Wabobezi wa siasa za Kiafrika nisaidieni; kwanini Kenya ina siasa za kipekee ndani ya Afrika Mashariki?

Wabobezi wa siasa za Kiafrika nisaidieni; kwanini Kenya ina siasa za kipekee ndani ya Afrika Mashariki?

sepema

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2019
Posts
591
Reaction score
1,001
Wakuu heshima kwenu

Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikifatilia siasa za nchi zetu za Afrika mashariki hususani kipindi Cha uchaguzi.
Rwanda na Uganda sijashuhudia chaguzi zao hivyo naziacha Kama zilivyo kwanza.

Katika nchi zinazounda jumuiya ya Afrika mashariki,ni Kenya tu ambayo ukiangalia siasa zao unaweza ushindwe kujua kuwa wanaigiza ama wapo serious na wanachokifanya. Nakama wapo serious nchi majirani tuige mifumo yao au tuachane nao?

Kenya hakuna chama cha kisiasa chenye uhakika wa kutawala zaidi ya awamu mbili tangu ilivyoondoka KANU mwaka2002.

Kenya chama kinachompata raisi kinajifia mara tu utawala wa raisi husika unapokoma. Rejea kile chama kilichomuweka madarakani hayati Mwai Kibaki, na hata hiki kilichomuweka madarakani Uhuru Kenyatta.

Kenya hakuna kubebana kisiasa kwa kisingizio cha tupo wote serikalini.Hii inajidhihirisha pale ambapo raisi Uhuru alivyokuwa kinyume na makamu wake kwenye kampeni huku akionekana dhahiri kumpigia kampeni mzee Raila Odinga. Pia ikumbukwe Kuna mawaziri walijigawa mapema wengine wakaenda kambi ya William Ruto huku wengine wakiwa upande wa Hapa unashindwa kuelewa kwenye vikao vya baraza la mawaziri wanakaaje na kuelewana kwenye Mambo muhimu ya kitaifa.

Kenya wanachagua raisi wao hata wakiwa nje ya Kenya. Uchaguzi huu wakenya walioko mabara mbalimbali wamepiga kura kwenye balozi zao.

Uhuru Kenyatta aliamua kuachana na chama Cha baba yake ambacho ndio chama Cha ukombozi nchini Kenya(KANU).

Wakuu,hii yakuachana na chama Cha baba walau kidogo inaweza kufanana na Ile ya Makongoro wa Tanzania aliyehamia NCCR nakuachana na CCM ya baba yake (japo alirudi).

Ninachoamini nikwamba hata baada yauchaguzi huu wa Kenya,chama kitakachoingia madarakani hakiwezi tena kujitokeza baada ya mihula miwili ya uongozi wake kupita(Kama kikichaguliwa kwa mihula miwili).

NB: Kila hoja niliyoandika nimeilinganisha na nchi ya Tanzania.

Naomba kusaidiwa;huu mfumo wa siasa na chaguzi za Kenya,unawezwa na wakenya peke yao ama hata sisi watanzania tunaweza kwenda nao?
Wasalaam!

Kwa kuongezea; Wakenya hawapigi kura kwa kuangalia chama bali wanaangalia mtu, kwao chama baadae.Tofauti na nchi zingine ambazo chama chao kikishateua hata Kama ni boga litapigiwa kura za ndio.Ikibidi litasaidiwa kwa kuiba kura.

Kenya hawana vijana wanaoshinda na kukesha kwenye vibaraza vya ofisi za vyama vya siasa. Mambo ya vyama kwao yanasikika wakati wa uchaguzi tu.
 
Wakuu heshima kwenu
Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikifatilia siasa za nchi zetu za Afrika mashariki hususani kipindi Cha uchaguzi.
Rwanda na Uganda sijashuhudia chaguzi zao hivyo naziacha Kama zilivyo kwanza.

Katika nchi zinazounda jumuiya ya Afrika mashariki, ni Kenya tu ambayo ukiangalia siasa zao unaweza ushindwe kujua kuwa wanaigiza ama wapo serious na wanachokifanya. Nakama wapo serious nchi majirani tuige mifumo yao au tuachane nao?

