Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Huoni hao ni wana CCM tu.Hawa ndugu zetu wa huko Denmark, yaani wabeba maboksi wa huko, siku ya mazishi ya hayati Rais Magufuli, waliacha kufanya kila kitu na kufuatilia kwa umakini sana shughuli za mazishi za mpendwa..
60B Tshs ziko wapi?