Wabeba maboksi wa Denmark wamlilia Rais Magufuli

Sasa unachokataa nini?inamaana kongoUN,ghana,etc wote walomlilia hawamjui?

Acha chuki binafsi uhalifu wako usifanye watu wote wamchukie Magu?wote wenye kumchukia ni mafisadi na wahalifu hivyo wasingeweza kabisaaa kumpenda aloyewadhibiti.

Na bado
Jamani hata watumishi wa umma wanaomlalamikia kutowajali kwa kipindi chake chote cha uongozi nao ni waalifu?
 

Na nyie wabeba boksi wa USA mtamlilia lini?
 
Mkuu Livejr ,sijakuelewa,tafadhali embu tufafanulie siso wengine tulikuwa mbali na nyumbani na mbali na TV.
 
CCM asili/wazawa walipiga kimyaa baada ya genge la kabila fulani kushika hatamu 2015. Sasa naamini asilia wote kama Ritz , Lizaboni , Malaria Sugu , MwanaDiwani , FaizaFoxy , Chris Lukosi , watarudi jukwaani.
Nami narudi rasmi sasa.
Karibu mkuu,mwamba wanamfananisha na Musa aliyewatoa waisrael misri,lakini hakutoboa kufika Canaan, sababu ya ukaidi wake aliambiwa apige mwamba Mara moja ye akachapa Mara mbili.

Nina imani Joshua atatufikisha kwenye katiba Mpya na tume huru ya uchaguzi.
 
Kisa ni msukuma mwenzio mayooo[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Kimeumana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kimeumana

Sukuma gang kwisha habari yao

Dunia hii wanafiki wapo

Refer kipindi cha Jk hawa watu kina Pasco mayala, nyaningabu,gwajima,katambi,..na wote walikua na mtazamo gani lakini after mwendazake kuchukua nchi wakageuka wakawa mbogo kusapoti juhudi kisa mwendazake ni wa kwao huko

Wakawa wanampamba

Hadi rashid akadakwa na vipeperushi vya kuunda sijui nchi yao sijui jeshi .....ukabila mtupu

Sasa hivi kimeumana.....Tanzania ni yetu sasa....tumuunge mkono mama samia ni mkomboz wa taifa

S-gang kimeumana nasema kimeumana..wapi pasco na nyani....

Nasema uongo ndugu zangu
?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kubeba boksi si ajabu ni kazi kama kazi zengine, lakini hapa imetumika kama dharau dhidi ya diaspora.
 
Sukuma Gang ni genge hatari sana na mfadhili wao ni yule yule askofu Chidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…