Kenya hakuna chama Cha kisiasa chenye uhakika wa kutawala zaidi ya awamu mbili tangu ilivyoondoka KANU mwaka2002.

Kenya chama kinachompata raisi kinajifia mara tu utawala wa raisi husika unapokoma.Rejea kile chama kilichomuweka madarakani hayati Mwai Kibaki,na hata hiki kilichomuweka madarakani Uhuru Kenyatta.

Kenya hakuna kubebana kisiasa kwa kisingizio Cha tupo wote serikalini.Hii inajidhihirisha pale ambapo raisi Uhuru alivyokuwa kinyume na makamu wake kwenye kampeni huku akionekana dhahiri kumpigia kampeni mzee Raila Odinga

.Pia ikumbukwe Kuna mawaziri walijigawa mapema wengine wakaenda kambi ya William Ruto huku wengine wakiwa upande wa Hapa unashindwa kuelewa kwenye vikao vya baraza la mawaziri wanakaaje na kuelewana kwenye Mambo muhimu ya kitaifa.

Kenya wanachagua raisi wao hata wakiwa nje ya Kenya.Uchaguzi huu wakenya walioko mabara mbalimbali wamepiga kura kwenye balozi zao.

Uhuru Kenyatta aliamua kuachana na chama Cha baba yake ambacho ndio chama Cha ukombozi nchini Kenya(KANU).

Wakuu, hii yakuachana na chama Cha baba walau kidogo inaweza kufanana na Ile ya Makongoro wa Tanzania aliyehamia NCCR nakuachana na CCM ya baba yake (japo alirudi).

Ninachoamini nikwamba hata baada yauchaguzi huu wa Kenya,chama kitakachoingia madarakani hakiwezi tena kujitokeza baada ya mihula miwili ya uongozi wake kupita(Kama kikichaguliwa kwa mihula miwili).

NB: Kila hoja niliyoandika nimeilinganisha na nchi ya Tanzania.

Naomba kusaidiwa; huu mfumo wa siasa na chaguzi za Kenya,unawezwa na wakenya peke yao ama hata sisi watanzania tunaweza kwenda nao?
Wasalaam!
Hawana uchu wa madaraka na mali.

Mtu anayegombania lazima shinde kwa maji na damu hawezi kusema anaenda kuwatumikia wananchi. Lazima ana agemda nyingine tusiyoijua.
 
Kenya ni ELIMU ELIMU ELIMU, sio mazuzu, waoga, ukunguru, they fight kupata haki yao na hawategemei mtu au watu kuwapigania
MKUU

Deep state yao ina maono Sana!haikukubabali ujinga wetu wa huku!eti huku wamefumba macho wakiona ufisadi ukijua Hadi kukita mizizi!walishindwa hata kumchagua member ndani yao the state aanzishe chama na kishike dola kama mbadala wa CCM wakaiacha NCHI itopee kwenye UFISADI na wakamuingiza jpm mkenge akaingia katikati ya moto mkali wa mapambano makali akapigwa propaganda za kitoto na kuchonganishwa na wananchi na kuchukiwa Sana na wananchi!!Hata kama ni mimi mzalendo ningekuwa jpm ningefanya vilevile co hamna namna!Sasa walamba asali wametapakaa wakijipandishia mafuta wanavotaka huku the state INAVUMILIA eti muda ufike ndio wafanye maamuzi wakati WANAJUA watu wanaumia Sana KWA mdororo wa uchumi uliopo!!!

The state Kati ya kosa kubwa mmelifanya ni kuruhusu nchi kuongozwa na chama kimoja KWA muda mrefu kiasi kwamba ufisadi umekuwa kama SHERIA ya asili hapa nchini akija mzalendo anapata shida kuongozwa nchi iliyooza kwq ufisadi Hadi anachukiwa na wananchi KWA propaganda za kitoto!

Shame on you Tanzania The state for this!!! CCM imeumiza wengi Sana na kuua wengi Sana Ili ibaki madarakani kuliko hata mngeleta chama mbadala cha kupokezana nayo angalau mngeponyesha Taifa KWA ukatili uliojitokeza miaka yote hii!!
 
