1. Inflation imepaa hadi kufikia 9.4%
Russian annual inflation reached 9.5% in 2024, driven by
high military and national security spending, which is set to account for 41% of total state budget spending in 2025.
2. Ukuaji wa uchumi umeanguka mpaka kufikia 1.3%
| GDP growth | 3.6% (2023) 4.1% (2024) 1.3% (2025
|
3. Thamani ya makampuni ya umma imekaribia kufa kabisa. Kampuni kubwa ya gas ya Serikali, Gazprom, imepoteza kiwango chakecha thamani kwa 75%.
Russian state-owned companies has collapsed even more, with Gazprom losing 75% of its value.
4. Mapato ya kodi ya Serikali yaliyokuwa yanatokana na ywekezaji wa kigeni, yameanguka kwa 75%.
The tax income Russian government receives from foreign companies also decreased by 75%.
5. Mauzo ya gas na mafuta yamea guka kwa 50%.
Energy export revenues dropped by 50%.
6. Baadhi ya sector za uchumi za Urusi zimeanguka kwa 90%.
Numerous sectors of Russian economy collapsed by as much as 90%,