Wabongo mnaivaa hii jezi kwa wingi, nini siri yake?

Wabongo mnaivaa hii jezi kwa wingi, nini siri yake?

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
18,960
Reaction score
67,654
Huwezi ukaenda Kariakoo usikutane na mbongo kavaa jezi hii. Ina siri gani ya kukubalika sana?
IMG_2714.jpeg
 
Secret association..!?🤷🤷😇🤷
Usiige kila kitu.
Wazee wa kubet Palmeiras ilimpa kibunda akaenda kununua na Jezi kabisa kuna wale wazee wa Flamengo ligi za Brazil Chile Argentina huko vururuvururu hawanaga gemu za Mchana gemu zao ni usiku kuanzia saa 5 kuendelea na siku akipigwa mtu anapigwa km ngoma
 
Crefisa na wefox zimeuza sana huu msimu
Chelsea Ile kama mayai nayo sio poa
 
Ndio naiona Leo ni timu gani?
Update yangu mwenyewe muda huu nimeshuka kwenye pantoni nadhani watu kama 10 wameiva nilkuwa muhimbili pia nimeona watu wengi sana.. na jana nilisehemu napata moja mbili aisee ni hatari inavalika sana.
Alafu kwakuiona niyakawaida sana haina hata mvuto.
 
Back
Top Bottom