Wakuu heshima kwenu

Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikifatilia siasa za nchi zetu za Afrika mashariki hususani kipindi Cha uchaguzi.
Rwanda na Uganda sijashuhudia chaguzi zao hivyo naziacha Kama zilivyo kwanza.

Katika nchi zinazounda jumuiya ya Afrika mashariki,ni Kenya tu ambayo ukiangalia siasa zao unaweza ushindwe kujua kuwa wanaigiza ama wapo serious na wanachokifanya.Nakama wapo serious nchi majirani tuige mifumo yao au tuachane nao?

Kenya hakuna chama Cha kisiasa chenye uhakika wa kutawala zaidi ya awamu mbili tangu ilivyoondoka KANU mwaka2002.

Kenya chama kinachompata raisi kinajifia mara tu utawala wa raisi husika unapokoma.Rejea kile chama kilichomuweka madarakani hayati Mwai Kibaki,na hata hiki kilichomuweka madarakani Uhuru Kenyatta.

Kenya hakuna kubebana kisiasa kwa kisingizio Cha tupo wote serikalini.Hii inajidhihirisha pale ambapo raisi Uhuru alivyokuwa kinyume na makamu wake kwenye kampeni huku akionekana dhahiri kumpigia kampeni mzee Raila Odinga.Pia ikumbukwe Kuna mawaziri walijigawa mapema wengine wakaenda kambi ya William Ruto huku wengine wakiwa upande wa Hapa unashindwa kuelewa kwenye vikao vya baraza la mawaziri wanakaaje na kuelewana kwenye Mambo muhimu ya kitaifa.

Kenya wanachagua raisi wao hata wakiwa nje ya Kenya.Uchaguzi huu wakenya walioko mabara mbalimbali wamepiga kura kwenye balozi zao.

Uhuru Kenyatta aliamua kuachana na chama Cha baba yake ambacho ndio chama Cha ukombozi nchini Kenya(KANU).
Wakuu,hii yakuachana na chama Cha baba walau kidogo inaweza kufanana na Ile ya Makongoro wa Tanzania aliyehamia NCCR nakuachana na CCM ya baba yake (japo alirudi).

Ninachoamini nikwamba hata baada yauchaguzi huu wa Kenya,chama kitakachoingia madarakani hakiwezi tena kujitokeza baada ya mihula miwili ya uongozi wake kupita(Kama kikichaguliwa kwa mihula miwili).

NB: Kila hoja niliyoandika nimeilinganisha na nchi ya Tanzania.

Naomba kusaidiwa;huu mfumo wa siasa na chaguzi za Kenya,unawezwa na wakenya peke yao ama hata sisi watanzania tunaweza kwenda nao?
Wasalaam!
Raia wake wanajitambua!
 
Wakuu heshima kwenu

Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikifatilia siasa za nchi zetu za Afrika mashariki hususani kipindi Cha uchaguzi.
Rwanda na Uganda sijashuhudia chaguzi zao hivyo naziacha Kama zilivyo kwanza.

Katika nchi zinazounda jumuiya ya Afrika mashariki,ni Kenya tu ambayo ukiangalia siasa zao unaweza ushindwe kujua kuwa wanaigiza ama wapo serious na wanachokifanya.Nakama wapo serious nchi majirani tuige mifumo yao au tuachane nao?

Kenya hakuna chama Cha kisiasa chenye uhakika wa kutawala zaidi ya awamu mbili tangu ilivyoondoka KANU mwaka2002.

Kenya chama kinachompata raisi kinajifia mara tu utawala wa raisi husika unapokoma.Rejea kile chama kilichomuweka madarakani hayati Mwai Kibaki,na hata hiki kilichomuweka madarakani Uhuru Kenyatta.

Kenya hakuna kubebana kisiasa kwa kisingizio Cha tupo wote serikalini.Hii inajidhihirisha pale ambapo raisi Uhuru alivyokuwa kinyume na makamu wake kwenye kampeni huku akionekana dhahiri kumpigia kampeni mzee Raila Odinga.Pia ikumbukwe Kuna mawaziri walijigawa mapema wengine wakaenda kambi ya William Ruto huku wengine wakiwa upande wa Hapa unashindwa kuelewa kwenye vikao vya baraza la mawaziri wanakaaje na kuelewana kwenye Mambo muhimu ya kitaifa.

