WaBongo kujeni hapa tuseme nanyi

Tatizo mna wivu mpaka mnashindwa kujizuia. Kila zuri mkilisikia au kuliona Tanzania basi mnaumia sana kwanini isiwe Kenya hiyo roho ya kwanini haifai ndugu zangu.
Kwani nani asiyependa kila kitu kizuri kiwe kwake, acheni kulala fofofo na kufikirii dunia inawapenda na kuwahurumia, mnafaa mchangamke.
 
Tatizo mna wivu mpaka mnashindwa kujizuia. Kila zuri mkilisikia au kuliona Tanzania basi mnaumia sana kwanini isiwe Kenya hiyo roho ya kwanini haifai ndugu zangu.

Unashangaza sana wewe JF hapa walitenga sehemu tuwe tuna post mambo ya kwetu Kenya, ila kila tunachokiweka kizuri hamuishi kutiririka matusi, chuki na kudhihirisha mlivyo na roho nyeusi za kichawi.
 
Hv Yale mawingu yaliyokwama bongo yameshafika huko Kenya?
 
Sawa mido inkamu kantri,
Ninyi ni ligi ya RSA.
Bwa haha ha haha
 
If you want to compare Tanzania and Kenya Go to this website
 
Unashangaza sana wewe JF hapa walitenga sehemu tuwe tuna post mambo ya kwetu Kenya, ila kila tunachokiweka kizuri hamuishi kutiririka matusi, chuki na kudhihirisha mlivyo na roho nyeusi za kichawi.
Ngojeni wachina waichukue mombasa port

Ova
 
Unashangaza sana wewe JF hapa walitenga sehemu tuwe tuna post mambo ya kwetu Kenya, ila kila tunachokiweka kizuri hamuishi kutiririka matusi, chuki na kudhihirisha mlivyo na roho nyeusi za kichawi.

Mchawi ni wewe kila ukiona baya la Tanzania unapost hapa kwenye jukwaa lenu, mazuri unayaongelea kiwivuwivu acha ushamba basi, ama wewe umetokea Turkana nn[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kinachonichekesha huyu jamaa anatuona wtz kama mambumbumbu fulani eti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…