyika.
Kuna wabantu wenye damu ya mbilikimo lakini si wabantu kua n mbilikimo.

ushahidi

View: https://youtu.be/1qHH8qLBl4Q?si=iTAl89JmcgQb-j3P

Wamechanganyika zamani sana. Hawa ambao hawakuchanganyika walijificha misituni hasa.
 
Back
Top Bottom