Kenya wanachagua raisi wao hata wakiwa nje ya Kenya.Uchaguzi huu wakenya walioko mabara mbalimbali wamepiga kura kwenye balozi zao.

Uhuru Kenyatta aliamua kuachana na chama Cha baba yake ambacho ndio chama Cha ukombozi nchini Kenya(KANU).
Wakuu,hii yakuachana na chama Cha baba walau kidogo inaweza kufanana na Ile ya Makongoro wa Tanzania aliyehamia NCCR nakuachana na CCM ya baba yake (japo alirudi).

Ninachoamini nikwamba hata baada yauchaguzi huu wa Kenya,chama kitakachoingia madarakani hakiwezi tena kujitokeza baada ya mihula miwili ya uongozi wake kupita(Kama kikichaguliwa kwa mihula miwili).

NB: Kila hoja niliyoandika nimeilinganisha na nchi ya Tanzania.

Naomba kusaidiwa;huu mfumo wa siasa na chaguzi za Kenya,unawezwa na wakenya peke yao ama hata sisi watanzania tunaweza kwenda nao?
Wasalaam!
Kwa kuongezea;
Wakenya hawapigi kura kwa kuangalia chama bali wanaangalia mtu, kwao chama baadae.Tofauti na nchi zingine ambazo chama chao kikishateua hata Kama ni boga litapigiwa kura za ndio.Ikibidi litasaidiwa kwa kuiba kura.

Kenya hawana vijana wanaoshinda na kukesha kwenye vibaraza vya ofisi za vyama vya siasa. Mambo ya vyama kwao yanasikika wakati wa uchaguzi tu.

#UCHAGUZIKENYA: Zoezi la kuhesabu kura linaendelea ambapo hadi kufikia Saa 02:32 Mchana, Mgombea wa Azimio la Umoja, Raila Odinga amejikusanyia kura 1,890,299 sawa na 49.58% huku Mgombea wa UDA, Naibu Rais William Ruto akiwa na kura 1,868,853 sawa na 49.02%

#ITVUchaguziKenyaUpdates
 
Wakuu heshima kwenu

Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikifatilia siasa za nchi zetu za Afrika mashariki hususani kipindi Cha uchaguzi.
Rwanda na Uganda sijashuhudia chaguzi zao hivyo naziacha Kama zilivyo kwanza.

Katika nchi zinazounda jumuiya ya Afrika mashariki,ni Kenya tu ambayo ukiangalia siasa zao unaweza ushindwe kujua kuwa wanaigiza ama wapo serious na wanachokifanya.Nakama wapo serious nchi majirani tuige mifumo yao au tuachane nao?

Kenya hakuna chama Cha kisiasa chenye uhakika wa kutawala zaidi ya awamu mbili tangu ilivyoondoka KANU mwaka2002.

Kenya chama kinachompata raisi kinajifia mara tu utawala wa raisi husika unapokoma.Rejea kile chama kilichomuweka madarakani hayati Mwai Kibaki,na hata hiki kilichomuweka madarakani Uhuru Kenyatta.

Kenya hakuna kubebana kisiasa kwa kisingizio Cha tupo wote serikalini.Hii inajidhihirisha pale ambapo raisi Uhuru alivyokuwa kinyume na makamu wake kwenye kampeni huku akionekana dhahiri kumpigia kampeni mzee Raila Odinga.Pia ikumbukwe Kuna mawaziri walijigawa mapema wengine wakaenda kambi ya William Ruto huku wengine wakiwa upande wa Hapa unashindwa kuelewa kwenye vikao vya baraza la mawaziri wanakaaje na kuelewana kwenye Mambo muhimu ya kitaifa.

Kenya wanachagua raisi wao hata wakiwa nje ya Kenya.Uchaguzi huu wakenya walioko mabara mbalimbali wamepiga kura kwenye balozi zao.

