WABEBERU WANATUONEA: Tanzania’s president loves mega-projects. Careful planning, less so

WABEBERU WANATUONEA: Tanzania’s president loves mega-projects. Careful planning, less so

The only thing that will save Danganyikas from these disasters is that govt censures bad publicity on public projects.. Otherwise kama hii lunatic line yenye wanajenga itakuwa the biggest white elephant project in the history of TZ.. mnakashifu SGR ya KE, hii ya TZ itakuwa national humiliation
 
But sio about interest pekee....Kuna some very pertinent issues zimekuwa raised Kwa hiyo article...especially on the power required to run the Sgr trains....If the country has been experiencing black outs,how then will it get power for the electric trains? Najua utaniambia Stiglers Gorge,....huu mradi utachukua zaidi ya miaka mitano kukamilika, ilhali mnasema by Dec, reli kutoka Dar-Morogoro itakuwa imekamilika....basi hizo trains zitaendeshwa na umeme upi?
Afu huyo muandishi wa kutoka ubeberuni katoa maoni nayopendekeza mm daily kujenga mabwawa ya umeme mid sized ambayo ni cheap na fast kuliko stiglaz hapo wa Tzn hutawaona wakijadili.Ministry responsible for energy development imetaja miradi kadhaa ya aina hiyo na cost associated but utekelezaji wake haueleweke ila kelele na nguvu kubwa ni costly stiglaz with undisclosed project costs,it means Kuna wizi unapangwa
 
S/he is a clueless character, ,

TZ already has a number of those midsized dams: Kihansi, Kidatu, Mtera, Njombe, Nyumba ya Mungu, Rusumo under construction etc..

Plus a number of gas to electricity generating stations. But how much combined do they contribute to the national grid?

We have a growing population and big industrialisation ambitions therefore our forecasted demand cannot be sustained with small or midsized power hydro dams.

In fact, if I have to advice JPM, I would tell him to consider going the big "N" route... Nuclear! we have plenty of Uranium lying on the sub surface of the very same Selous reserve🙂
Afu huyo muandishi wa kutoka ubeberuni katoa maoni nayopendekeza mm daily kujenga mabwawa ya umeme mid sized ambayo ni cheap na fast kuliko stiglaz hapo wa Tzn hutawaona wakijadili.Ministry responsible for energy development imetaja miradi kadhaa ya aina hiyo na cost associated but utekelezaji wake haueleweke ila kelele na nguvu kubwa ni costly stiglaz with undisclosed project costs,it means Kuna wizi unapangwa
 
S/he is a clueless character, ,

TZ already has a number of those midsized dams: Kihansi, Kidatu, Mtera, Njombe, Nyumba ya Mungu, Rusumo under construction etc..

Plus a number of gas to electricity generating stations. But how much combined do they contribute to the national grid?

We have a growing population and big industrialisation ambitions therefore our forecasted demand cannot be sustained with small or midsized power hydro dams.

In fact, if I have to advice JPM, I would tell him to consider going the big "N" route... Nuclear! we have plenty of Uranium lying on the sub surface of the very same Selous reserve🙂
Toka zako huko miradi yote ya kuzalisha umeme wa maji iliyoko njombe 3 hakuna hata mmoja ambao uko kwenye ujenzi ukiacha rusumo.endapo ingezajengwa kwa pamoja ingeongeza zaidi ya mgwat 1000 kwenye grid tena kwa bei nafuu na ingekamilika haraka,,hapo bado gas au makaa ya mawe
Megawatt zaidi ya 2000 hadi tuzimalize lazima kufikia uchumi zaidi ya 100bln gdp ambapo ingechukua zaidi ya miaka 15 ijayo sasa haraka ya stiglaz ambayo ni costful ya nn na inafanywa siri kama sio wizi wa kutafutia chama pesa za kuhonga kipindi cha kampeni?
 
S/he is a clueless character, ,

TZ already has a number of those midsized dams: Kihansi, Kidatu, Mtera, Njombe, Nyumba ya Mungu, Rusumo under construction etc..

Plus a number of gas to electricity generating stations. But how much combined do they contribute to the national grid?

