Wabara ondoeni shaka, ardhi ya SMZ Bagamoyo si sehemu ya Zanzibar. SMZ haina hati; limetelekezwa miaka 45 ila Zanzibar inamiliki kihalali

Hakuna chochote kipya kisichojulikana, wala hakuna kero yoyote mpya, tena vijana wa juzi ndio hamjui, sisi wenzenu kuingia Zanzibar tulikuwa tunaingia kwa passport as foreigners, na ukirejea pale Airport unapitia international arrivals!, mizigo yako inapekuliwa enzi hizo manual, unalipishwa ushuru kama waliotoka nje ya nchi!.
Ardhi haina kero yoyote, ila Watanzania bara wote ambao ni serious wanataka maeneo Zanzibar, waambie wanione tuu niwape connection, mahari kule ni hata thumni tuu, unafungishwa ndoa ya mkeka, unaomba kitambulisho cha ukaazi, ukiisha pata, unampiga talaka 3, na kuendelea na maisha yako, unanunua land utakavyo!, tena beach plots!.

Nadhani ikifanywa sensa ya makabila ya Bara waliohamia Zanzibar, nadhani Wasukuma tunaongoza!, yale madodo mabivu kuyapata usukumani ni ng'ombe 100!, kule Zanzibar unayakuta ni madogo mabivu yamedondoka yenyewe!, wewe kazi yako kujiokotea tuu!, kwanini Wasukuma tusikimbilie?.

P
 
Kujipendekeza kwa waislaam unapata faida gan wewe ni kafir kwao takataka kbs mnajipendekeza na kiwathamin ilhali wao hawana habar na nyie
Kumbe na kaudini udini nako kana nafasi yake kwenye suala hili ?!! Kazi kweri kweri !! Mara malumbano ya So called Sukuma gang vs Asali ! Mara Usimba na Uyanga 😂😂. Ndio maana Tunasemaga Nchi ngumu sana hii ,

Mpaka sasa bado hatujui nini hasa tukipiganie kama kipaumbele chetu. !!
 
Nashauri pia serikali ya zanzibar iipe bara ekar 6000 tukalime iriki kule kwao ....just joke
 
Kujipendekeza kwa waislaam unapata faida gan wewe ni kafir kwao takataka kbs mnajipendekeza na kiwathamin ilhali wao hawana habar na nyie
Mtu yoyote anayeleta udini kwenye issues ambazo dini haihisiki ni mtu muflis kabisa!. Haki haina dini, ukiwa ni mtetezi wa haki utamtetea yoyote bila kuuliza dini yake!. Hapa naitetea SMZ na haki ya Wazanzibari kumiliki ardhi Tanzania kama Watanzania wengine wote.
Mwisho ni mimi sio kafir, kafir ni asiye na dini, mimi ni Mkristo wa kanisa Kuu, Katoliki Takatifu la Mitume!.
P
 
hao ni muflis
P
 
Kama ulivyoelezea, Zanzibar ina haki ya kumiliki ardhi hapa bara kama taasisi nyingine yoyote. Zanzibar ni sehemu ya TANZANIA wanetu!!!
 
Suala la udogo wa Zanzibar lingekuwa na mantiki iwapo wazanzibar wangekuwa wanatumia ardhi yao tu. Lakini wanaaccess ya sqkm zaidi ya 900,000 za Tanganyika halafu bado mtu anasema wana ardhi ndogo! Mmechanga vitu halafu aliyechanga kidogo hataki chake mtumie wote!!? Huu ni ubinafsi mkubwa.


Pia Nyerere hakuwa na Mamlaka ya kutoa ardhi ya nchi kama zawadi. Ardhi siyo yake, yeye ni msimamizi tu.
 
Tunachojifunza hapa;Mwl.Nyerere alipenda Muungano hata akatoa sehemu ya bara kumilikiwa na Zanzibar.
 
Pia Nyerere hakuwa na Mamlaka ya kutoa ardhi ya nchi kama zawadi. Ardhi siyo yake, yeye ni msimamizi tu.
Rais wa nchi anayo mamlaka hayo. Pale Royal Palm ilipo, ilikuwa ni sehemu ya Gymkana Club, uwanja wa Basketball wa timu ya Pazi, Nyerere akawapa Tanrus co. Ltd. Mwinyi aligawa 21 Beach plots from Police Mess to Masaki, kwa marafiki zake!. Kikwete amewapa maeneo Rwanda, Burundi na DRC kujenga ICD zao.
It's legit.
P
 
Nao waturudishie visiwa vyetu vyote vya Zanzibar na eneo lote lililokuwa la Tanganyika (Kilwa) miaka buku iliopita
 

Attachments

  • FB_IMG_1686182690771.jpg
    91.2 KB · Views: 11
Hiyo miji na hiyo ikulu hakujenga kuturuzuku sisi, alijenga kwa interest zake huyo sultan. Hivyo masilahi mapana ya Tanganyika yaheshimiwe!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…