Uhuru Kenyatta aliamua kuachana na chama Cha baba yake ambacho ndio chama Cha ukombozi nchini Kenya(KANU).
Wakuu,hii yakuachana na chama Cha baba walau kidogo inaweza kufanana na Ile ya Makongoro wa Tanzania aliyehamia NCCR nakuachana na CCM ya baba yake (japo alirudi).

Ninachoamini nikwamba hata baada yauchaguzi huu wa Kenya,chama kitakachoingia madarakani hakiwezi tena kujitokeza baada ya mihula miwili ya uongozi wake kupita(Kama kikichaguliwa kwa mihula miwili).

NB: Kila hoja niliyoandika nimeilinganisha na nchi ya Tanzania.

Naomba kusaidiwa;huu mfumo wa siasa na chaguzi za Kenya,unawezwa na wakenya peke yao ama hata sisi watanzania tunaweza kwenda nao?
Wasalaam!
Kwa kuongezea;
Wakenya hawapigi kura kwa kuangalia chama bali wanaangalia mtu, kwao chama baadae.Tofauti na nchi zingine ambazo chama chao kikishateua hata Kama ni boga litapigiwa kura za ndio.Ikibidi litasaidiwa kwa kuiba kura.

Kenya hawana vijana wanaoshinda na kukesha kwenye vibaraza vya ofisi za vyama vya siasa. Mambo ya vyama kwao yanasikika wakati wa uchaguzi tu.
Siasa za ukabila lazima kuwe na Coalition,Tanzania hatuna huo ujinga ndio maana tuna vyama vyenye nguvu kama huko America.
 
Wakuu heshima kwenu

Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikifatilia siasa za nchi zetu za Afrika mashariki hususani kipindi Cha uchaguzi.
Rwanda na Uganda sijashuhudia chaguzi zao hivyo naziacha Kama zilivyo kwanza.

Katika nchi zinazounda jumuiya ya Afrika mashariki,ni Kenya tu ambayo ukiangalia siasa zao unaweza ushindwe kujua kuwa wanaigiza ama wapo serious na wanachokifanya.Nakama wapo serious nchi majirani tuige mifumo yao au tuachane nao?

Kenya hakuna chama Cha kisiasa chenye uhakika wa kutawala zaidi ya awamu mbili tangu ilivyoondoka KANU mwaka2002.

Kenya chama kinachompata raisi kinajifia mara tu utawala wa raisi husika unapokoma.Rejea kile chama kilichomuweka madarakani hayati Mwai Kibaki,na hata hiki kilichomuweka madarakani Uhuru Kenyatta.

Kenya hakuna kubebana kisiasa kwa kisingizio Cha tupo wote serikalini.Hii inajidhihirisha pale ambapo raisi Uhuru alivyokuwa kinyume na makamu wake kwenye kampeni huku akionekana dhahiri kumpigia kampeni mzee Raila Odinga.Pia ikumbukwe Kuna mawaziri walijigawa mapema wengine wakaenda kambi ya William Ruto huku wengine wakiwa upande wa Hapa unashindwa kuelewa kwenye vikao vya baraza la mawaziri wanakaaje na kuelewana kwenye Mambo muhimu ya kitaifa.

Kenya wanachagua raisi wao hata wakiwa nje ya Kenya.Uchaguzi huu wakenya walioko mabara mbalimbali wamepiga kura kwenye balozi zao.

Uhuru Kenyatta aliamua kuachana na chama Cha baba yake ambacho ndio chama Cha ukombozi nchini Kenya(KANU).
Wakuu,hii yakuachana na chama Cha baba walau kidogo inaweza kufanana na Ile ya Makongoro wa Tanzania aliyehamia NCCR nakuachana na CCM ya baba yake (japo alirudi).

Ninachoamini nikwamba hata baada yauchaguzi huu wa Kenya,chama kitakachoingia madarakani hakiwezi tena kujitokeza baada ya mihula miwili ya uongozi wake kupita(Kama kikichaguliwa kwa mihula miwili).

NB: Kila hoja niliyoandika nimeilinganisha na nchi ya Tanzania.

