Si ajabu si hata kinyesi ni mlo kule eliakeem joto la jiwe njooni na failed state, njaa na kibela
Halafu wewe mtoto usinizoee. usirudie kuniita kwenye mambo ya kinyonge kama haya.
Isitoshe nani kakwambia hapo ni bongo. Huoni hapo wanaendesha magari upande wa kulia. Unaacha kwenda kupanda maparachichi, unakalia umbea tu. Pimbaf kabisa.
Yaap mbwa kuna watu wanakula paka naye analiwa ..mfano Mimi napenda nyama ya paka kuliko kukuKhaai, kwani wtz wanakula mbwa?
Mbwa akiwa mzima, nyama ikipikwa, kazi ya hoho,swaumu, karoti,pilipili ni nini?Khaai, kwani wtz wanakula mbwa?
Unamaanisha sura kama ya Jiwe? Alafu hao jamaa wafupi wafupi mambilikimo huwa hawapatikani Kenya. Hio ndio avarage height ya mtz.Tanzania hatuna wanaume wenye sura za mirungi hiyo ni Kenya hata mazingira yanaonesha.