education is a transformation of knowing something from one person to another person, according to the nature.
But some how it stands of understanding, hivyo unaweza ukawa umesoma mawazo ya mtu harafu ukajivunia wewe ni msomi, kulingana na usomi wako ulitakiwa kujua nani anachekesha kati ya mimi na www.rotten.com, kwani walivyoripoti jinsi watoto wa sadam walivyouwawa, haikuwa habari ya maana? we vipi eboo! harafu kumbuka kuwa unapoishia wewe kuelewa, ndipo mwingine anapoaanzia kuelewa, haiwezekani tukawa sawa. elimu kitu gani kwanza, kuna watu kazi kukariri tu, hata usishangae mtu ukawa Profeser na bado ukawa unaamini binadamu alitokana na nyani mpaka leo, usijisumbue akili yako kuutafuta ukweli.
UNPOFANYA UTAFITI,.NA KUAMUA KUUPRESENT ,MBELE YA WENZAKO.,HUWA KUNA SWALI MWISHO.,KIPI KIPYA KATIKA UTAFITI WAKO,.NA UNAMALENGO GANI YA KUUENDELEZA?HATA KAMA SIO WEWE BASI UMEWAACHIA WENZAKO WAJAO NAFASI GANI YA KUENDELEZA YALE ULIYOYAANZISHA?[
periodic table of the chemical elements ILIYOGUNDULIWA MWAKA 1869 NA MRUSI BADO INAJAZWA MPAKA LEO ]
HUMU J.F.KUNA SIGNATURE KIBAO./,
MOJAWAPO NILIOIPENDA NI YA ABDULHALIM.,ALIKUWA ANAULIZA KILA MARA, KIPI KIPYA.,,kwa kuiangalia tu ,.unapata picha kuwa unadeal na
Academician,.KWA TAFSIRI YANGU NI TUANZIE WAPI BAADA YA HAPO.,.
Nyingine ni SIGNATURE isemayo ., HATA MWAKYEMBE AKIBISHA ,....LAKINI UKWELI UPO PALE PALE.,.R,A..
NAONA UBISHI HUU HATA WEWE UNAO.SASA TUANZIE KWA NILIYOYAOMBA.,ILI TUMALIZE
YOU Need TO update your knowladge daily, na usinganganie ya zamani au uzoefu.,Bongo niliporudi kutoka masomoni , Kwa mara ya kwanza ofisini nilipata tabu mno na wazee wenye misimamo kama yako.,lakini baadaye nilieleweka.,.