Naomba kusaidiwa;huu mfumo wa siasa na chaguzi za Kenya,unawezwa na wakenya peke yao ama hata sisi watanzania tunaweza kwenda nao?
Wasalaam!
Kwa kuongezea;
Wakenya hawapigi kura kwa kuangalia chama bali wanaangalia mtu, kwao chama baadae.Tofauti na nchi zingine ambazo chama chao kikishateua hata Kama ni boga litapigiwa kura za ndio.Ikibidi litasaidiwa kwa kuiba kura.

Kenya hawana vijana wanaoshinda na kukesha kwenye vibaraza vya ofisi za vyama vya siasa. Mambo ya vyama kwao yanasikika wakati wa uchaguzi tu.
HAMIA KENYA AMBAKO ARDHI IKO MIKONONI MWA WATU WACHACHE
 
Wakuu heshima kwenu

Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikifatilia siasa za nchi zetu za Afrika mashariki hususani kipindi Cha uchaguzi.
Rwanda na Uganda sijashuhudia chaguzi zao hivyo naziacha Kama zilivyo kwanza.

Katika nchi zinazounda jumuiya ya Afrika mashariki,ni Kenya tu ambayo ukiangalia siasa zao unaweza ushindwe kujua kuwa wanaigiza ama wapo serious na wanachokifanya.Nakama wapo serious nchi majirani tuige mifumo yao au tuachane nao?

Kenya hakuna chama Cha kisiasa chenye uhakika wa kutawala zaidi ya awamu mbili tangu ilivyoondoka KANU mwaka2002.

Kenya chama kinachompata raisi kinajifia mara tu utawala wa raisi husika unapokoma.Rejea kile chama kilichomuweka madarakani hayati Mwai Kibaki,na hata hiki kilichomuweka madarakani Uhuru Kenyatta.

Kenya hakuna kubebana kisiasa kwa kisingizio Cha tupo wote serikalini.Hii inajidhihirisha pale ambapo raisi Uhuru alivyokuwa kinyume na makamu wake kwenye kampeni huku akionekana dhahiri kumpigia kampeni mzee Raila Odinga.Pia ikumbukwe Kuna mawaziri walijigawa mapema wengine wakaenda kambi ya William Ruto huku wengine wakiwa upande wa Hapa unashindwa kuelewa kwenye vikao vya baraza la mawaziri wanakaaje na kuelewana kwenye Mambo muhimu ya kitaifa.

Kenya wanachagua raisi wao hata wakiwa nje ya Kenya.Uchaguzi huu wakenya walioko mabara mbalimbali wamepiga kura kwenye balozi zao.

Uhuru Kenyatta aliamua kuachana na chama Cha baba yake ambacho ndio chama Cha ukombozi nchini Kenya(KANU).
Wakuu,hii yakuachana na chama Cha baba walau kidogo inaweza kufanana na Ile ya Makongoro wa Tanzania aliyehamia NCCR nakuachana na CCM ya baba yake (japo alirudi).

Ninachoamini nikwamba hata baada yauchaguzi huu wa Kenya,chama kitakachoingia madarakani hakiwezi tena kujitokeza baada ya mihula miwili ya uongozi wake kupita(Kama kikichaguliwa kwa mihula miwili).

NB: Kila hoja niliyoandika nimeilinganisha na nchi ya Tanzania.

Naomba kusaidiwa;huu mfumo wa siasa na chaguzi za Kenya,unawezwa na wakenya peke yao ama hata sisi watanzania tunaweza kwenda nao?
Wasalaam!
Kwa kuongezea;
Wakenya hawapigi kura kwa kuangalia chama bali wanaangalia mtu, kwao chama baadae.Tofauti na nchi zingine ambazo chama chao kikishateua hata Kama ni boga litapigiwa kura za ndio.Ikibidi litasaidiwa kwa kuiba kura.

Kenya hawana vijana wanaoshinda na kukesha kwenye vibaraza vya ofisi za vyama vya siasa. Mambo ya vyama kwao yanasikika wakati wa uchaguzi tu.
Walishapigana wakaheshimiana. Hawaogopani tena!
 
