Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Jamani hata watumishi wa umma wanaomlalamikia kutowajali kwa kipindi chake chote cha uongozi nao ni waalifu?Sasa unachokataa nini?inamaana kongoUN,ghana,etc wote walomlilia hawamjui?
Acha chuki binafsi uhalifu wako usifanye watu wote wamchukie Magu?wote wenye kumchukia ni mafisadi na wahalifu hivyo wasingeweza kabisaaa kumpenda aloyewadhibiti.
Na bado