We have a growing population and big industrialisation ambitions therefore our forecasted demand cannot be sustained with small or midsized power hydro dams.

In fact, if I have to advice JPM, I would tell him to consider going the big "N" route... Nuclear! we have plenty of Uranium lying on the sub surface of the very same Selous reserve🙂
A Train/Rail system cant use more than 200 MW (assuming its being run at full capacity)
And fo such safety critical systems, redundacies are buit in like different powerlines from different power stations and backup gens running on gas/diesel.
That article is very misinformed
 
Ni kuwashwawashwa tu huko!!! Baada ya kuona mambo yanafanyika bila wao kuhusishwa especially kwny hizi Mega projects ambazo alitufanya kuamini kwamba ni ndoto kwetu kuzitekeleza.
Kwa wakati kama huu lazima tusote kidogo kwa maana ya kuapply "Contractionary Fiscal Policy" (Watu waliosoma uchumi watanielewa) unahitaji kichwa kigumu kdg kuamua kwnd na hii aina ya policy.
Thank God mambo yote ya msingi yako stable ikiwemo ,1.Amani ndani ya nchi, 2.Mfumuko wa bei (ambao uko controllable na hiyo policy) 3.Upatikanaji wa chakula,pia majority bado wanaimani kubwa na serikali yao.
Ni wakati tu tukimaliza hizi project kubwa ambazo zina impact ya moja kwa moja kwa serikali na mwananchi mmoja mmoja tutakuwa pazuri sana especially mradi wa Reli na wa Umeme miradi hii ni miradi ya pesa chap chap inaweza kusaidia kustimulate uchumi kwani ina multiply effects pia itastimulate sector zingine kwa namna moja au nyingine........ Tuko pazuri tukaze roho tu na kumtanguliza Muumba. One day people will learn from us, now they are taking notes.Sisi tunabanwa ila tunaona pesa yetu ya walipa kodi inapokwenda, Wakenya vp huko kwenu?!!!!!!!.

Mkuu natunza hii comment yako, siku jiwe atakapo dondosha nchi hakika nitakukumbusha hii comment yako,
 
Ni kudedicate line tu kutoka kwny chanzo cha uhakika mfano ubalozi wa marekani hapa Tanzania una dedicated line ya umeme hakunaga blackout sisi si wajinga kukimbilia treni ya umeme pasipo kufikiria swala lenyewe la umeme wa uhakika. Kha!.

So wewe unamwamini bwana yule(jiwe) anaweza kujua kuwa huu mradi ni sahihi kwa nchi ama la? Nikupe mfano mdogo tu, huyo huyo ndiye alijiingiza kwenye korosho na matokeo yake kila mmoja anayajua, sasa hiyo imani uliyonayo juu yake sijui inatoka wapi ili hali kuna reference kibao juu ya maamuzi yake
 
But sio about interest pekee....Kuna some very pertinent issues zimekuwa raised Kwa hiyo article...especially on the power required to run the Sgr trains....If the country has been experiencing black outs,how then will it get power for the electric trains? Najua utaniambia Stiglers Gorge,....huu mradi utachukua zaidi ya miaka mitano kukamilika, ilhali mnasema by Dec, reli kutoka Dar-Morogoro itakuwa imekamilika....basi hizo trains zitaendeshwa na umeme upi?

Kwanza ingekuwa vizuri ujue train ya umeme inatumia Umeme kiasi gani then ujue nini kinafanyika pale Umeme unapokatika ndio uje uongee hapa kuliko kuharibu space ya forum bure.
 
Kwanza ingekuwa vizuri ujue train ya umeme inatumia Umeme kiasi gani then ujue nini kinafanyika pale Umeme unapokatika ndio uje uongee hapa kuliko kuharibu space ya forum bure.
Sasa wewe unayejua,si ungekuja na facts ndio tujue basi......
 
Mkuu natunza hii comment yako, siku jiwe atakapo dondosha nchi hakika nitakukumbusha hii comment yako,
Hahaha poa mkubwa ila mambo yakiwa mukide pia usinisahau kaka!!Uje unipe kongole kwa imani yangu ya kisayansi!!! One Love!!!!.
 