NB: Kila hoja niliyoandika nimeilinganisha na nchi ya Tanzania.

Naomba kusaidiwa;huu mfumo wa siasa na chaguzi za Kenya,unawezwa na wakenya peke yao ama hata sisi watanzania tunaweza kwenda nao?
Umejitahidi.

Mwanzo nilitaka kupuuza, lakini kadri nilivyosoma mada nikaona kweli umechanganyikiwa na siasa zilivyo Kenya.

Mkuu 'sepema', hakuna tofauti kati yetu na Kenya katika mambo ya msingi. Wote ni fursa tu kwa wanaojvisha kilemba cha uanasiasa.

Kama unataka kutafuta tofauti kati yao na sisi, tazama sehemu hizi mbili muhimu:
1. Ukabila
2. CCM

Tofauti zetu kubwa kwa sasa ni katika mambo haya mawili.

Hapa kwetu bila uwepo wa CCM, nasi pia tungekuwa na vyama vingi vinavyoibuka kila wakati wa uchaguzi ili kutafuta maslahi. Ila kwa kuwa bado ipo CCM inayounganisha wenye maslahi yao, basi tupo tofauti na Kenya. Wanaojiita viongozi wamejazana huko CCM wakijua maslahi yao huko ndiko yalipo; kwa nini wahangaike na kuanzisha vyama vingine?

Kenya, jambo muhimu kuliko yote ni kabila. Hata katika uchaguzi huu unaoonekana kuwa kama wa mfano kwa wengine, bado ukabila ndio msingi mkuu, na kila kiongozi anayetaka kuongoza ni lazima aweke kabila mbele, hasa kwa wakikuyu na Kalenjin na waluo. Ili ushindi upatikane ni lazima Kikuyu wakubali. au Kalenjini wakubali.

Kwa hiyo hivi vikabila vingine vyote, viongozi wa huko wanaunda tuvyama ili waweze kuungana na kile kinachoongozwa na Mkikuyu au Kalenjini au Mluo ili kutafuta maslahi

Hizi ni siasa za kilaghai, kama zilivyo zile za CCM hapa kwetu.

Sasas nimalizie kwa tahadhari: Tanzania nao tunaelekea kwenye miunganiko ya tuvyama, kama ilivyo Kenya. Hivi vyama vya mfukoni vinabebwa na CCM na huenda CHADEMA nao wakawa njiani kujiingiza ili na wao waweze kuingia serikalini wapate ulaji (maslahi). Bila shaka Samia na Mbowe bado wanalipika hili jinsi litakavyopakuliwa.

Uganda ni mali ya M7 kama Rwanda ilivyo mali ya Kagame kupitia kwenye vyama vyao vya kijeshi.
 
Siasa za ukabila lazima kuwe na Coalition,Tanzania hatuna huo ujinga ndio maana tuna vyama vyenye nguvu kama huko America.
Hivie? Nasikia mwaka huu hata hawaangalii San mgombea anatoka wapi.Nimepata habar hata eneo alilopigia kura Uhuru Kenyatta,aliyeongoza kwa kura nyingi ni Ruto
 
Wakenya hawapigi kura kwa kuangalia chama bali wanaangalia mtu, kwao chama baadae.Tofauti na nchi zingine ambazo chama chao kikishateua hata Kama ni boga litapigiwa kura za ndio.Ikibidi litasaidiwa kwa kuiba kura.
Imenilazimu nirudi kuhusu hili:

Siyo kweli.

Kalonzo -Ukambani, ana watu wake, kabila la wakamba, ndiyo maana kila upande ulitaka aingie kwao
Mudavadi -Waluhya, yeye nguvu yake ni kuwapeleka waluhya upande wa Ruto

Karua na yule makamu wa Ruto, wapo huko kupeleka wakikuyu katika miungano waliyoteuliwa
Kule wameru, viongozi wao wakuu wengi wapo upande wa Ruto

Hali ni hivyo hivyo nchi nzima. Mugawanyiko ni wa viongozi kutafuta maslahi.
 
Back
Top Bottom