Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Huoni hao ni wana CCM tu.Hawa ndugu zetu wa huko Denmark, yaani wabeba maboksi wa huko, siku ya mazishi ya hayati Rais Magufuli, waliacha kufanya kila kitu na kufuatilia kwa umakini sana shughuli za mazishi za mpendwa..
Athibitishe mwenyewe kama hilo jina kapewa au kajipa mwenyewe,🤣🤣
Ndio, kuna uzi nimemuonaKwani Fayza kashatia timu?
Walikuwa wanafuatilia zile Hotuba na Misa? Au ile mizinga kwa aliyekuwa Amiri Jeshi Mkuu?Hawa ndugu zetu wa huko Denmark, yaani wabeba maboksi wa huko, siku ya mazishi ya hayati Rais Magufuli, waliacha kufanya kila kitu na kufuatilia kwa umakini sana shughuli za mazishi za mpendwa...
Daah hizi njemba zimerudi!!???Unaniita dogo mimi daah ebu kaa chini na Bi mkuwa wako muulize vizuri Ritz ni nani yangu.
TunamkaribishaNdio, kuna uzi nimemuona
Naona paka kaondoka sasa mapanya mnaingia kwa vigeregere,Bi mkubwa unatafuta mchawi au?
Njooni sasa muishike nafasi za kipara kipya na @Wakudadavua maana kutesa kwa zamuMaulana Ritz umanipa faraja kubwa sana kukuona hapa Jamvini.
Watoto wa mzazi mmoja wanakuja mbio kufurahia ujio wetu.
Wasameh bure. Hawakuwahi kupata malezi ya baba.
Allah akuongeze umri Ustadh wangu.
Wacha woga kijana, tulia kama moja!Naona paka kaondoka sasa mapanya mnaingia kwa vigeregere,
Ok siyo mbaya maana kila masika na mbu wake.
Hiyo caption ya wabeba maboksi 😆😆Hawa ndugu zetu wa huko Denmark, yaani wabeba maboksi wa huko, siku ya mazishi ya hayati Rais Magufuli, waliacha kufanya kila kitu na kufuatilia kwa umakini sana shughuli za mazishi za mpendwa...
Kwa hawajui Chato kuna 'Air port ya kimataifa!!Walimlilia Magufuli hivi walikuwa wanamfahamu huyu babu hawa?? yaani walitoa machozi yao kumlilia kabisaaaa??
Vishoka yaani hawakatai kazi apo wapo kazini!What’s that?
Sasa unachokataa nini?inamaana kongoUN,ghana,etc wote walomlilia hawamjui?Walimlilia Magufuli hivi walikuwa wanamfahamu huyu babu hawa?? yaani walitoa machozi yao kumlilia kabisaaaa??