JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,118
- 4,863
Utakuta umeenda ofisi flani kiofisi umekaa zako na kazi zako simu imeita umetoa iPhone 11 yako umeongea umemaliza unaskia kamjadala kaajabu watu wanaongeleshana “ yaani mimi nitoe milioni yangu ninunue simu? Kweli wabongo wanapenda matumizi unakuta mtu ana simu ya millioni tatu wakati maisha yake kama ya kwangu tu heheee” mwingine utamsikia “ wee mimi TECNO yangu nimenunua laki na nusu na ina miaka mitatu inapiga kazi yaani nitoe milioni ninunue simu hehehe”
Ukute uko zako kitaa kwenye ki glosari kuna majirani kadhaa wapo kivyao wanakunywa K-Vant umeagiza dompo lako basi utaskia vi mjadala vya ovyo kweli “unajua mimi hizi pombe tamu tamu siwezi kunywa kwanza zina sukari, alafu ogopa sana vitu vyenye rangi rangi sana sana hizi wine siyo nzuri kiafya” yaani ilimradi tuu wajiridhishe kuwa wao wako vizuri kimaamuzi kuliko wewe sijui hii tabia inasababishwa na nini wabongo kwanini msi mind mambo yenu bila kijilinganisha na wenzenu?
Ukute uko zako kitaa kwenye ki glosari kuna majirani kadhaa wapo kivyao wanakunywa K-Vant umeagiza dompo lako basi utaskia vi mjadala vya ovyo kweli “unajua mimi hizi pombe tamu tamu siwezi kunywa kwanza zina sukari, alafu ogopa sana vitu vyenye rangi rangi sana sana hizi wine siyo nzuri kiafya” yaani ilimradi tuu wajiridhishe kuwa wao wako vizuri kimaamuzi kuliko wewe sijui hii tabia inasababishwa na nini wabongo kwanini msi mind mambo yenu bila kijilinganisha na wenzenu?