Pamoja mkuu
Sana kaka this our country kama una upendo thabiti na hujanunuliwa,huna maslahi yako binafsi na unaitakia mema Tanzania yetu semaaaa,hii ni nchi yetu sote we need to lean forward and not backward!!! We don't need to shift along the curve,we need to push the curve up right (wasomi wa uchumi watanielewa).Moko.
 
Duh jamaa amemchana JPM vinoma, tatizo hakuna Mtanzania mwenye uwezo wa kubishana na hoja zake neno kwa neno. Wote wataishia kulialia kuhusu mabeberu.

Absolutely. Angalia posts zilizotangulia post yako.
 
Nothing can stop the man they call “the bulldozer”

20190608_MAP003_0.jpg

Print edition | Middle East and Africa


Jun 6th 2019 | THE SELOUS

L
IKE ISAIAH BERLIN’S hedgehogs, who knew one big thing, John Magufuli, Tanzania’s president, sees economic growth through a single prism: the state, and the state alone, delivers prosperity. Cash has been poured into Air Tanzania, the loss-making state-owned airline, which has recently bought half-a-dozen new planes, including a Boeing 787 Dreamliner. Passengers arriving on it will be able to whizz across the country in high-speed trains, if things go to plan. Some 30 infrastructure projects are in the works. Dodoma, Tanzania’s capital-in-name-only, is being overhauled. It will have Africa’s largest stadium. A hydroelectric dam in the south is more modestly conceived: it will merely be the continent’s joint second-biggest.
Such mega-projects go down well domestically. They foster pride and are taken as evidence that the president is serious about giving Tanzania a modern economy by 2025. For a president who won election in 2015 by the smallest margin in Tanzania’s history, they are also potential vote-winners. Donors and investors are less enthusiastic. They have nothing against infrastructure-driven development, but it needs to be well planned, carefully implemented and make financial sense. They worry that Mr Magufuli’s schemes often fail on all three counts. Already, several have made faltering starts.
Take Air Tanzania. Its reputation is dismal. In 2011 it stopped flying altogether after its last aircraft was grounded for repairs. Its new Dreamliner has yet to revive its fortunes. Flights to Mumbai and Guangzhou should have started last September but did not because the airline had been suspended by the International Air Transport Association over unpaid debt, and did not have experienced pilots. Flights will finally begin in July, the company says.
Mr Magufuli’s vision sometimes trumps forethought. When he abolished state school fees, too few teachers had been trained to meet the surge in demand. “I have teachers teaching classes of 130 under a tree,” complains one headmaster.
Similarly, government ministries have been told to move from Dar es Salaam, Tanzania’s biggest city, to Dodoma. Yet the buildings meant to house them are under scaffolding and the city’s expansion will not be complete for another decade. Mere details, scoffs the president (who has not moved): “Stay under a mango tree.”
Grander projects are planned. A new railway is being built that will eventually connect Dar es Salaam to Kigali, Rwanda’s capital, along 1,090 miles of track. The first, 186-mile phase, costing $1.9bn (about 4% of GDP) is due to be completed in December. Mr Magufuli insists on the trains being electric, which pleases environmentalists. However, Tanzania has an erratic electricity supply. Potential passengers worry that their trains may be stranded.

Mr Magufuli’s answer to this is his most controversial project of all: the Rufiji Hydroelectric Project. The 2,115-MW dam is equalled in generating capacity in Africa only by Egypt’s Aswan Dam (Ethiopia’s troubled Grand Renaissance Dam will eventually eclipse both). If completed, it would more than double the amount of electricity Tanzania generates. But the dam is to be built in the Selous, Africa’s biggest game reserve and a UNESCO World Heritage site. Conservationists are livid and think it may lead to more elephant poaching.
Others question the dam’s viability. Mr Magufuli reckons it will be built within three years at a cost of $2.9bn. Both estimates need to be trebled, reckons Joerg Hartmann, an independent dam specialist. Donors also doubt the wisdom of making Tanzania’s power supply dependent on a single source vulnerable to droughts.
The president, an engineer by training, is fond of the grandiose. Yet less ambitious projects could deliver more. Tanzania has plenty of water and natural gas. Smaller dams and power plants would be cheaper and quicker to build.
But the president is not for turning. Donors have little clout: it is hard to use aid as pressure when his government deliberately delays its disbursement and tries to tax it. Domestic critics have even less sway. Opposition MPs are frequently arrested. Those who criticise the dam have been told they will be jailed. Even the president’s own officials are too scared to offer candid advice. Some Western diplomats say they are asked to break bad news to the president by aides too timid to do so.

