Wabongo bana, yaani mtu maarufu (celebrity) hajui ulipo mlima Kilimanjaro, halafu mnatupigia makelele

Wabongo bana, yaani mtu maarufu (celebrity) hajui ulipo mlima Kilimanjaro, halafu mnatupigia makelele

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Ndivyo walivyo, asilimia kubwa ya Watanzania wakiwemo wasanii na watu maarufu wengi hawajui vivutio vya kitalii kwao viko wapi, wao wapo wapo tu siku ziende, hawaitalii nchi yao kabisa, hawana desturi kama ilivyo kwetu sisi Wakenya ambapo tumegeuza kibao kabisa, tunaitalii nchi yetu kote, vijana wanakodi magari na kukatiza nayo kwenye mbuga zote. Wenzetu wengi ukiwauliza ulipo mlima Kilimajaro hawana habari, mfano hai huyu jamaa maarufu (Mwijaku) kwenye hii video, wameganda pale Dara salama siku zote.

Pia wengi wanaponda jitihada za mama Samia kwenye ile video yake ya kujaribu kunadi vitutio vya kitalii

https://www.jamiiforums.com/data/video/4931/4931683-e0e2b3cb6ae0fb03d7bbe159b9745d6f.mp4
 
Kabla hata hatujaendelea, Huyu jamaa kwanza jinsia yake huwaga siielewi mpaka leo....
Halafu huwaga anajiita msomi , mbona wasomi hawapo kama yeye??
 
Hivi ni kweli Mwijaku ana shahada ya pili(M.A.)? Alitunukiwa hiyo shahada na Chuo gani?
 
Ndivyo walivyo, asilimia kubwa ya Watanzania wakiwemo wasanii na watu maarufu wengi hawajui vivutio vya kitalii kwao viko wapi, wao wapo wapo tu siku ziende, hawaitalii nchi yao kabisa, hawana desturi kama ilivyo kwetu sisi Wakenya ambapo tumegeuza kibao kabisa, tunaitalii nchi yetu kote, vijana wanakodi magari na kukatiza nayo kwenye mbuga zote. Wenzetu wengi ukiwauliza ulipo mlima Kilimajaro hawana habari, mfano hai huyu jamaa maarufu (Mwijaku) kwenye hii video, wameganda pale Dara salama siku zote.

Pia wengi wanaponda jitihada za mama Samia kwenye ile video yake ya kujaribu kunadi vitutio vya kitalii

https://www.jamiiforums.com/data/video/4931/4931683-e0e2b3cb6ae0fb03d7bbe159b9745d6f.mp4
Huyu siyo celebrity, ni chawa mmoja anazunguzunguka mitaani kutafuta shibe.
 
Ndivyo walivyo, asilimia kubwa ya Watanzania wakiwemo wasanii na watu maarufu wengi hawajui vivutio vya kitalii kwao viko wapi, wao wapo wapo tu siku ziende, hawaitalii nchi yao kabisa, hawana desturi kama ilivyo kwetu sisi Wakenya ambapo tumegeuza kibao kabisa, tunaitalii nchi yetu kote, vijana wanakodi magari na kukatiza nayo kwenye mbuga zote. Wenzetu wengi ukiwauliza ulipo mlima Kilimajaro hawana habari, mfano hai huyu jamaa maarufu (Mwijaku) kwenye hii video, wameganda pale Dara salama siku zote.

Pia wengi wanaponda jitihada za mama Samia kwenye ile video yake ya kujaribu kunadi vitutio vya kitalii

https://www.jamiiforums.com/data/video/4931/4931683-e0e2b3cb6ae0fb03d7bbe159b9745d6f.mp4
Nashindwa kuwaelewa watanzania kiujumla, hivi mtu unakuwa na akili gani kusikiliza msanii wa bongo fleva au bongo movie? Wengi wao ni makahaba tu na hawana chochole kichwani, wamejawa na scandals kibao za kishenzi halafu mtu unapoteza muda wako kuwasikiliza hawa wapuuzi kweli?
 
Siyo kila anayekwenda Shule ni Mwerevu,Wangine wanasindikiza wenzao.
 
Harmonize naye💩shoste tumemweka ndani kileleshwa police station!😬kazi anasign atafanya ya concert tena ana imba 3minutes na ilifaa kuwa 3hrs,Hatubembelezi bongolalaz huku sio kampuni za CCM,lazima ufwate sheria!za kampuni za Kenya!😎amepewa free ride na KDF to London Policestation!kisha kuzidisha katuwekea msanii wetu Erik Omondi dent ya lips😬wwe harmonize wwe ndani!ata dimondi kikuja na heree tunapiga ndani💩lol👌
 
Tuseme hata wakenya hamna akili mnaposema mlima Kilimanjaro upo Kenya, angali mwatambua kuwa huwez kupanda kupitia Kenya entrance zote zipo Tanzania
 
Back
Top Bottom