Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Huwezi ukaenda Kariakoo usikutane na mbongo kavaa jezi hii. Ina siri gani ya kukubalika sana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa kubet Palmeiras ilimpa kibunda akaenda kununua na Jezi kabisa kuna wale wazee wa Flamengo ligi za Brazil Chile Argentina huko vururuvururu hawanaga gemu za Mchana gemu zao ni usiku kuanzia saa 5 kuendelea na siku akipigwa mtu anapigwa km ngomaSecret association..!?🤷🤷😇🤷
Usiige kila kitu.
Lipia tangazo.Huwezi ukaenda Kariakoo usikutane na mbongo kavaa jezi hii. Ina siri gani ya kukubalika sana?View attachment 3067076
Unaweza shangaa wewe tu ndiye huna hii jeziHuwezi ukaenda Kariakoo usikutane na mbongo kavaa jezi hii. Ina siri gani ya kukubalika sana?View attachment 3067076
JAPANESE UNCENSOREDHuwezi ukaenda Kariakoo usikutane na mbongo kavaa jezi hii. Ina siri gani ya kukubalika sana?View attachment 3067076
Ukiona hivyo msambazaji analala na kuamkia makaburini.Huwezi ukaenda Kariakoo usikutane na mbongo kavaa jezi hii. Ina siri gani ya kukubalika sana?View attachment 3067076
Update yangu mwenyewe muda huu nimeshuka kwenye pantoni nadhani watu kama 10 wameiva nilkuwa muhimbili pia nimeona watu wengi sana.. na jana nilisehemu napata moja mbili aisee ni hatari inavalika sana.Ndio naiona Leo ni timu gani?
Hizo jezi ni popular kwa madada poa, kama unayo angalia maeneo ya kavaaKuna waskaji zangu wawili nao wanahii jezi mwanzo nilidhani ni pigo za wakongoman kumbe hata mitaani zinavaliwa sana