Mr Magufuli faces few checks. “He is allowed to make all the decisions, from the smallest to the biggest,” says Daniel El-Noshokaty, the resident director for the Konrad Adenauer Foundation, a think-tank associated with Germany’s centre-right CDU party. If feasibility studies are carried out, they are rarely published. Donors suspect the president based his decision to build his huge dam on a viability study carried out by the Norwegian government in 1980. Yet not only did Norway abandon the project, because it did not make financial sense, but water levels have since fallen by 25% due to climate change and upstream irrigation, says Zitto Kabwe, an economist and opposition MP.
Only a booming economy would allow Mr Magufuli to pay for his projects without taking on unsustainable debt. The president points to official figures showing an expanding tax base and annual economic growth of 7%. Sceptics note that government data are unreliable and that questioning them could soon be a criminal offence. The International Monetary Fund (
IMF) reckons the economy will grow by just 4% in 2019, one percentage point above population growth. Tax revenues ticked up by 3.1% last year, not nearly enough to fund the president’s dreams. The IMF warned in a recent report (whose release was blocked by Tanzania) that a big increase in spending on mega-projects could leave the country struggling to repay its debts.
Far from boosting the economy, Mr Magufuli is shackling it. Private investment has been scared off by limits on foreign ownership, a ban on international arbitration to settle contract disputes and a delay in paying VAT refunds. Executives working for multinational firms have been arrested, and ludicrously high fines imposed on spurious grounds (Acacia Mining, a British firm, was told to pay $190bn—more than three years of Tanzania’s GDP—for allegedly undervaluing gold exports). Tanzanian businessmen have been strong-armed into surrendering assets to the state. Tour operators and farmers complain of lower profits due to new taxes and rule changes. Unless Mr Magufuli changes course, one day the only elephant left in the Selous may be a white one.


Much as I try (and would love) to see a lie or a misrepresentation in this article, I fail to see any. Or maybe there's just one point; President Magufuli is not a trained engineer.
 
The president, an engineer by training, is fond of the grandiose???????????
 
Ni kudedicate line tu kutoka kwny chanzo cha uhakika mfano ubalozi wa marekani hapa Tanzania una dedicated line ya umeme hakunaga blackout sisi si wajinga kukimbilia treni ya umeme pasipo kufikiria swala lenyewe la umeme wa uhakika. Kha!.
Hiyo train imekwama porini lini?

Hizi ndio ramli chonganishi
Hivi Unajua hata ni umeme kiasi gani unahitajika kupiga routes za Dar Moro?
 
Sana kaka this our country kama una upendo thabiti na hujanunuliwa,huna maslahi yako binafsi na unaitakia mema Tanzania yetu semaaaa,hii ni nchi yetu sote we need to lean forward and not backward!!! We don't need to shift along the curve,we need to push the curve up right (wasomi wa uchumi watanielewa).Moko.

Sure, but we also need to agree that we have the barrier towards the real achievements of the country, we are not hunting for the unknown though we pretend to
 
Mimi binafsi furaha yangu ni kumuona mzungu anateseka, kwa namna yoyote ile mzungu hajawahi kumsaidia mtu mweusi kiuchumi zaidi ya kumkandamiza na kumuibia.

Akikuona umekomaa kufanya yako basi ni tatizo kwake yeye nani alimpangia kipindi anafanya yake?

Jirani Mkenya mpka sasa anateseka na nchi yake mwenyew kwakutaka kumfurahisha mzungu.

TUPO PAMOJA JPM.
 
I like how the writer signs off... "One day, the only elephant left in the Selous may be a white one.. " If you know you know! Ni hayo tu kwa sasa
 
Back
Top Bottom